Kimenuka Dodoma, magamba yapata moto

Kimenuka Dodoma, magamba yapata moto

Kweli JF inaelekea kufa,mana mpk sasa naona changizo zaidi ya 700 ila hakuna anayeleta hbr za uhakika wote wa brbrn tu! Inaonekana wanene wameamua kuikacha JF
 
Hii inaweza kuwa kweli maana ufyataji mkia wa Rejao, Ff, Mzee, Tropical na wengine walioko kwenye paylo ya magamba unanifanya niamini habari hii!!
 
Hiyo kweli ndugu zangu Mheshiwa yeye ndo chanzo cha matati yote ktk Taifa hili/haiwezekani mtoto ambaye hataki shule umpeleke boarding je unategemea atasoma au mnasemaje wana JAMII
 
kifupi hawaangalii namna ya kutatua matatizo ya wananchi.. Hawana utashi wala uthubutu.
 
CCM wakitaka usalama na uhai wa chama wamfukuze Kikwete kwenye chama! hiyo ndiyo suluhu yao, kwani hana uwezo wa kuwafukuza wezi wa mali umma!
 
Nyie watu mnaudhi sana unataka evidence tuambie basi nyumba ya london ya £400,000 hela ameitoa wapi? Vile vile tunaomba atuambie kwanini Nyerere alipatwa na mshtuko alipokuta mmfanyakazi wa serikali who happened to be EL alikuwa akimiliki nyumba ambayo alitaka apangishiwe balozi wa South Africa? Tunaomba maelezo ya ufisadi wa Wizara ya maji ambapo tenda ya kusambaza mabomba ya maji alitaka kampuni yake ipewe tenda.

Bado unataka madudu mengine? Maana yapo ya AICC? Wizara ya Ardhi? Waziri mkuu? na kwengineo

Toa ushahidi wa vitu alivyoiba sio vitu alivyonunua!
 
Unajua bana ukweli juu ya hili la magambo ku boil na kuanza kuwachoma baadhi ya walengo madhalani EL and Chenga. Na kama kweli mleta thread mmeamtemwa atakuwa sahihi kabisa basi nchi itakuwa inaelekea kwenye amani aliyoiacha baba wa taifa JK Nyerere.
 
Duh kweli this time kuna kazi, yaani hadi mida hii hakuna updates ya maana iliyofika JF? kaazi kweli kweli! Magamba wanafundishana jinsi ya kuteteana watakapotoka ila naamini lazima watamtoa mtu kafara, wait and see!!!!
 
CCM wakitaka usalama na uhai wa chama wamfukuze Kikwete kwenye chama! hiyo ndiyo suluhu yao, kwani hana uwezo wa kuwafukuza wezi wa mali umma!

Tangu lini mwizi akamkamata mwizi mwenzie! Nimeuliza tu lakini sina maana mbaya! Uliona wapi kibaka akamkamata kibaka mwenzie? Labda kama kamuibia yeye ila kama kaiba pengine.....wala hakunaga tatizo!!!!
 
JF is no longer a trusted source. Haiwezekani habari itoke tangu asubuhi, lakini hadi saa hizi hakuna anayeconfirm au kukanusha. Tunaomba mods mmchukulie hatua za kinidhamu yule aliyezusha kwamba Lowasa na chenge wamevuliwa uanachama CCM.
 
JF is no longer a trusted source. Haiwezekani habari itoke tangu asubuhi, lakini hadi saa hizi hakuna anayeconfirm au kukanusha. Tunaomba mods mmchukulie hatua za kinidhamu yule aliyezusha kwamba Lowasa na chenge wamevuliwa uanachama CCM.
Who is JF?
 
Wengi wamechoka kufuatilia toka idadi ya wafuatiliaji 600 hivi hadi 80! mda huu.
 
hii sasa inachosha kusubiri. au kikao kimekuwa cha siri mno kiasi ambacho hakuna taarifa kabisa.
 
CCM wakitaka usalama na uhai wa chama wamfukuze Kikwete kwenye chama! hiyo ndiyo suluhu yao, kwani hana uwezo wa kuwafukuza wezi wa mali umma!

Tangu lini mwizi akamkamata mwizi mwenzie! Nimeuliza tu lakini sina maana mbaya! Uliona wapi kibaka akamkamata kibaka mwenzie? Labda kama kamuibia yeye ila kama kaiba pengine.....wala hakunaga tatizo!!!!
 
Hata mwanadamu alipomjaribu Mungu na kamnara kake ka BABELI, Mungu alifanya jambo moja tu dogo,:Aliwabadilishia ligha. CCM lugha gongana
 
Ahahaah CDM tumewadhibiti! Hakuna kuvuja data hapa!
CCM hoyee! Lowassa juu!
 
Duh kweli this time kuna kazi, yaani hadi mida hii hakuna updates ya maana iliyofika JF? kaazi kweli kweli! Magamba wanafundishana jinsi ya kuteteana watakapotoka ila naamini lazima watamtoa mtu kafara, wait and see!!!!

Nimesikia TBC1 muda kidogo,Nape akilaumu mitandao ya kijamii kwa kuzusha updates za kikao ambazo c sahih. Kasema yy atatoa full info. baada ya kikao.
 
Back
Top Bottom