jamani hali huku ni mbaya mbaya mbaya sana usalama wa taifa uko mashakani yale ya chini ya godoro yanarushwa huku, Mungu ibariki Tanzania kweli kuvua gamba ni sawa na kujifungua (kuzaa) machungu na kuropoka kumbe raisi kwenye kikao cha chama anakuwa mwenyekiti tu hii kiboko
Ndiyoooo! na iwe mbaya tu tena mbaya sanasana na ikibidi watifuane tu, hiyo ndiyo itakuwa tijara yetu panzi (vita vya kunguru)
nahisi upepo wa siasa za bongo utakuwa na mvumo tofauti kesho.
Amani yetu inatumiwa vibaya.