Kama ni kweli, basi CCM wameanua kubadilika. Na hatua hiyo itawasaidia kujenga umoja.Amini usiamini gamba lowasa na chenge wametemwa katika chama cha Mapinduzi muda huu tnitawajuza zaidi yanayojiri
Wasalaam
Mmemkwa.
Kama ni kweli, basi CCM wameanua kubadilika. Na hatua hiyo itawasaidia kujenga umoja.Amini usiamini gamba lowasa na chenge wametemwa katika chama cha Mapinduzi muda huu tnitawajuza zaidi yanayojiri
Wasalaam
Mmemkwa.
Amini usiamini gamba lowasa na chenge wametemwa katika chama cha Mapinduzi muda huu tnitawajuza zaidi yanayojiri
Wasalaam
Mmemkwa.
Unao ushahidi wa wazi wa wizi wa Lowassa?? Ninazungumzia ushahidi unaofanana kama ule wa wizi wa Kagoda ambao tumeuona hapa...! Kwa kutumia vigezo ambavyo umetumia kumhukumu lowassa tunaweza kusema hata Kikwete ni fisadi...Kama unayo madudu ya Kikwete yaeleze mkuu. Mie simtetei mtu Fisadi hata siku moja but napenda vile vile napenda utoe evidence. mie nayafahamu ya Lowassa kwani yako katika kumbukumbu za magazeti tangu enzi za nyerere.
Asanteni wote mliochangia thread hii. Tulikuwa tunapima upepo ili turudishe feedback kwenye vikao. Tumekusanya mitazamo ya kutosha na tutayafanyia kazi. Asanteni na endeleeni na shughuli zenu au threads nyingine.
Kama unayo madudu ya Kikwete yaeleze mkuu. Mie simtetei mtu Fisadi hata siku moja but napenda vile vile napenda utoe evidence. mie nayafahamu ya Lowassa kwani yako katika kumbukumbu za magazeti tangu enzi za nyerere.
Leo mchana nikijadiliana na mbunge mmoja wa CCM kutoka mkoa wa Dar, aliniambia wazi kwamba, Lowassa hawezi kufukuzwa chamani, kwani ndiye anayeunganisha chama. Kabla ya EL kungo'lewa gamba, mwenyekiti atakuwa wa kwanza kwani matatizo lukuki ndani ya chama na taifa yametokea katika utawala wake. Amesema udini, ufisadi, umasikini, siasa ya makundi yameendelezwa na mwenyekiti wa chama na siyo Lowassa, kwa maana hiyo gamba kubwa ni Rais mwenyewe na siyo EL.
EL akingo'lewa basi tutaelekea kwenye uchaguzi mara moja na CCM itakufa kwa maana 70% ya wabunge CCM wanamuunga mkono EL. JK hawezi kumgusa EL na anajua hilo
2015, piga ua galagaza, rais lazima atoke Kaskazini!
Unao ushahidi wa wazi wa wizi wa Lowassa?? Ninazungumzia ushahidi unaofanana kama ule wa wizi wa Kagoda ambao tumeuona hapa...! Kwa kutumia vigezo ambavyo umetumia kumhukumu lowassa tunaweza kusema hata Kikwete ni fisadi...
Alikuwa ni waziri wa nishati na madini wakati mkataba wa kinyonyaji wa IPTL unasainiwa,,, alivunja sheria kwa kutumia mamlaka yake ya kifalme kwa kurusu baadhi ya wezi wa EPA kurudisha fedha za wizi bila kushtakiwa....plus madudu mengine ...rejea orodha ya mafisadi(List of shame)...!
Ushahidi uliotolewa na Raia mwema ulikuwa sawa sawa na uliotolewa na Kagoda. Invisible alituletea ushahidi hapa wa manunuzi ya nyumba london yenye thamani ya zaidi ya £400,000. Unataka ushahidi gani mwengine zaidi yao huo? Vile vile ushahidi wa vimemo vya Richmond vilivyotoka kwa waziri mkuu vimo katika report ya Mwakyembe au unakataa? Worse enough unamsingizia JK kuhusu EPA hivi unajua aliyekuwa akisimamia account ya EPA BOT ni nani na mtoto wa nani ? Hebu jihangaishe kichwa chako kidogo.
Lete ufisadi wa JK kwa evidence mie nakuunga mkono vyenginevyo naona kama ni majungu na fitina tu!
Kaka/dada, nachelea kuanza kukuelewesha maana wajuzi watashindwa kujua nani kichaa. Alieibiwa nguo akioga au kichaa anayefukuzwa na alieibiwa nguo aliye uchi.
This is very LOW of you my friend. Giving and judging a person on hearsay and magazeti. LOL. lazima upo mdogo kisiasa na hata kimajadiliano.
Unakumbuka yaliyompata SAS (Salim A Salim) kwenye kampeni ya 2005?. Think again MAGAZETI. LOL
Poleeeeeeeee na byeee. sitokujibu mpaka ukue kidogo KISIASA.