Hii habari sijui kama ina ukweli kwani CCM hakuna mwenye sauti ya kukemea maovu na ufisadi. Nawaombea kila la kheri wamchague Lowassa kuwa mgombea wa uenyekiti 2012 na mgombea urais wa 2015. Vile vile waandae mazingira ya kuwa chama cha upinzani 2015.
hii dhama ya kujivua gamba inasaidiaje matatizo ya kawaida ya watz?nashangaa jk wasijadili mkakati wa kutatua matizo ya wanatulea usanini,bora chadema wape hii nchi
Jamani eeee!hiyo ni ndoto ya mchana huyu nae alitaka tu watu tuchangie kwa wingi kwa kuwa alijua habari kama hii ina influence ya aina yake,tutafakari kidogo tu,hivi ni nani anaweza kumtoa Lowasa kwenye CCM?tena kumfukuza? hakuna kitu kama hicho hawawezi maana jamaa alishawagawana watu na jingine halitawezekana sababu mwenyekiti ni mshikaji wa jamaa ni lazima ampiganie kwa kila hali hata kama ni kutumia indirect way.Na kingine mtu hatoi source sasa tutamwaminije?
kinachofanyika hapa ni kupima upepo how Lowasa is acceptable to Tanzanian society particulaly YOUTH and no more,take care,habari za MMEKWA hazina tija,dara wala mwelekeo,mwongo na mzushi alie ishiwa,dont think of HIM.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.