OPTIMUS TZ
JF-Expert Member
- Jan 30, 2012
- 391
- 65
Ccm wafikiri kwa tumbo kiama chao kinakuja tutawapiga mijiti kama ghadafi wapate choo maana wote mitumbo mbele
Ahh, huyu hapa member mwingine wa CHADEMA akiongea na watoto. Kweli watoto ni Mungu, wapigie magoti.
![]()
Una utani na NAPE wewe ushaona CDM ina njano na kijani? Angalia kushoto kwa huyo gamba aliyepiga magoti!
Nahisi bado hujakomaa akili, hivyo si vizuri kupingana na wewe. Nisubiri utakapo pata ukomavu wa akili ndo tuendelee
na hoja yako.
Watakuja muda si mrefu na siasa zao za taarabu.
mkiambiwa haziuzwi chini ya miaka 18 hamsikii,angalia ulivyolewa vibaya sasa.***** wewe.Una utani na NAPE wewe ushaona CDM ina njano na kijani? Angalia kushoto kwa huyo gamba aliyepiga magoti!
Yaani mtu na §&%* zake timamu unakuwa mwanachama wa CDM.??Bora NCCR kuliko ili zimwi likujualo.
View attachment 47979 View attachment 47980
Maelezo ya picha No 1.
Wananchi wa Korogwe wakiwa wamembeba Naibu Katibu Mkuu wa Chadema, Zitto Kabwe baada ya kumaliza kuwahutubia kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika kwenye Uwanja wa Manundu, mkoani Tanga, jana. Picha na Edwin Mjwahuzi Laurent
Maelezo ya picha No 2.
Naibu Katibu Mkuu wa Chadema, Zitto Kabwe akihutubia wananchi kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika Muheza mjini, mkoani Tanga juzi. Zitto yupo mkoani humo kwa ziara ya siku tano kufanya miikutano ya kuimarisha chama chake. Picha na Mtera Mwampamba
CDM hovyo kabisa!!bado mulete fact,mng'ang'ania mwandishi hajui kiswahili....kama huu ndio utetezi basi mutaendelea kupata kula za kaskazini miaka yote.
Jana nilikupa angalizo juu ya uwezo wako wa kufikiri. Leo ngoja nikuongezee jambo:
Lugha ndio kitu rahisi zaidi mtu kujifunza kuliko siasa. Na ndio maana utaona mtoto mdogo anazaliwa na cha kwanza kujifunza tena akiwa katika umri mdogo ni LUGHA. Kujua kwa mtoto kuitumia lugha ya jamii yake ni kiashiria cha mapema cha uwezo wa mtoto wa kuelewa na kutafakari mambo. Kinyume chake, mtoto aliyechelewa kuongea na kuitumia lugha vyema huitwa zoba.
Ndugu yangu Mrs.Mzumbe, kama sehemu ya kusema MMEKWENDA unasema MUMEKWENDA hii ni dalili kuwa uwezo wako wa kuelewa ni mduchu mno. Nina mashaka bado unasema MMA badala ya MAJI sasa juu ya nini ujiingize kwenye siasa ambayo ni full of proverbs? Kwenye siasa, mwanasiasa husema A akimaanisha B jambo ambalo huitaji akili kumuelewa na kufanya uamuzi sahihi. Sasa wewe uliyefeli LUGHA (means mwanangu Juinior anakushinda) utawezaje kuelewa siasa?
Mimi nikushauri na niwashauri CCM waliokutuma kuwa utafute shughuli nyingine. Unajikanyaga mno. Umejinadi kuwa media mbali mbali zimetoa picha zilizoonesha jinsi mikutano ilivyokuwa hovyo na full watoto. Mpk leo kimya hakuna picha, sanasana wenye akili zao wamekupostia za Magamba na bado huna aibu unaendelea kubishana na wenye akili.
Huoni aibu?
Sio wewe uliyeahidi kuzipost hapa?
Huna hata chembe ya akili ya kukuwezesha kujua kuwa wewe ni mjinga kwa hiyo utafute tiba?
Mbona picha tayari zimeshapostiwa na kwenye post ya 5 au 6.
Baada ya CDM kuishiwa hoja wote mmekimbilia kwenye LUGHA.Kweli akili zenu kama za mbayuwayu.Jaribu kum-pm PADRI SLAA aje kuchangia labda anaweza akakomenti kitu cha maana.
Mbona picha tayari zimeshapostiwa na kwenye post ya 5 au 6.
Baada ya CDM kuishiwa hoja wote mmekimbilia kwenye LUGHA.Kweli akili zenu kama za mbayuwayu.Jaribu kum-pm PADRI SLAA aje kuchangia labda anaweza akakomenti kitu cha maana.