Kimbelembele cha CHADEMA kimewatokea puani

Kwanza Bwana Sikonge ututake radhi watu wa CHADEMA. Unaposema kuwa huyu katika picha hii ni wa CHADEMA, mbona hatuoni hata Bendera zetu? Badala yake kwa pembeni, kushoto tunaona mashati ya kijani, kofia za kijani na bendera za kijani. Ipo wapi rangi hata moja ya bendera za CHADEMA? Huyu Bwana aliyepiga magoti lazima atakuwa ni Bwana Ngeleja, au Maige. Mwangalieni kwa umakini. Sisi hatuna tabia ya kupiga magoti, maana wananchi wanajua thamani ya CHADEMA kwao.
Ahh, huyu hapa member mwingine wa CHADEMA akiongea na watoto. Kweli watoto ni Mungu, wapigie magoti.

IMG_3819.JPG
 
Daah, hata wewe bado hujaelewa tu? Picha ya kwanza ni Nape na ya pili ni mbunge wa CCM aitwaye Deo Filikunjombe.

Mleta habari aliandika mwanzo kabisa kuwa Mkutano wa Zitto umedorola na wamefika watoto wa Chekechea. Alipoombwa aweke picha tuone akakwama. Mie nikaja kumkejeli kwa kuweka picha za CCM wakihutubia vitoto vya chekechea.

Naona sasa mmeshanielewa nyote. Mwisho niseme kwamba, naona wewe ni Mwanachama pekee wa Chadema anayeomba nikutake radhi. Sintakutaka kwa sababu naona leo umepitiliwa tu kumuelewa Sikonge ambaye mara nyingi huandika kwa mtindo wa CHENGA ZA MWILI. Tupo pamoja sana STRATON MZEE hadi kieleweke :)

Kwanza Bwana Sikonge ututake radhi watu wa CHADEMA. Unaposema kuwa huyu katika picha hii ni wa CHADEMA, mbona hatuoni hata Bendera zetu? Badala yake kwa pembeni, kushoto tunaona mashati ya kijani, kofia za kijani na bendera za kijani. Ipo wapi rangi hata moja ya bendera za CHADEMA? Huyu Bwana aliyepiga magoti lazima atakuwa ni Bwana Ngeleja, au Maige. Mwangalieni kwa umakini. Sisi hatuna tabia ya kupiga magoti, maana wananchi wanajua thamani ya CHADEMA kwao.
 
nape kwa hili bichwa maji umepoteza ela zako..wengine hatutamjibu kwa leo..tuletee mtu sio huyu kifuu tundu..
 
Kelele Zote ambazo Zitto,mnyika,pro-cdm mulizokuwa munapiga kuhusu mkonge nilijua wananchi wa Tanga wapo upande wenu kumbe kimbelembele chenu ndicho kilichokuwa kinawasumbua.

Wananchi wa Tanga hawapo tayari kuhusika kwenye kilimo cha MkONGE,ushaidi wakimazingira unaonesha wazi kabisa jinsi wananchi walivyokataa kuitikia kwenye mkutano wa CDM. Picha zilizooneshwa kwenye media mbalimbali utagundua ninachonena.
Kwanza, mkutano uliuzuliwa na watu wachache,tofauti na mikutano mingi ya CDM.

Pili,hata hao tunaosema ni wachache kwenye uchache wao huohuo watoto wadogo ambao hawawezi kupiga kura hata baada ya 2015 kufikia ndio walikuwa weng kuliko hao watu wazima.

My take:
-kesheni mukiomba wa CDM cha chenu kiwe na mvuto sehemu mbalimbali ya Tz.
-Wabunge wenu wasipende kutia chapuo vitu ambavyo hawajafanyia uchunguzi.

inawezekana kujenga hoja bila ushaabiki wa kisiasa....
 
Nimefuatilia mjadala huu tokea jana....Sasa natoa maksi zangu.

Mr Mzumbe,umechemka vibaya sana na umeangukia pua kwa kutoziweka hizo picha hapa na hoja zako ni dhaifu sana.
So nakupa 10% kama kifuta jasho ili siku nyingine ujipange kwa hoja mzuri zenye ushahidi wa ukweli.

Wachangiaji wengine wakiongozwa na Chief Sikonge,Albeto,Bigirita nk....nawapeni ushindi wa kishindo wa 90%
kwa hoja mzuri na ushahidi wa picha kutoka uwanja wa mapambano mkoani Tanga. Hongereni sana na musichoke
kuwaelimisha watu kama Mr Mzumbe kwa faida ya nchi yetu.
 
Mr mzumbe na wewe ulikuwepo huko nini au unadandia tu? mi nilidhani ulikuwepo kwenye tukio ila inaelekea na wewe ni mwanachama hai wa CDM ndo maana unafatilia kwa ukalibu hongera sana
 
dogo ada ya semester ijayo unayo? au ndo unabembeleza hawa mafisadi wakusaidie? lala ukue maisha yakusubili achana na siasa
 
Nimefuatilia mjadala huu tokea jana....Sasa natoa maksi zangu.

Mr Mzumbe,umechemka vibaya sana na umeangukia pua kwa kutoziweka hizo picha hapa na hoja zako ni dhaifu sana.
So nakupa 10% kama kifuta jasho ili siku nyingine ujipange kwa hoja mzuri zenye ushahidi wa ukweli.

Wachangiaji wengine wakiongozwa na Chief Sikonge,Albeto,Bigirita nk....nawapeni ushindi wa kishindo wa 90%
kwa hoja mzuri na ushahidi wa picha kutoka uwanja wa mapambano mkoani Tanga. Hongereni sana na musichoke
kuwaelimisha watu kama Mr Mzumbe kwa faida ya nchi yetu.

Na wewe kweli tikiti,lipi la maana walilolisema zaidi ya kuimba taarabu mwanzo mwisho.
 
Tatizo walikuwa hawana pesa za kupakia watu kwenye malori toka sehemu mbalimbali mkoa wa Tanga hata hivyo pesa za ugua pole walikuwa hawana.
 
kelele zote ambazo zitto,mnyika,pro-cdm mulizokuwa munapiga kuhusu mkonge nilijua wananchi wa tanga wapo upande wenu kumbe kimbelembele chenu ndicho kilichokuwa kinawasumbua.

Wananchi wa tanga hawapo tayari kuhusika kwenye kilimo cha mkonge,ushaidi wakimazingira unaonesha wazi kabisa jinsi wananchi walivyokataa kuitikia kwenye mkutano wa cdm. Picha zilizooneshwa kwenye media mbalimbali utagundua ninachonena.
Kwanza, mkutano uliuzuliwa na watu wachache,tofauti na mikutano mingi ya cdm.

Pili,hata hao tunaosema ni wachache kwenye uchache wao huohuo watoto wadogo ambao hawawezi kupiga kura hata baada ya 2015 kufikia ndio walikuwa weng kuliko hao watu wazima.

my take:
-kesheni mukiomba wa cdm cha chenu kiwe na mvuto sehemu mbalimbali ya tz.
-wabunge wenu wasipende kutia chapuo vitu ambavyo hawajafanyia uchunguzi.
mkuu kuweka picha sio paka uambiwe ulitakiwa uweke kwa sababu sio watu wote wanaopata muda wa kuangalia tv
 
Back
Top Bottom