Kimbelembele cha CHADEMA kimewatokea puani

Kimbelembele cha CHADEMA kimewatokea puani

MTOA mada, tambua wazi kuwa watanzania wengi hususani waswahili hawapendi kusikia mambo ya msingi mf.ukweli kuhusu kilima,ufugaji,uvuvi na biashara.wanapenda sebene za Diamond na wengine kama hao.CDM inazungumza ukweli na wanaoujua wanawakubali.Watoto pia wanautu na haki ya kuhudhuria na kushiriki la msingi tuu ni kwamba hawapigi kura.Na pia watoto ni watoa habari kwa wazazi na walezi wao.CDM is always structured and coordinated. Follow the river to get the fruits.

Safi kabisa,kitaratibu unaanza kukubali ukweli.CDM wote mnapaswa kuwa kama huyu ndugu,amekili ya kwamba mkutano ulijazwa na watoto.
 
wewe kweli hamnazo,kipi unachojivunia hapo???

Eti Huyu ndiye Mwakilishi wa CCM hapa JF. Ni vizuri vijana wa CCM kama Mwigulu wakawa wanawakana hawa Mamluki maana wanafanya tudhani kwamba CCM wote ndivyo Mlivyo. Rejao huyu jamaa wenu?
 
Hahahaaa, mmenifurahisha sana nyie wote 🙂

PTZ, Nape ni mtani wangu ki-ukabila na habari ndiyo hiyooo..... Ngoja niwawekee picha ili na nyie hatimaye muelewe.

zito.jpg


Una utani na NAPE wewe ushaona CDM ina njano na kijani? Angalia kushoto kwa huyo gamba aliyepiga magoti!

***** huu!!, eti member wa CHADEMA, hizo bendera za kijani zinafanya nini kama ni mkutano wa CHADEMA?

nikweli hata kwa mbali naona sare za chadema ??????

Kweli huna akili,unaweka ppicha hiyo ukituambia ni mkutano wa CDM wakati nyuma kwenye iyo picha tunaona bendera nyingine.Au wewe kipofu?sikunyingine jipange kabla hujaweka picha za ajabu
 
Naona Dada Mzumbe Amesikia Sauti za Nne Amesepa. Dada Tulia Utaolewa Bado Mwanafunzi. By The Way hujatueleza Unasoma Mzumbe Chuo au Mzumbe Girls? Tuko Hapa Vijana wa Ilboru Bado hatujaoa
 
CDM hovyo kabisa!!bado mulete fact,mng'ang'ania mwandishi hajui kiswahili....kama huu ndio utetezi basi mutaendelea kupata kula za kaskazini miaka yote...

Yaani wewe kweli sifuri, hata baada ya kuambiwa bado huwezi kupata akili na kurekebisha. Tangu jana nakuelekeza matumizi ya kiswahili lkn kwa kuwa kuwa mwanachama wa CCM lzm uwe na akili mgando ndio maana hata hapa huwezi kubadilika.

Na unataka tulete utetezi wa kesi ipi? Ungeweka picha ulizoahidi jana ningetoa utetezi lkn kwenye hii topic kumejaa picha za CCM wakihutubia makundi ya watoto. Wewe ulizoahidi huzileti na aibu huna unaendelea kujibishana na waliokuzidi elimu na maarifa.

Mkipanda majukwaani mnaahidi barabara na baadaye mnasema bajeti haikutosha, kumbe hata picha ulizoahidi jana nazo zinasubiri bajeti itoshe,...... Kweli CCM ni janga la kitaifa.

Ngoja na mimi nianze lugha ya ki-CCM.

Wanainchi mupooooooo!!


CDM mupoooooooo!!!


Ila nikukumbushe, kama umeshindwa kujua lugha ambayo watoto wanjifunza wakiwa na miaka mi3 basi siasa kwamwe hutaielewa. Na kukudhihirishia nakujua vilivyo, hata nne unasema ine.

Kinababa mupoooooooo?!!!
 
Eti Huyu ndiye Mwakilishi wa CCM hapa JF. Ni vizuri vijana wa CCM kama Mwigulu wakawa wanawakana hawa Mamluki maana wanafanya tudhani kwamba CCM wote ndivyo Mlivyo. Rejao huyu jamaa wenu?

Naona wapenzi wa chadema na wafuasi bado hamtaki kuamini kweli kuwa huyu ni mwakilishi wa tiketi ya CCM,nilitegemea wengi hasa wanaonekana kuwa wafuasi wa chadema kuwa tayari wawe wameshajua wanarumbana na nani lakini wengi wanaonekana kutokujua Mr Mzumbe ni nani.Kwa ufupi tafuteni wawakilishi vijana wenye accent ya mu na veve huyu jamaa uenda ikawasadia kuwekana sawa kwa hoja zenu.
 
Eti Huyu ndiye Mwakilishi wa CCM hapa JF. Ni vizuri vijana wa CCM kama Mwigulu wakawa wanawakana hawa Mamluki maana wanafanya tudhani kwamba CCM wote ndivyo Mlivyo. Rejao huyu jamaa wenu?

Sioni tofauti kubwa kati ya huyu na Rejao, labda kama rejao atakuwa nne anaandika nne badala ya ine kama huyu mama mzumbe. Kakalia umbea facts hana. Mimi nitaendelea kuomba uthibitisho wa madai yake tu. Manake jana kajishauwa kama kinabo vile kuwa Uhuru Media wana picha za mikutano ya CDM ilivyojaa watoto lkn mpk sasa 3-0 ni Sikonge tu ndie mwanaume
 
CDM si kama CCM inayokusanya watu kwa maroli na mabasi, watu wanakuja wenyewe, alafu CDM inasikilizwa na wachache wanatekeleza wengi, niulize kampaini tuliyoifanya ya Halima Mdee, walikuwa wanauzulia watu 50-60 kwa Angela 400 alafu kula akamzidi asilimia 40, wingi sio hoja hoja ni kutekeleza.
 
wewe ni ******, lakini hao waliokuwepo ujumbe siwamepataa? gamba mkubwa wee!
 
Naona Dada Mzumbe Amesikia Sauti za Nne Amesepa. Dada Tulia Utaolewa Bado Mwanafunzi. By The Way hujatueleza Unasoma Mzumbe Chuo au Mzumbe Girls? Tuko Hapa Vijana wa Ilboru Bado hatujaoa

Bila kukosea wewe ni Joseph Mbilinyi.Hakuna hoja hapo utumbo mtupu.
 
CDM hovyo kabisa!!bado mulete fact,mng'ang'ania mwandishi hajui kiswahili....kama huu ndio utetezi basi mutaendelea kupata kula za kaskazini miaka yote.

Kweli wanaosema hujui kiswahili wanakusingizia.
 
Back
Top Bottom