Kwa wadau wa kilimo hasa kilimo Cha mpunga Kwa mikoa ile maarufu Kwa uzarishaji wa mpungu ushindani umekua mkubwa , wakulima wamekua wengi na aridhi ndogo ivyo inapelekea mashamba kupatikana Kwa gharama mkubwa Kwa wale wanaokodisha
Kwa uzoefu nilio nao mfano mikoa wa Mbeya wilaya ya Mbalari kuna mashamba makubwa sana ya mpunga lakini kutokana na wakulima kuwa wengi inapelekea mashamba kupatikana Kwa bei kubwa sana ukilinganisha mikoa ambayo sio maarufu.
Mbalari mikoa Mbeya mashamba yanakodishwa laki nne hadi tano ambayo Kwa mikoa wa Tanga sehemu wanaita lunguza wanaokodisha erfu 70 hadi laki 1 na aridhi zuri aijatumika miaka mingi. Kuna mikoa kama iringa, songea, mikoa ya Kanda ya ziwa mpunga unakubari na uzarishaji ni nafuu sana, hoja yangu kuwa wewe unayetaka kulima na mtaji ni mdogo nenda sehemu ambazo azina ushindani mkubwa sana utatoboa kirahisi.
Kwa uzoefu nilio nao mfano mikoa wa Mbeya wilaya ya Mbalari kuna mashamba makubwa sana ya mpunga lakini kutokana na wakulima kuwa wengi inapelekea mashamba kupatikana Kwa bei kubwa sana ukilinganisha mikoa ambayo sio maarufu.
Mbalari mikoa Mbeya mashamba yanakodishwa laki nne hadi tano ambayo Kwa mikoa wa Tanga sehemu wanaita lunguza wanaokodisha erfu 70 hadi laki 1 na aridhi zuri aijatumika miaka mingi. Kuna mikoa kama iringa, songea, mikoa ya Kanda ya ziwa mpunga unakubari na uzarishaji ni nafuu sana, hoja yangu kuwa wewe unayetaka kulima na mtaji ni mdogo nenda sehemu ambazo azina ushindani mkubwa sana utatoboa kirahisi.