kalagabaho
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 5,461
- 5,860
Nahitaji tani 50 Mihogo mikavu.nanunua kwa 350tsh kilo
Duu yaani kilo tatu buku tena iliyoandaliwa na kukaushwa tayari? Haf mihogo ikikaushwa si inapungua uzito?Duu wachuuzi wa Kilimo cha Tz kweli nuksi!..