pascalgwami
New Member
- Jun 10, 2017
- 4
- 3
Habari za majukumu wadau wa Jf. Nahitaj mwenye mawazo au mwenye kuelewa anishauri. Nahitaji kulima mihogo kwajir ya biashara lakin nahitaji ushaur wa aina gani ya mhogo wenye soko kwa sasa. Pia masoko yake yapoje kwasasa. Bila kusahau changamoto zake.kilimo nafanya mkoa wa Tanga. Naomba kuwasilisha.