Roving Journalist
JF Roving Journalist
- Apr 18, 2017
- 2,829
- 12,010
Wakuu,
Mada hii itakuwa na 'Updates' za Uchaguzi Mkuu 2020 kama yanavyotujia kutoka kwenu kutoka mkoa wa Kilimanjaro. Ukiwa na taarifa yoyote ambayo ni ya eneo hili tafadhali usisite kuweka.
Mkoa wa Kilimanjaro una una jumla ya majimbo ya uchaguzi 9. Walioshinda katika hayo majimbo ambayo ni;
1. Hai:
Saasisha Mafue (CCM) - Kura - 89,786
Freeman Mbowe (CHADEMA) - Kura 27, 684
2. Siha:
Godwin Mollel (CCM) - Kura 22,172
Elvis Mossi (CHADEMA) - Kura 8,614
3. Moshi Mjini:
Priscus Tarimo(CCM) - Kura 31,169.
Raymond Mboya(CHADEMA) - Kura 22,555
4. Mwanga:
Joseph Anania (CCM) - Kura 27,127
Henry John Kilewo (CHADEMA) - Kura 4,128
5. Same Mashiriki:
Anne Malecela(CCM) - Kura 26,225
Naghenjwa Livingstone (CHADEMA) - Kura 8,836.
6. Same Magharibi:
David Mathayo (CCM) - Kura 24,260
Gerivance Mgonja (CHADEMA) - Kura 758
7. Moshi Vijijini:
Patrick Ndakidemi (CCM) - Kura 53,891
Anthony Komu (NCCR Mageuzi) - Kura 3,888
8. Vunjo:
Dkt. Charles Kimei (CCM) - Kura 40,170
Grace Kiwelu wa (Chadema) - Kura 8,675
James Mbatia (NCCR Mageuzi) - Kura 4, 949
Agustino Mrema (TLP) - Kura 606.
9. Rombo:
Profesa. Adolf Mkenda(CCM) - Kura 48,122
Patrick Asenga (CHADEMA) - Kura 9,519
ZINGATIA: Mikoa yote ina mada yake ya 'Update' ili kuweka wepesi katika ufuatiliaji.
Mada hii itakuwa na 'Updates' za Uchaguzi Mkuu 2020 kama yanavyotujia kutoka kwenu kutoka mkoa wa Kilimanjaro. Ukiwa na taarifa yoyote ambayo ni ya eneo hili tafadhali usisite kuweka.
Mkoa wa Kilimanjaro una una jumla ya majimbo ya uchaguzi 9. Walioshinda katika hayo majimbo ambayo ni;
1. Hai:
Saasisha Mafue (CCM) - Kura - 89,786
Freeman Mbowe (CHADEMA) - Kura 27, 684
2. Siha:
Godwin Mollel (CCM) - Kura 22,172
Elvis Mossi (CHADEMA) - Kura 8,614
3. Moshi Mjini:
Priscus Tarimo(CCM) - Kura 31,169.
Raymond Mboya(CHADEMA) - Kura 22,555
4. Mwanga:
Joseph Anania (CCM) - Kura 27,127
Henry John Kilewo (CHADEMA) - Kura 4,128
5. Same Mashiriki:
Anne Malecela(CCM) - Kura 26,225
Naghenjwa Livingstone (CHADEMA) - Kura 8,836.
6. Same Magharibi:
David Mathayo (CCM) - Kura 24,260
Gerivance Mgonja (CHADEMA) - Kura 758
7. Moshi Vijijini:
Patrick Ndakidemi (CCM) - Kura 53,891
Anthony Komu (NCCR Mageuzi) - Kura 3,888
8. Vunjo:
Dkt. Charles Kimei (CCM) - Kura 40,170
Grace Kiwelu wa (Chadema) - Kura 8,675
James Mbatia (NCCR Mageuzi) - Kura 4, 949
Agustino Mrema (TLP) - Kura 606.
9. Rombo:
Profesa. Adolf Mkenda(CCM) - Kura 48,122
Patrick Asenga (CHADEMA) - Kura 9,519
ZINGATIA: Mikoa yote ina mada yake ya 'Update' ili kuweka wepesi katika ufuatiliaji.