Kwani tatizo ni nini mkuu kama umefuatilia story yake vizuri kasema alikuwa na baadhi ya wana jf...kwann usimuombe awaite waje wathibitishe kuliko kujaza server za jf?Kumbe unashindana?
Ndio maana hua unawaona wale wanaopingana na mawazo yako kua ni maadui kwako,
post yangu namba 444 ndio ukweli mchungu ila inabidi uukubali tu.
Hebu jaribu kumwambia wewe ajibu post number 549 huenda wewe anaweza kukusikia kwavile ni katika ile team yake,Kwani tatizo ni nini mkuu kama umefuatilia story yake vizuri kasema alikuwa na baadhi ya wana jf...kwann usimuombe awaite waje wathibitishe kuliko kujaza server za jf?
Hizo picha uizoweka bado hazitabadili ukweli kwamba stori yako ni ya kutunga tu!fiksi....hata ujaze mapicha kibao huo ndo ukweli.....hata kama ulifika hayo maeneo .....suala la msingi acha fiksi ...wewe ni MTU mzima!usilazimishe hadithi za kusadikika kama hii iwe ya ukweli!Visiwa vinavyozunguka Nyamisati option ya kwanza linapotokea tatizo lolote sio hospital bali ni kwa tiba mbadala yani uchawi ndio namba moja na kwakweli rasta nyoka ni msaada mkubwa na kupitia kwake nilijifunza mengi
Je!wewe ulishawahi kwenda mafia?Hebu jaribu kumwambia wewe ajibu post number 549 huenda wewe anaweza kukusikia kwavile ni katika ile team yake,
Hivi unaijua kweli hiyo "Server?"
Au na wewe umelikuta tu hilo neno humu watu wanalitumia nawe ukalibeba?
Tantee next month nakuja tena Ibiza itanisikia tuu
Huna lolote wewe umeshaumbuka,unajifanya kuendeleza vistory na vipicha teh! teh!What a wonderful moment ....when you make your haters dance your tune according to your directions![]()
![]()
![]()
![]()
Wewe nawe ndio walewale tu,nimekuagiza nini kwenye hiyo post yangu # 556 ?Je!wewe ulishawahi kwenda mafia?
Mkuu unaniita au?Akakukaba ... ? mh huyo jogoo mtata sana mkuu
mkuu mshana jr ka story umekaandika kivivu sana haka.You never know the motive behind...!
![]()
![]()
wa kumwaga under 20
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()





ni![]()
Hii ni nakala yake tu![]()
mkuu mshana,ulisema ni jinsi gan wachawi wanapata ugumu kupaa baharini, hapa nachanganyikiwa so uchawi wao ni localized palepale kisiwan,hawaendi visiwa vingneKitu kimoja kilicho wazi mlango wa kuingia Nyamisati uko eneo la kisiwa Simbaulanga, hapo ndio mlango wa kuingilia kutokea bahari kuu na ndio hapo hapo pa kutokea, mlango huu hata kwenye ulimwengu wa giza unatumika hivyohivyo na kuna mengi hapo yanayohusika na ulimwengu wa giza