Kile kipindi ambacho nilipotea

Kile kipindi ambacho nilipotea

Sisi shida yetu stori. Si lazima iwe kweli
Mkuu tatizo ni kwamba humu kuna watu wa rika mbalimbali,kuna vijana ambao akili zao bado hazijakomaa,ndio hao anaowapata kwa kuwaambia wamfuate PM,

Vijana wanaweza kumkabidhi hata kile kidogo walichonacho wakiamini kua huyu ana uwezo wa kuwatatulia matatizo yao kishirikina,

Sasa sisi tukikaa kimya na kumuacha huyu kiumbe kuupotosha umma kua uchawi ndio solution sidhani kama itakua ni busara,

Ni lazima tusimame ili kukiokoa hiki kizazi na hawa watu wenye tamaa ya kutaka vya watu kwa njia ya mkato tu.
 
Lakini mbona hakuna pahala mtoa mada kasema anatoa huduma toyote ile inayohitaji pesa!

Mtoa mada ni mkongwe humu, mbona sina Kumbukumbu ya bandiko lake hata moja ambalo limeenda sambamba na hamasa ya malipo? Kumbuka mtoa mada ni miongoni mwa top 10 ya watu wenye nyuzi nyingi humu!
 
Lakini mbona hakuna pahala mtoa mada kasema anatoa huduma toyote ile inayohitaji pesa!

Mtoa mada ni mkongwe humu, mbona Sina kumbukumbu ya bandiko lake hata moja ambalo limeenda sambamba na hamasa ya malipo? Kumbuka mtoa mada ni miongoni mwa top 10 ya watu wenye nyuzi nyingi humu!
Siongelei post hii tu,naongelea post zake nyingi tu za mambo ya ushirikina, jaribu kufuatilia kwa umakini utagundua nilichokimaanisha,

Hapo kwenye red kutokua kwako na kumbukumbu hakuubadili ukweli,pia mimi sijaongelea pesa, kuwabrainwash vijana ili waamini ushirikina na mambo yakufikirika si jambo la busara hata kidogo,

hakuna taifa lolote lililoendelea kwa kuamini uchawi na ushirikina.
 
Namkubali sana Mshana Jr hao wanaobisha waende kule watuletee taarifa za ukweli...sidhani kama kama kuna mtu wa kutapeliwa hapa ameelezea alivyosafiri na wengine wasafiri wakathibitishe uongo wa Mshana Jr,vinginevyo kuna kitu nyuma ya pazia kimejificha mbona mnapinga kwa nguvu sana?
 
m
FAIZAFOXY: una Tatizo kubwa LA kisaikolojia ila hujitambui tu, approach yako kwenye mada nyingi za watu inaonyesha kuwa unaitaji msaada kutoka Kwa mtaalamu wa kisaikolojia, unajifanya mjuaji sana wakati chenga tu!
Comment zako Kwa watu wengi ni za shali sana.
Unataka uonekane wewe ndo mjuaji sana hapa if.

Uwezo wako Kwa mshana Jr ni Mdogo sana hufiki hata robo. Unanikera sana kiukweli, wewe kichwani umejaza udini na upumbavu tu, kazi kudandia post za watu.

Unaonyesha chuki za waziwazi Kwa watu Kwa sababu uelewa wako ni Mdogo sana, unatafuta kiki kupitia post za mshana Jr we vipi!
mwe kashasema huko ni karibu na kwa sasa mnataka aumbuke halafu iweje wakati anatakiwa awe mzalendo wasikose watalii,
 
Uzi umeshachafuliwa. Kisemo cha Chinua Achebe: THINGS FALL APART.
 
Namkubali sana Mshana Jr hao wanaobisha waende kule watuletee taarifa za ukweli...sidhani kama kama kuna mtu wa kutapeliwa hapa ameelezea alivyosafiri na wengine wasafiri wakathibitishe uongo wa Mshana Jr,vinginevyo kuna kitu nyuma ya pazia kimejificha mbona mnapinga kwa nguvu sana?
Let's drive them....!
Let's them play our tune...!
 
Kitatokea nini endapo watu wakijitambua, wakaacha kunukuu maneno ya FaizaFoxy na wengine ambao wanaonekana kuto kuwatendea haki watu wanaofuatilia uzi. Hata kama ni hadithi lakini watu wanajifuza siku zote mahalifa yanakuja Kwa kusikiliza na kusoma. Mashana Jr siyo mtu wa kwanza kuleta mada za uchawi lakini yeye ndo anashutumiwa kuliko wengine mpaka naanza kuhisi kuna kitu kilichopo nyuma. Kuna post nyingi za uchawi lakini kundi linalomkosoa Mashana Jr hawachangii na kukosoa katika post zingine Kwa nini? Na hata wakichangia basi Mara 1 tu. Mashana Jr endelea, kelele za chura haziwezi kumzuia tembo kunywa maji.
 
Jamani wanabodi. Msameheni tu huyu ajuza Faiza Foxy
Kila thread anaweka sentensi hiyo hiyo inayosema 'mmesomea ujinga' I think she has probably gone to college and maybe she has read a lot but she is NOT educated. She knows many things but she is not wise. She is critical but cannot command respect. Msameheni bure tu. Akiandika lolote do not give her the privilege of replying

Una hekima wewe kupita maelezo.
 
Kitatokea nini endapo watu wakijitambua, wakaacha kunukuu maneno ya FaizaFoxy na wengine ambao wanaonekana kuto kuwatendea haki watu wanaofuatilia uzi. Hata kama ni hadithi lakini watu wanajifuza siku zote mahalifa yanakuja Kwa kusikiliza na kusoma. Mashana Jr siyo mtu wa kwanza kuleta mada za uchawi lakini yeye ndo anashutumiwa kuliko wengine mpaka naanza kuhisi kuna kitu kilichopo nyuma. Kuna post nyingi za uchawi lakini kundi linalomkosoa Mashana Jr hawachangii na kukosoa katika post zingine Kwa nini? Na hata wakichangia basi Mara 1 tu. Mashana Jr endelea, kelele za chura haziwezi kumzuia tembo kunywa maji.

Yeye anadanganya na anatetea uongo eti kuwa ni ukweli.

Hahahaha, eti kakutana na "rasta" akitembea kwenye tope hatumbukii!

Duh, isijekuwa Bob Marley kaibukia Nyamisati!

Na manyumbu yanakubali tu.
 
Kitatokea nini endapo watu wakijitambua, wakaacha kunukuu maneno ya FaizaFoxy na wengine ambao wanaonekana kuto kuwatendea haki watu wanaofuatilia uzi. Hata kama ni hadithi lakini watu wanajifuza siku zote mahalifa yanakuja Kwa kusikiliza na kusoma. Mashana Jr siyo mtu wa kwanza kuleta mada za uchawi lakini yeye ndo anashutumiwa kuliko wengine mpaka naanza kuhisi kuna kitu kilichopo nyuma. Kuna post nyingi za uchawi lakini kundi linalomkosoa Mashana Jr hawachangii na kukosoa katika post zingine Kwa nini? Na hata wakichangia basi Mara 1 tu. Mashana Jr endelea, kelele za chura haziwezi kumzuia tembo kunywa maji.
Watashindana lakini hawatashinda! Learn the way and it's powers they will play your tune
 
Jamani wanabodi. Msameheni tu huyu ajuza Faiza Foxy
Kila thread anaweka sentensi hiyo hiyo inayosema 'mmesomea ujinga' I think she has probably gone to college and maybe she has read a lot but she is NOT educated. She knows many things but she is not wise. She is critical but cannot command respect. Msameheni bure tu. Akiandika lolote do not give her the privilege of replying
Rudi shule ......ungeandika kwa lugha unayoifahamu kwa ufasaha!Hujui lugha ya Queen wewe!
 
a274b4e37a577d730657acf3108ece75.jpg
Umesha anza ku attach viquote vyako unavyovitoa google!! Hayo ni maneno ya watu,ni mawazo ya mtu,
Nawewe jaribu kushughulisha kichwa chako ili nawe uandike ya kutoka kichwani mwako,achana na kocopy fikra za watu,kama huna uwezo huo piga kimya tu.
 
(Nikiwa pale bandari bubu upande wa pili wa bahari nikamwona mtu mrefu sana akiwa kavaa kanzu nyeupe na kitambaa kichwani Chenye rangi nyeusi na nyeupe hiki kitambaa kilimfunika uso wote kasoro macho
Huyu mtu mrefu sana alikuwa anatembea kwenye tope kuja tulipo (kumbuka ilikuwa maji kupwa )mshangao wangu ulikuwa ni yule jamaa kutembea juu ya tope bichi bila kuzama na kanzu yake nyeupe) ni vyema mleta story angetuthibitishia hili...japo hata kwa picha tu
 
Mtoa mada kama umeshawahi fika pande za Mtwara... kuna stori za jini linaitwa namdenga!hebu tembelea huko kama hujafika au kama ulishafika...tutungie stori nyingine ujifanye kana kwamba lilishakutokea na likakusafirisha kianga na msangamkuu yoote.....kama kawaida yako!karibu......misukule iko tayari
 
Eneo oevu la Nyamisati
3bd09c6489c14f79ac931c71875644e8.jpg
0c57091f29688a2d6d65a0cded563bde.jpg
sehemu ambapo wakati wa maji kupwa hutumika kama sehemu ya service parking nje ya maji na kutengeneza boat
150391cdd9c34b87cc111791a6762aef.jpg
maeneo mengi ya visiwa vilivyo karibu na Nyamisati yako hivi kuna mikoko mingi sana...japo kuna upande huwa na tope pia
 
Back
Top Bottom