Ccm imetapeli watanzania,mbona hutistuiUkweli ni kuwa hakuna vitu kama hivyo ni uongo tu.
Huyo mtu anakila dalili za kuja kutapeli watu na wengine kuna siku mtakuja kulalamika humu.
Asiyesikia la mkuu...
Acha uongo we jamaa , nyamisati ipi unayozungumzia wewe kuwa hawaendi hospital ?? Mbona unataka kuaminisha watu ujinga
Matumaima yameanza kuonekaneka wakitokea watu wengine 3 waliofika Hayo maeneo itakuwa vizuri SanaMbona unakurupuka? Umeona nilichoandika hapo? '....visiwa vinavyozunguka Nyamisati unavifahamu?
Niambie kati ya hivi ni kipi walau kina duka la dawa?
-Becha
-Salale
-Kilwani
-Saninga
-Mchinga
-Kiomboni
-kifungutuni
=ninakupendaHamna nisiyempenda. Hata wewe nnakupenda sana.
Nnaona hekima na busara zimekuwa adimu sana kwenu si hasha mkawa mnaamini sana katika upuuzi, hata jinsi mnavyoandika inaashiria ukosefu wa busara.
Ndio maana hua nakuita wewe ni bingwa wa kujitega,Kilichonichosha kama sio kunifurahisha kwenye huu uzi ni wale haters kuniita muongo mzushi na majina mengine mabaya huku wakiweka dhihaka bila kuthibitisha uzushi wala uongo wangu...! Wameshindwa kwa kiwango cha juu mno
Nimewachezesha kisingeli kwa nguvu...wamechokonoa mpaka na backup za multiple ID bila mafanikio
If you know the secret of the game! They follow your rhythm without their will...these are what we call them silly stupid hooligans...wapo na watakuwepo
Bro mshana... Natamani kumuona faiza fox anagananaje..., pls kama una picha yake nipatie hata pm mkuu, heshima kwako"Hakuna kitu kibaya mtu kuugua maradhi sugu ya aibu huku ni mgumba na mkiwa! Upweke ni habari nyingine, watu wa kaliba hii ndivyo walivyo tuwaombee