Kile kipindi ambacho nilipotea

Kile kipindi ambacho nilipotea

Hahahaha, si kila mada nnayochangia, upo sawa kabisa, lakini pale unapoletwa uongo utaniona tu. Kumbuka hilo, labda nisipaone.
FAIZA kama umeona ni uongo na umeandika ni uongo sawa, wako wanokubali uongo kuwa ni ukweli! waachie jukwaa,,,,,,,,,
 
Nikiweka post yoyote ile apart from hii juu ya Ajuza huyu kwenye Uzi huu basi hazinitoshi. Nini maana ya story????
Kila story ni ya kweli??
Kama kila story ni ya kwel inafundisha nn?
Kama story si ya kweli inafundisha nn?
Mijitu mingne INA roho mbaya utadhani inafikiria kwa kutumia mat....ko
 
Daah stori tamu ila fupi sana kaka. ila aksante kutujuza maana ulishafananishwa na nge nikapata mashaka.
 
FAIZA kama umeona ni uongo na umeandika ni uongo sawa, wako wanokubali uongo kuwa ni ukweli! waachie jukwaa,,,,,,,,,


Naam, jukwaa ni la wote niwaachie kwani nimelikamata?

Hivi hizo shule mlienda kusomeaa ujinga?
 
Muongo tu huyo hana lolote.

Kuna siku alikuja na picha humuhumu JF akidanganya kuwa kaipiga yeye hapo njia ya kwenda Ikulu, kumbe ile picha ipo kwenye mitandao kwa miaka kadhaa, nikamuumbuwa uongo wake kwa kuileta source nyingine kabisa ya ile picha, basi toka siku hiyo kajenga chuki kwangu.

Huu anaoleta humu ni uongo tu hajuwi lolote huyo.

Wajinga Ndiyo Waliwao.
FAIZAFOXY: una Tatizo kubwa LA kisaikolojia ila hujitambui tu, approach yako kwenye mada nyingi za watu inaonyesha kuwa unaitaji msaada kutoka Kwa mtaalamu wa kisaikolojia, unajifanya mjuaji sana wakati chenga tu!
Comment zako Kwa watu wengi ni za shali sana.
Unataka uonekane wewe ndo mjuaji sana hapa if.

Uwezo wako Kwa mshana Jr ni Mdogo sana hufiki hata robo. Unanikera sana kiukweli, wewe kichwani umejaza udini na upumbavu tu, kazi kudandia post za watu.

Unaonyesha chuki za waziwazi Kwa watu Kwa sababu uelewa wako ni Mdogo sana, unatafuta kiki kupitia post za mshana Jr we vipi!
 
FAIZAFOXY: una Tatizo kubwa LA kisaikolojia ila hujitambui tu, approach yako kwenye mada nyingi za watu inaonyesha kuwa unaitaji msaada kutoka Kwa mtaalamu wa kisaikolojia, unajifanya mjuaji sana wakati chenga tu!
Comment zako Kwa watu wengi ni za shali sana.
Unataka uonekane wewe ndo mjuaji sana hapa if.

Uwezo wako Kwa mshana Jr ni Mdogo sana hufiki hata robo. Unanikera sana kiukweli, wewe kichwani umejaza udini na upumbavu tu, kazi kudandia post za watu.

Unaonyesha chuki za waziwazi Kwa watu Kwa sababu uelewa wako ni Mdogo sana, unatafuta kiki kupitia post za mshana Jr we vipi!

= shari

Mkishindwa hoja mnaanza "udini".

Wapumbavu si unawajuwa? Au umesahu Mkapa alivyowapa live Jangwani?

Mengine yote ni mawazo yako binafsi na upo huru kutowa maoni yako kwenye hii "open forum".

Sasa tumia kichwa chako kufikiri japo "kiduchu" na si kukiwacha kama mzigo tu juu ya mabega yako, kama wewe upo huru kutowa maoni yako , jee kwanini iwe mwao kwa FaizaFoxy?

Ukipata jibu ya hilo swali la mwisho utajijuwa kuwa u punguani kiasi gani.
 
Daah stori tamu ila fupi sana kaka. ila aksante kutujuza maana ulishafananishwa na nge nikapata mashaka.


Hapo kaona asiendelee kujiumbuwa zaidi, kishaona nimeingia ni lazima achunge sana anachoandika maana sikawii kumpa za uso.
 
"Thinking capacity" ya Watanzania walio wengi bado haijafikia kuuchambuwa ukweli na porojo.

Sishangai, kwani bado wengi sana wanaishi kwa kutegemea "nguvu za kiza" kuliko uhalisia.

Watu wanaamini kabisa kuwa huo upuuzi ulioandikwa humu upo kweli na kijana anaejiita Mshana Jr. ana miujiza ya kukumbana nazo hizo nguvu za kiza kila kukicha. Khaa!.

Mnanikumbusha yule mwingine na mikasa yake ya Mikumi National Park kila kukicha, tena bora yule anajulikana ni comedian tu. Huyu anadanganya halafu kichwa chake kilivyojaa matope anashadidia kabisa kuwa ni ukweli. Cha ajabu zaidi, manyumbu yapo tu na yanaamini huo ungo bila kufikiri hata kiduchu.

Hakika Wajinga Ndiyo Waliwao.
 
= shari

Mkishindwa hoja mnaanza "udini".

Wapumbavu si unawajuwa? Au umesahu Mkapa alivyowapa live Jangwani?

Mengine yote ni mawazo yako binafsi na upo huru kutowa maoni yako kwenye hii "open forum".

Sasa tumia kichwa chako kufikiri japo "kiduchu" na si kukiwacha kama mzigo tu juu ya mabega yako, kama wewe upo huru kutowa maoni yako , jee kwanini iwe mwao kwa FaizaFoxy?

Ukipata jibu ya hilo swali la mwisho utajijuwa kuwa u punguani kiasi gani.
Tumechoka ujinga wako ndo maana tumeamua kukwambia, unamatatizo sana we mjane, tumekustili sana lakini bado ujielewi.

Unatafuta kiki kupitia post za mshana Jr, na imeanza kumuandama muda mrefu sana.

Kwa uwezo wa kiakili na uwezo wa kuchambua mambo mshana ni tembo wewe ni kunguni.
Hacha kumfuatafuata mshana Jr sio saizi yako wewe ni kilaza tu!
 
To be fair ni haki ya kila member kuchangia mada kwa kadri atakavyoona inamfaa.

Member usiyemkubali akichangia, hapo unabakiwa na options mbili, umjibu au umkalie kimya kama mshana jr anavyoshauri.
 
Naam, jukwaa ni la wote niwaachie kwani nimelikamata?

Hivi hizo shule mlienda kusomeaa ujinga?
anzisha uzi wako uuite 'habari za kweli' toa mada zako huko. utapata wa kwako..
acha kuharibia watu siku, watu wanataka habari zenye burudani wapunguze misongo ya mawazo, wewe unaleta mawazo hapa. huna neno jingine mpaka uandike neno''ujinga''
 
= shari

Mkishindwa hoja mnaanza "udini".

Wapumbavu si unawajuwa? Au umesahu Mkapa alivyowapa live Jangwani?

Mengine yote ni mawazo yako binafsi na upo huru kutowa maoni yako kwenye hii "open forum".

Sasa tumia kichwa chako kufikiri japo "kiduchu" na si kukiwacha kama mzigo tu juu ya mabega yako, kama wewe upo huru kutowa maoni yako , jee kwanini iwe mwao kwa FaizaFoxy?

Ukipata jibu ya hilo swali la mwisho utajijuwa kuwa u punguani kiasi gani.
Unajuwa=Unajua
Kuwacha-Kuacha
Kutowa-Kutoa

Usijifanye mjuaji wakati kumbe kichwani kumejaa kamasi badala ya ubongo.Kuchamba kwingi mwisho ni kutoka na mavi.
 
Back
Top Bottom