Steve Dii
JF-Expert Member
- Jun 25, 2007
- 6,402
- 1,290
Wana JF,
Hii ni kumwombea mema ndugu yetu Msanii kwenye siku yake ya ndoa.
Tukiwa kama jamii yenye kupenda muungano kwenye matukio yanayo tuzingira kama Wanadamu, kwenye raha na kwenye majonzi, napenda kumtakia kheri na faraja Msanii kwenye siku yake aliyo itaja hapa chini:
Nimatumaini yangu hapo juu kuwa Msanii ametaja hiyo siku akimaanisha 23-12-2007, na siyo 23-12-2008.
Ni hayo tu, Kila la Kheri Msanii.
SteveD.
Hii ni kumwombea mema ndugu yetu Msanii kwenye siku yake ya ndoa.
Tukiwa kama jamii yenye kupenda muungano kwenye matukio yanayo tuzingira kama Wanadamu, kwenye raha na kwenye majonzi, napenda kumtakia kheri na faraja Msanii kwenye siku yake aliyo itaja hapa chini:
Maandishi hayo yanapatikana kwenye thread Hii Hapa Ya JF Tshirt.mkuu invisible, ingawa ninaweza kujiprintia ya kwangu lakini nitapenda kununua mbili, yangu moja na my wife (naoa desemba 23), medium moja na large moja tena ziwe polo shirts. Ninashauri pia kuwepo na aina tatu au nne za messages ktk tshrts halafu ukizipost hapa iwe rahisi members kuchagua. ujue ktk forums yako kuna wana ccm, chadema, tlp nk, pia na sisi wengie tusioamini ktk siasa. naona nimeongea sana (tatizo nilimeza kasuku utotoni).
Nimatumaini yangu hapo juu kuwa Msanii ametaja hiyo siku akimaanisha 23-12-2007, na siyo 23-12-2008.
Ni hayo tu, Kila la Kheri Msanii.
SteveD.