- Thread starter
- #201
Saa tano asubuhi Eastern US ni saa kumi na mbili jioni Bongo.Bongo itakuwa saa ngapi? Tuone kama CNN international wataithamini? au walau BBCWORLD?
Saa tano asubuhi Eastern US ni saa kumi na mbili jioni Bongo.Bongo itakuwa saa ngapi? Tuone kama CNN international wataithamini? au walau BBCWORLD?
Hawa jamaa tunawajua. Hata kama kuna blaki kigodani bado anaendeshwa na matycoon wa Kiyahudi na wengineo walioshika uchumi wa nchi hiyo.
Aste aste, tusijidanganye kwamba mawazo na mtaji wa kuendelea kama nchi tutaupata kutoka kwa wengine hata ikiwa ni Marekani-babu lao!
Watz jamani yaani kila kitu ni lazima tumlaumu JK?
Tuwe wakweli..kuonana na Obama ni kupandisha chart yetu sisi Watz!
Je hilo pia kuna ubaya????????
Watz jamani yaani kila kitu ni lazima tumlaumu JK?
Tuwe wakweli..kuonana na Obama ni kupandisha chart yetu sisi Watz!
Je hilo pia kuna ubaya????????
Tukipanda chati halafu iweje?Watz jamani yaani kila kitu ni lazima tumlaumu JK?
Tuwe wakweli..kuonana na Obama ni kupandisha chart yetu sisi Watz!
Je hilo pia kuna ubaya????????
Kupandisha chart???? Give me a break! Chart ya nani. Huyu jamaa ameshanichosha BIG TIME. Anazunguka zunguka tu... ahhaaa..
Huyu tumemzoea na record zake zisizokuwa na kichwa wala miguu kama vile Rais wa kwanza kutembelea wafungwa gerezani, ... wa kwanza kfika tandale na kushika maharage sokoni, .. wa kwanza kuongea kiswahili AU ,...wa kwanza kucheka kila mahali hata misibani, ....kumtaja mchezaji wa staz kwajina alimwita ivooo! karume,...wa kwanza kupigwa mawe, wa kuzomewa akiwa madarakani, wa kwanza kwenda kuzika sinza makaburini,.... eehu! ni nyingi mno lakini zooote hamna kitu
"...Mr Prez, ili kutuepushia tukio kama la 1988, mabomu mangapi yamepotea kutokana na milipuko ya Mbagala?!"
Mkuu hilo ndo inalo tuchefua wabongo tulio wengi, utadhani alichaguliwa ili akatalii? he doesnt care what is happening back home! sijawahi ona kiongozi wa namna hii!