Kikwete awadanganya watanzania - TENA

Maneno yako yana msingi wa kujilinda lakini naona kipindi cha kumpima hakijafika wala hajatimiza nusu ya awamu ya kwanza,huyu mtu ndio kwanza ameanza kujenga si kweli hakuna mabadiliko katika uwajibikaji wa ahadi zake.QUOTE]

graphic_colordecal_4998.htm


Yaani kweli ukipenda kitu huoni kasoro zake. Watanzania wa sasa sio wajinga.Hii gari imeshaacha barabara inaelekea kwenye korongo. Hatuhitaji kuingia kwenye korongo ndo tumwambie dereva. Watanzania wanamtahadharisha JK kuwa gari yake imeshaacha barabara.
Hiyo miaka miwili na nusu yote ya nini?Si yeye ndo alituambia NGUVU MPYA NA KASI MPYA? Au hiyo kasi mpya na nguvu mpya iko kwenye kuiba na kusafiri nje.Imebakia miezi nane tu,itafika utamtetea tena kuwa "hata kipindi chake cha miaka 5 hajamaliza"
Watanzania hapa tumeliwa. Hakuna kitu kibaya kama kufanya mapenzi ya siasa sawa na ushabiki wa mpira.
 
Naona watetezi wa msanii wetu mnazidi kuongezeka. ushauri wa bure ni kuwa mwambie achape kazi vitu vionekane kama alivyoahidi. Hii longolongo haisaidii. Hata mkisambaa kila kona ya dunia kumtetea haisaidii kama hata-deliver!

kama unajua haisaidii why bother suggest them ?? nauliza tu mkuu !
 
[QUOTE said:
If doesn´t help then nashauri urudi Bongo "for genuine reality check" badala ya kukandia serikali huku mmejichimbia Ughaibuni mkivuta muda mpate uraia wa kigeni
.[/QUOTE]

unajua wakati mwingine unaweza ukawa unafikiri kuwaomba hawa jamaa mambo yanaweza kuwa shwari ila naamini sehemu kubwa ya Watanzania wanaoishi nje wakiamua kurudi nyumbani nchi haitakalika kwa watu wabovu kama JK.
 
Haha my bro/Sis i like this genuine reality check. That is very good, because it does not need a university degree to see what mess we are in, it does not need a microscope to see that there is a bacteria eating our economy. Huhitaji Padre kukufafanulia yanayoonekana hapa kila leo (no need to prove the obvious). Bado nasisitiza kuwa tukitaka tuwe na mwelekeo mzuri we must face the reality, and not kiss some peoples ...or burry our faces in sand or put tails between legs. Nchi yetu iko kwenye matatizo, hilo ni lazima tukubaliane, labda tunaweza kupingana kwenye namna ya kutatua tatizo hilo. Unless you tell me your reality check tells you otherwise, kama unakubaliana na EL kuwa uchumi wetu unapaa, Congrats!

All is good in Tanzania. In fact, things have never been this better.
 
kwa bei hizo hapo juu, sidhani kama dar-es-salaam watu wangebaki hadi hivi sasa ! kwa ufahamu wangu mie ni kwamba wengi wao hawana kazi, hata kama wana kitu cha kufanya to earn a living, sidhani kama hata elfu 70 zinafika ! nadhani wote wangekimbilia nachingwea, mporipori, ukerewe, na kwingineko wakale mpunga
!

Ndo maana umeambiwa Dar bado ni Edeni kuliko huko unakotaka waende.
We ulitaka waende wapi kwenye unafuu?HUko kwingine ni jehanamu. Serikali yenyewe imekataa kuhama Dar sembuse raia.
 
nashangaa watu wanamudu kuishi vipi pale mzizima iwapo hawana kazi na bei za bidhaa zinazidi kufumuka siku hadi siku ( kufikia 300%) ! au wachawi nini ?[/
QUOTE]

Sehemu kubwa ya Watanzania wameruhusiwa kuiba(kutokuwepo kazini na kufanya kazi sehemu ingine huku mwisho wa mwezi anachukua mshahara)Kupokea rushwa,Kuwa na matumizi hewa nk.Hii ruhusa wamepewa na Serikali ya CCM na hili liko wazi na wanajua siku watakapojaribu kuwaambia na kuwashughulikia watanzania kwa mambo haya ndo CCM itafukiwa kaburini.
 
Europe kwenye Euro zone watu mishahara mikubwa halafu kuku amefungashwa vizuri ni kama euro 2 hivi, ukipiga mahesabu hiyo itakuwa shilingi 3200 TZ shilings, sasa pale bongo ambapo watu mishahara midogo kwanini wawapige bei kubwa hivyo? si mauaji hayo? ndo maana nilisema bongo huwa wanaexagérate sana,utu unawekwa pembeni.

HIVI HILI LIJI RAIS LETU HALIYAONI HAYO AUUUUUUUUUU???
NNA HASIRA HADI KEYBORD INATAKA PASUKA JINSI NNAVYOTYPE!!!

HUU NI UONEVU MKUBWA KABISA!!

KIOJA NI KUWA VIGOGO MBALI NA KUWA NA MISHAHARA NA MARUPURUPU MAKUBWA TUU..,MAHITAJI YA KILA SIKU KAMA LAUNCH SIJUI MAFUTA YA GARI,TRIP ZA KUTEMBEA HOLIDAY(ZIARA ZAO NYINGINE TWAJUA KUWA NI MAPUMZIKO TU!!USELESS)HAWANUNUNUI!!YANI NI SERIKALI INAWAGHARAMIA!!

HALAFU WALE WENYE KAMSHARA KA KIMA CHA CHINI YANI HATA LAKI MOJA HAKAFIKI NDIO WANUNUE KILA KITU!!NA KUGHARAMIA KILA KITU!!

SIONI SABABU YA VIONGOZI WA SERIKALI KAMA WAKUU WA WILAYA KUKAA KWENYE NYUMBA ZA SERIKALI NA KUTUMIA MAGARI BURE 24x365 WAKATI MISHAHARA YAO ATLEAST INARUHUSU KUGHARAMIKIA HIVYO VITU!!

ACCUMULATION YA COST ZA KIPUUZI KAMA HIZO NDIO MAANA HATUISHI KUKOPA SIYE!!NA KILA SIKU TWAENDELEA KUWA MASIKINI.

NILISOMA SEHEMU HUMU,KUWA MUUNGWANA HUSOMA JF ASOME HILI SWALA LA UGUMU WA MAISHA NA OVER-RATED COSTS AND PRICES!!

hey do something mr president!!!
 
...huyu kikwete AKA mkwere bora hata basi angejitahidi na rushwa na mikataba inayotumaliza,lakini wapi bwana
 
The contractors, Kajima Corporation of Japan, say that the five-kilometers the new-look Kilwa Road willbe handed over to the government in March, next year.

A resident Engineer with Construction Project Consulatnt of Japan, Mr. Ihara says the new road will have a design life of 20 years, with 8 lanes as opposed to the now two lanes.

Tunasema kuwa sawa, kuwa serikali yetu inahitaji kuiangalia katiba yetu kwa ajili ya important reforms, na wao pia wamekubali kuwa hilo la katiba linazungumzika, lakini wananchi tunashukuru kwa hili la bara bara ya Kilwa Road, ambalo limekuwa kero kubwa kwa wananchi wanaosafiri kwa magari toka tupate uhuru, ni vyema kwamba sasa serikali yetu imeamua kulivalia njuga.

Mungu Aibariki Tanzania.

 
...Marsal hiyo ni habari njema kwa wapenda maendeleo,daraja la kigamboni vipi? mwenye data atupe kinachoendelea
 
daraja wakati watu wanalalamika watu wanakufa njaa hapa JF !! kwani hapo kigamboni watu hawavuki ?
 
Sikujua...kumbe Kajima bado wapo? Halafu kwa nini hawa tunawaomba kuja kutengeneza barabara zetu....kwani sisi hatuwezi? Si nilidhani tuna wahandisi ujenzi..au?
 
hao watu wa california wana rangi gani ?
watu wa nyumbani bana sio wengi wanaojua/hata kama wanajua hawatilii maanani mambo ya manukato na uturi bobu, sasa utakuta mtu anaamka asubuhi mswaki jiti, hapaki mafuta, nywele hachani, unategemea aonekane sawa na wewe unayepaka uturi kila siku, deodorant ya nguvu, unanyeshewa na maji ya mvua kila siku bafuni ! wakati nyumbani mtu anatumia ndoo na maji utakuta sana sana mtu yanamwagikia kichwani, lakini kwenye magoti husahau njia na yakifika hadi kwenye magoti basi ujue mvua siku hiyo imenyesha tena ya nguvu ! bana wee, manukato, na joto kali hufanya watu wachoke ! Nadhani hapa tutaende mbali na hii mada kama tutaendelea kuzungumza kuhusu hali ya hewa !

Msee,
Kuoga janapa na maji ya ndoo ni mtihani mkubwa sana yaani!!. Anywayz "Ukada" unauweza......wengi wao hao wana-mindset ya 'blackboard', inabidi hiyo chalk kwanza uiloweke ili maandishi yasifutike!!!. Kibarua chako kigumu, lakini adoado tu hopefully kitaeleweka.
 
Jokofu Kiwete aidha unazungumzia vitu ambavyo huvijui au umeamua tu kutukana watu. Kwa taarifa yako watu walio majuu wanapiga kazi kishenzi and every minute they work will be counted and paid and every minute they rest will be deducted from their pay check.

Hela wanayotengeneza hukatwa kodi, mahitaji yote ya kila siku kila wanaponunua pia kodi hukatwa (VAT or something) kwa hiyo ukisikia budget ya bongo inategemea 40% kutoka nje basi ujue hapo kuna ka-percent cha wabongo wanaofanya kazi nje, indirectly wanaisaidia bongo vilevile, kwa sababu hela inayotumwa na wafadhili ni hela ya walipa kodi wa nchi za nje.

Hela inayotumwa na waafrika walio nje kwenda africa hapa namaanisha hard cash every year ni zaidi ya 40 billion Dollars. Inasadikika hard cash wanayoituma waafrika kwa ndugu zao afrika inazidi hela ya misaada inayotoka kwa serikali za nje. Hela hizo husaidia kusomesha watoto wa ndugu, hela hizo husaidia ndugu kufungua biashara ndogondogo na kujiajiri.

Jokofu Mze mzima heshima mbele acha kutoa kashfa zako kwa watu ambao wametafuta alternative and they are making a difference in their own way.
 
Maneno yako yana msingi wa kujilinda lakini naona kipindi cha kumpima hakijafika wala hajatimiza nusu ya awamu ya kwanza,huyu mtu ndio kwanza ameanza kujenga si kweli hakuna mabadiliko katika uwajibikaji wa ahadi zake.lakini waswahili wanasema akutukanae hakuchagulii tusi,mnavyotaka nyinyi kuwa mkisema tu basi achukue hatua za kuwakamata na kuwapeleka jela,hilo halipo isipokuwa kwenye nchi za kidikiteta.Muungwana ni kiongozi muadilifu na ni binadamu kama binadamu wengine ,hakuna asiekosea na kila unapokosea ndipo unapojifunza mbinu mpya za kukabiliana na matatizo Tanzania mkae mkijua si kisiwa kama kama kisiwa cha Shelisheli,hivyo kinachotakiwa ni subira ya miaka mitano,hapo Watanzania ndio watampima uwezo wake wapi aliahidi na wapi amefikia na kipi kimekamilika.Haraka haraka haina baraka.

Usisubiri msiba utokee ndipo useme huu ugonjwa ulikuwa mkali sana. Nivizuri kuwa macho na kutathmini tunavyokwenda kila wakati. Hii itatusaidia na kujua tumefikia wapi na kama kuna dosari ni nini kifanyiwe marekebisho kwa wakati.
 
Back
Top Bottom