MakinikiA
JF-Expert Member
- Jun 7, 2017
- 5,698
- 7,884
SAsa kesho ndio tunasikia kupanda kwa nauli za usafirishaji,wenzetu kenya wameshaingia kwenye phase 2 yaani uhaba wa mafuta kutoka phase 1 ya kupanda bei.
Kesho Bi mkubwa atakuja na bla bla kibao najua kwa sababu washauri wake hawajui kufanya analysis ya mambo vizuri.
Kwa hiyo watanzania wajiandae kifikra ewura na tpdc ni kichaka cha madali Mungu atusaidie .
Sasa sijui atakuja kueleza mshahara umepanda maana bei ya mafuta imemshinda na uhaba wa mafuta upo around the corner jesus,jesus,jesus.
Kesho Bi mkubwa atakuja na bla bla kibao najua kwa sababu washauri wake hawajui kufanya analysis ya mambo vizuri.
Kwa hiyo watanzania wajiandae kifikra ewura na tpdc ni kichaka cha madali Mungu atusaidie .
Sasa sijui atakuja kueleza mshahara umepanda maana bei ya mafuta imemshinda na uhaba wa mafuta upo around the corner jesus,jesus,jesus.