KadaMpinzani
JF-Expert Member
- Jan 31, 2007
- 3,715
- 94
nashangaa watu wanamudu kuishi vipi pale mzizima iwapo hawana kazi na bei za bidhaa zinazidi kufumuka siku hadi siku ( kufikia 300%😉 ! au wachawi nini ?
kwa bei hizo hapo juu, sidhani kama dar-es-salaam watu wangebaki hadi hivi sasa ! kwa ufahamu wangu mie ni kwamba wengi wao hawana kazi, hata kama wana kitu cha kufanya to earn a living, sidhani kama hata elfu 70 zinafika ! nadhani wote wangekimbilia nachingwea, mporipori, ukerewe, na kwingineko wakale mpunga !
nashangaa watu wanamudu kuishi vipi pale mzizima iwapo hawana kazi na bei za bidhaa zinazidi kufumuka siku hadi siku ( kufikia 300%😉 ! au wachawi nini ?
kwani mkate ulikuwa unauzwaje kabla Kikwete hajaingia madarakani na leo hii mkate ni bei gani?
...toa bei zako unazojua sio kubisha tuu then tuangalie kama sio zaidi ya hiyo 200% kwa bidhaa muhimu,hivi utaacha lini kutetea madhambi ya mafisadi.
kwani mkate ulikuwa unauzwaje kabla Kikwete hajaingia madarakani na leo hii mkate ni bei gani?
kwa kweli mie nashindwa kuelewa wa-TZ wana-survive vipi na maisha magumu like this!!!
yani vinakuwa kama vioja vya mwendawazimu kutopata kipindupindu wakati anakula jalalani daily!!
ukianzia mavitu ya hovyo tunayolishwa na wahindi kuja vimishahara vinavyotosha wiki moja tu hadi viongozi bomu wanaofaa kuwa perfect "HIGH BLOOD pressure making machines"!!yani!!
no wonder tunaambiwa tuko dunia ya tatu!!ubepari huu kweli umefika pabaya tanzania!!
gaaademu !! hadi mkate ! hehe heheeee, kweli hamtoweza kumuachia upenyo huyu mtu !
Insurgent hivi unaishi Bongo kweli??
Mifano michache toka 2006 hadi sasa
mkate from 300-1000 tsh
mche wa sabuni 500-1200
Maharage from 400-1200
Unga wa ngano kilo 1 from 300- 1000
Mafuta ya kupikia 3 lt from 2500-9000
Hii siyo kwamba nimegushi ni kweli kabisa nimekutana nayo maduka ya survey last friday!
Hapa nakwambia bei za DSM what about mtu aliyeko Kasulu? Ukerewe?Nanyamba? Bugomora? Mbamba bay Sumbawanga na Mpanda?
Usisahau mashahara ni 84 alfu tu!
Hizo bei za Supermarkets kubwa ambazo nyingi zimefunguliwa miaka ya karibuni. Unaweza kutoa vielelezo vya bei za 2006 kwenye masoko kama Tandale na sasa?! Hata hizo Supermarkets kubwa haziuzi mikate 1000 kama unavyodai.
Hizo bei za Supermarkets kubwa ambazo nyingi zimefunguliwa miaka ya karibuni. Unaweza kutoa vielelezo vya bei za 2006 kwenye masoko kama Tandale na sasa?! Hata hizo Supermarkets kubwa haziuzi mikate 1000 kama unavyodai.
Insurgent hivi unaishi Bongo kweli??
Mifano michache toka 2006 hadi sasa
mkate from 300-1000 tsh
mche wa sabuni 500-1200
Maharage from 400-1200
Unga wa ngano kilo 1 from 300- 1000
Mafuta ya kupikia 3 lt from 2500-9000
Hii siyo kwamba nimegushi ni kweli kabisa nimekutana nayo maduka ya survey last friday!
Hapa nakwambia bei za DSM what about mtu aliyeko Kasulu? Ukerewe?Nanyamba? Bugomora? Mbamba bay Sumbawanga na Mpanda?
Usisahau mashahara ni 84 alfu tu!
Mifano michache toka 2006 hadi sasa
mkate from 300-1000 tsh.....333%
mche wa sabuni 500-1200.....240%
Maharage from 400-1200......300%
Unga wa ngano kilo 1 from 300- 1000....333%
Mafuta ya kupikia 3 lt from 2500-9000....360.
Haya, tuendelee na mjadala wa kupanda kwa gharama za maisha.
Hizo bei za Supermarkets kubwa ambazo nyingi zimefunguliwa miaka ya karibuni. Unaweza kutoa vielelezo vya bei za 2006 kwenye masoko kama Tandale na sasa?! Hata hizo Supermarkets kubwa haziuzi mikate 1000 kama unavyodai.
inasajenti mkuu,
unajua mie bado najiuliza wananchi wanasavaivu vipi pale mzizima na hizi bei halafu hawana kazi ??
ulichosema ni kweli kabisa, je yale masoko yanayojengwa na manispaa nazo pia zinapandisha bei ba kuuza bei hivyo kama walivyotoa awali ?
...this is fun maana kuna maneno mengine ukiyasikia kweli yanakupeleka mbali sana... MCHE WA SABUNI,sijalisikia hilo neno miaka mingi sana wajomba imebidi nifikirie mengi kama mapambano yangu juu ya mafisadi yanaelekea wapi
Mifano michache toka 2006 hadi sasa
mkate from 300-1000 tsh.....333%
mche wa sabuni 500-1200.....240%
Maharage from 400-1200......300%
Unga wa ngano kilo 1 from 300- 1000....333%
Mafuta ya kupikia 3 lt from 2500-9000....360.
Haya, tuendelee na mjadala wa kupanda kwa gharama za maisha.
masoko yote yanauza hivi au ? supermarkets zipi hizo zinauza hivyo ? nadhani hata kama biashara ni kugain profit sasa hiyo imekuwa opressing kwa wananchi wasiokuwa na ajira !
nakataa kabisa bei hazipo hivyo bana ! angalau maisha yanazidi kuwa magumu, lakini sio kihivyo kitu kuzidi up to 3 times than the prior price ! NAKATAA KATA KATA !! NA NASEMA HUO NI UONGO HALAFU NAUPINGA KISHENZI, kwanza nampigia shemeji AFANDE MWITA yangu simu sasa hivi nimuulize ! nitawajulisha sasa hivi !
inasajenti mkuu,
unajua mie bado najiuliza wananchi wanasavaivu vipi pale mzizima na hizi bei halafu hawana kazi ??
ulichosema ni kweli kabisa, je yale masoko yanayojengwa na manispaa nazo pia zinapandisha bei ba kuuza bei hivyo kama walivyotoa awali ?
kada, hivi kweli unaamini Tanzania mtu anaweza kuishi kwa kutegemea mshahara wake? Watu pekee wanaoweza kuishi hivyo ni wale ambao chakula, malazi na vikolombwezo vingine vinalipwa na wengine!
..kwa hiyo sasa unakubali mafisadi ndio wametufikisha hapo,sasa itabidi ujiunge nasi ili kuwapiga vita mafisadi