Kikwete awadanganya watanzania - TENA

Jokofu Kiwete aidha unazungumzia vitu ambavyo huvijui au umeamua tu kutukana watu. Kwa taarifa yako watu walio majuu wanapiga kazi kishenzi and every minute they work will be counted and paid and every minute they rest will be deducted from their pay check.

Hela wanayotengeneza hukatwa kodi, mahitaji yote ya kila siku kila wanaponunua pia kodi hukatwa (VAT or something) kwa hiyo ukisikia budget ya bongo inategemea 40% kutoka nje basi ujue hapo kuna ka-percent cha wabongo wanaofanya kazi nje, indirectly wanaisaidia bongo vilevile, kwa sababu hela inayotumwa na wafadhili ni hela ya walipa kodi wa nchi za nje.

Hela inayotumwa na waafrika walio nje kwenda africa hapa namaanisha hard cash every year ni zaidi ya 40 billion Dollars. Inasadikika hard cash wanayoituma waafrika kwa ndugu zao afrika inazidi hela ya misaada inayotoka kwa serikali za nje. Hela hizo husaidia kusomesha watoto wa ndugu, hela hizo husaidia ndugu kufungua biashara ndogondogo na kujiajiri.

Jokofu Mze mzima heshima mbele acha kutoa kashfa zako kwa watu ambao wametafuta alternative and they are making a difference in their own way.

Sawa nimekusikia ila punguzeni tabia ya kumkandia Kikwete kila siku. Kila mara ni kulalamika na kukosoa serikali kwa tu kutumia destructive criticism, antagonism & slanderous allegations utadhani hakuna mazuri yanayotendeka.
 
Hivi inakuwaje wengine humu wakitumia perceived lugha chafu wanakuwa banned lakini wengine wanaepuka? Nyie Admins vipi? If you have a 'different strokes for different folks' policy then let it be known. Letting some people cuss all they want and banning others when they do is not fair and you guys know it.
 
Ndugu zetu Jokofu na Koba, mmevuka mstari wa majadiliano ya kiungwana. Wenzenu wakitaka kutukanana wanatumiana PM. Kwa makusudi nadhani mmeamua kuchafu mada hii. Rungu la Invisible likiwaangukia msishtuke...
 
Nakubaliana kwamba akiamua kupambana na mafisadi hakika anaweza.

Ujambazi amejitahidi saana.Kampeni dhidi ya UKUMWI nayo si haba kafanya jambola kuonekana.Ni vyema nguvu hizohizo azitumie kutatua matatizo mengine ya nchi.

Tanzania isiyo na mafisadi inawezekana.
 
Ndugu zetu Jokofu na Koba, mmevuka mstari wa majadiliano ya kiungwana. Wenzenu wakitaka kutukanana wanatumiana PM. Kwa makusudi nadhani mmeamua kuchafu mada hii. Rungu la Invisible likiwaangukia msishtuke...

Mazee MJJ, ikiwezekana toa hizo post za hawa waungwana wamevuka mipaka, matusi makubwa mno hayo...tutaogopa waambia wazazi na tuwaheshimuo kupitia hapa JF....ikiwezekana waban hawa jamaa waje na majina mengine...it is disgusting hatuwezi kujenga hoja kwa matusi. Wakati mwingine tukubali kushindwa kwa hoja si kukimbilia kuonyeshana ubabe wa matusi....Asante
 
Ndugu zetu Jokofu na Koba, mmevuka mstari wa majadiliano ya kiungwana. Wenzenu wakitaka kutukanana wanatumiana PM. Kwa makusudi nadhani mmeamua kuchafu mada hii. Rungu la Invisible likiwaangukia msishtuke...

Thank you my friend for speaking out on this. Personally I don't mind being banned so long as I deserve it. At the same time the standard should be the same for everybody who crosses the line.
 
yeah.. ndugu zetu MoDs na Admins.. siyo mara zote wapo hapa..so sometimes inachukua muda kidogo kufuatilia threads..
 
Mazee MJJ, ikiwezekana toa hizo post za hawa waungwana wamevuka mipaka, matusi makubwa mno hayo...tutaogopa waambia wazazi na tuwaheshimuo kupitia hapa JF....ikiwezekana waban hawa jamaa waje na majina mengine...it is disgusting hatuwezi kujenga hoja kwa matusi. Wakati mwingine tukubali kushindwa kwa hoja si kukimbilia kuonyeshana ubabe wa matusi....Asante

Ha ha haaaaa mzee Mwanakijiji sio Mod au admin wa hii Forum kwa hiyo hana uwezo huo. Kuna Thread nyingi sana cha muhimu ukiona matusi tuma PM kwa Admin, Invisible, Brutus au ole hivyo wanapoingia wanakuta message na kuchukua action mara moja.

Thanks.
 
Rwabugiri said:
Insurgent hivi unaishi Bongo kweli??


Mifano michache toka 2006 hadi sasa
mkate from 300-1000 tsh
mche wa sabuni 500-1200
Maharage from 400-1200
Unga wa ngano kilo 1 from 300- 1000
Mafuta ya kupikia 3 lt from 2500-9000

Hii siyo kwamba nimegushi ni kweli kabisa nimekutana nayo maduka ya survey last friday!

Hapa nakwambia bei za DSM what about mtu aliyeko Kasulu? Ukerewe?Nanyamba? Bugomora? Mbamba bay Sumbawanga na Mpanda?

Usisahau mashahara ni 84 alfu tu!

Rwabugiri amesema bei imepanda this much.
Na insurgent yeye anakataa na kudai kuwa hiyo ni bei ya supermarket kwa hiyo yeye akaleta bei yake ya Tandale ambayo ni
hii:

2006 to 2007 Price change on Broad Comparisson

Bread = 350 to 550 TShs (+ 57%)
OMO Washing Soap = 2000 to 3000 ( + 50%)
Beans = 800 to 1200 (+50%)
Wheat = 500 to 850 (+30%)
Cooking oil - Korie 3lt = 6000 to 12000 (+100%)

This is why I said 200% was OUTRAGEOUS!!

Price of Crude Oil per barrel, Nov 2006 = 62usd
Price of Crude Oil per barrel, Nov 2007 = 95usd

Percentage change in price of Fuel in WORLD MARKET(which affects most of the commodities) = +53%

Apart from Cooking Oil, the prices are what we should expect today.

Maybe I should add this,

Our currency was exchanging at, 1usd = 1297TShs on 6th Nov 2006
And is exchanging at 1usd = 1148TShs today 6th Nov 2007

Percentage GAIN is 11.5%

Hesabu za Rwabugiri zinaonyesha mfumuko wa bei wa zaidi ya 200% wakati hesabu za Insurgent zinaonyesha mfumuko wa bei wa zaidi ya 50%. Nani anasema ukweli?

Ukiweka wastani hapa, mfumuko wa bei ni zaidi ya 150%. Nchi nyingi mfumuko wa bei ukifikia 10% viongozi wa nchi wanakuwa mashakani, leo hii Kikwete mfumuko wa bei uko kwa wastani zaidi ya asilimia 100 na bado kwake mambo ni salama?

Ama kweli huko Tanzania, watu wanaishi kimungumungu tu!
 
jamani tutawasema hadi lini?mutatudanganya hadi lini?kama gamba tu limegoma itakuaje tukisema mjitoe sumu?
Kikwete akiwepo nchini au asipokuwepo naona poa tu.coz hata wanaomsaidia kazi wanamuona kama mshikaji wao.hiyo inafanya wasitekeleze anachowaagiza.hii miaka minne sijui itaishalini.nasubili kona na CHADEMA watatuongozaje itakapofika 2015.naamin watatuongoza vizuri.MUNGU IBARIKI TANZANIA,MUNGU MBARIKI FIGGANIGGA.
Mia.
 
Back
Top Bottom