GE2010 Kikwete apewa report ya kura za Slaa

GE2010 Kikwete apewa report ya kura za Slaa

Status
Not open for further replies.
kwani what is mita 5? Watu watasimama umbali wa mita 5 kutoka kituo cha kura na kuizingira kituo, na hakuna masunduku kuingia wala kutoka! Unafikiri huko pemba walifanyaje? Mpaka wanapotangaza matokeo ya kura hata usiku wa manane watu hawaondoki.
Na usitake kuwatisha watu na eti matukio ya 2001.. Unafikiri tunaogopa? Tumeshafunguka macho na hatuogopi vitisho :mad2: Mnataka kuwatisha watanzania million 40? Hatuwezi kutwaliwa na genge la wahuni wachache! Maneno kama ya kwako ni hamasa tosha kwa wananchi kujitokeza na kulinda kura zao!

aa subutu mutaweza kuhimili mabomu ya machozi nyinyi? Wenzenu wa pemba ni madume kweli kweli! Miaka yote hiyo ya uchaguzi mabomu ya machozi mtindo mmoja na wengine walikimbilia mombasa na mogadishu na wale waliobakia pemba walikuwa ngangari mpaka kimeeleweka sasa ni serikali ya mseto!

Haya wenzangu chadema hayo munayaweza? Mwenzenu lyatonga mrema alishapitia hayo mabomu ya machozi kipindi cha omari mahita akiwa rpc kilimanjaro mpaka yamembabua ngozi yake masikini sasa utafikiri ana gonjwa la mbalanga! Na mwisho wake amerudia matapishi yake na sasa anataka angalau ubunge kwa huruma za ccm maana kila siku anamsifia jk na wala hana habari na mgombea wake wa urais kwa ticket ya tlp!

Hawa ndio aina ya viongozi wetu wa upinzani tulionao huku bara! Yaani slaa kwanza alitaka kugombea kiti chake cha ubunge ghafla kabadilika na sasa anataka urais!!! October 31 chadema mukileta vurugu halafu mukipigwa mabomu munadhani watu wa aina ya mbowe na slaa watawasaidia? Wao wanauwezo wa kupanda helkopta na kutoroka nchini! Lakini nyinyi masikini wenzangu musio na hata baiskeli mutaweza kweli kukimbilia shimoni mombasa au huko mogadisho kwenye vita? Kama walivyofanya wa pemba mwaka 2001? Aaa subutu! Mimi nawajuwa wachaga(watani) na wa mbulu hakuna watu waoga kama hao!
 
Freeman Mbowe 2005 mikutano yake ilikuwa inajaza watu kama hii ya Wilberd Slaana matumizi ya HELKOPTA na la kushangaza Mbowe alikubali kushindwa kwa kishindo tena alihunduria kuapishwa kwa JK wakati CUF na TLP walikataa kukubali matokeo! jee DR. Slaa atakuwa tayari kufuata nyayo za Mwenyekiti wake Mbowe kukubali matokeo ya ushindi wa CCM wa TSUNAMI

CHADEMA munaota ndoto za mchana! hata mwaka 2005 mulikuwa na ndoto hizi hizi za kudai ushindi hewa! sasa ngojeeni 31 october mtakavyo garagazwa! ila tunamuomba Slaa akubali matokeo kama alivyofanya Mbowe 2005!

CHADEMA wacheni FITINA na UMBEA wa kuwasingizia viongozi wa CCM kuwa wananjama za kuwauwa viongozi wenu! huu ni uongo wa wazi kabisa na kama munaushahidi toka kwa USALAMA wenu wa TAIFA si mupeleke tuhuma zenu POLISI? munangoja nini? WACHENI KUWADANGANYA WANANCHI KUWA SLAA ATASHINDA! HUKO VIJIJINI NA MIKOA YA PWANI, KUSINI NA KUSINI MAGHARIBI, MIKOA YA KATI NA ZANZIBAR HAKUNA ANAEMJUWA SLAA ILA HUKO MBULU, UCHAGANI NA BAADHI YA MIKOA YA MAGHARIBI LABDA NDIPO ANAPOWEZA KUAMBULIA KURA CHACHE! TAKWIMU NILIZIWEKA HAPA LAKINI ZIMEFUTWA NA LA KUSHANGAZA NI KUWA FORUM HII INATAKA MAWAZO YA KUMSIFIA SLAA NA CHADEMA NA HUU NI UWOGA! KWANI WANAOAMUA NANI ATAKUWA RAIS SIO JAMII FORUM BALI NI WA TZ! NA WA TZ WENGI WANATEGEMEWA KUMPA KURA ZAO KIKWETE!

SASA KAMA NYINYI HAMTAKI KIKWETE AU LIPUMBA AWE RAIS HAKUNA ANAEWALAZIMISHA LAKINI SIO MULAZIMISHE WATU WOTE WAMPENDE DR.SLAA NA CHADEMA!

MUNASIKIAEEE!!

Kwani sisi wakenya? Wana jf sisi hawa hawa ndio wapiga kura pia. Mawazo yako na ya ma-kamba ni sawa sawa maana Yamechakachuliwa.
 
Jamani sheria ya uchaguzi inasema watu baada ya kupiga kura wake mita 200 mbali na kituo cha kupigia kura. Hivyo hakuna atakayeondoka kwenda mbali baada ya kupiga kura. Mtu asitishwe.

Mwaka huu hata sisi wapinzani sisi m wakikaa vibaya tunawapiga bao kwa kuchakachua matokeo. Shauri yao.

Lakini kwa mbali nafanya kuamini habari hiyo hapo juu maana huko vijijini nakwambia Dr Slaa yuko katika midomo ya kila mmoja mpaka nimekuwa najiuliza hivi huyu Kikwete nani atampatia kura?

Nashawishika kuwa kuwa ushindi wa Dr Slaa over Kikwete utakuwa wa 70%. Niaminini maana kwa mara ya kwanza katika nchi hii tunakwenda kuyaona mabadiliko. Sisi mwaka 2005 tulifanya kazi kubwa ya kumsaidia Kikwete ku achieve ushindi alioupata bali mwaka huu hatuko on his side. Tulitegemea mengi kutoka kwake lakini, Urafiki wake na mafisadi umemponza.
 
Mazoea yana tabu. Watanzania wamezoea kuona CCM "inashinda" kila uchaguzi. Kufikiria CCM kushindwa, tena kwa kura nyingi, inakwenda kinyume na mazoea, na hivyo inakuwa vigumu kukubali.

We are on the threshold of far reaching changes in Tanzania. Tusali basi ili kusiwe na machafuko. Maana wako watu waliolewa madaraka kiasi cha kwamba itakuwa shida kwao kutoka kwa amani. The kicks of a dying horse can be very powerful.

Viongozi wa CCM wanaweza kuchagua kati ya mawili: kuheshimu uamuzi ya wananchi au kujaribu kulazimisha kutawala kwa kuleta vurugu. Wakiamua kuheshimu uamuzi wa wananchi, basi wananchi wataendelea kuwaheshimu kama viongozi wa zamani. Na pensheni watapata. Wakiamua kuleta vurugu, hawatashinda, na wataweza kumalizia siku zao hapa duniani wakiwa lupango.
 
Sishawishiki, sorry lakini. Siamini kitu kama hiki kinawezekana, being frank!
Invisible, najua wewe hushawishiki. Mimi naona kama kuna ushindi mkubwa kiasi ambacho ni invisible kwa watu wengine, na ndio sababu mkubwa amepata kiwewe na kuanza kutoa fake promises. Si mchezo.
 
Endeleeeni na ndoto zenu walakini ukweli wenyewe hakuna Slaa wala slow Lewis Makame haoni isipokuwa CCM hivi kweli ache chama chake kwa Chadema.
 
Endeleeeni na ndoto zenu walakini ukweli wenyewe hakuna Slaa wala slow Lewis Makame haoni isipokuwa CCM hivi kweli ache chama chake kwa Chadema.

Presidential election results are too important to be left entirely in the hands of a single individual. Judge Lewis Makame will be watched. Do you remember how Lamwai won the Ubungo seat? The people of Ubungo watched NEC officials so carefully that stealing was not possible.

I do not have confidence in the neutrality of Lewis Makame. But I have confidence in the ability of the masses to prevent him from his usual machinations this time around.

This is not going to be just another election. It shaping up to be a historical election, an election that replaces the ruling party.
 
Habari zilizopatikana ndani ya kikao cha siri kati ya vigogo waandamizi wa usalama wa taifa,Kikwete na Kinana wiki iliyopita zimedokeza kwamba JK amepokea report inayoonyesha kura za Dk Slaa atakazopata october 31 2010.

Mpashaji wa habari amebainisha ya kwamba baada ya JK kupewa tathimini hiyo hakuamini alichoambiwa, zaidi aliongea kwa kiingereza maneno mawili '' Is it?''.

Hii ni taarifa fupi iliyotolewa wiki tatu zilizopita ikulu jijini dar es salaam ikiwa ni mpango wa usalama wa taifa kukamilisha awamu ya kwanza ya utafiti wao kwa baadhi ya mikoa ya kanda ya ziwa, kati, pwani na kaskazini. Machache yameibwa kwenye taarifa hiyo:

Mara: Dr Slaa 59.7%
Mwanza😀r Slaa 58.3%
Kigoma😀r Slaa 52.7%
Singida: Dr slaa 34.7%
Shinyanga: Dr Slaa 43.2%
Kilimanjaro: Dr Slaa 51.7%
Arusha: Dr Slaa 47.1%
Manyara: Dr Slaa 53.8%
Tanga😀r Slaa 46.2%
Dar es Salaam: Dr Slaa 66.4%
Geita: Dr Slaa: 62.7%
Kagera: Dr Slaa 48.2%
Dodoma: Dr slaa 42.4%
Tabora: Dr Slaa 57.6%

Usalama wa taifa unahusika vipi na mambo ya uchaguzi? Kwani JK anapinduliwa kinyume na katiba? Haya ni mapinduzi halali yaliyowekwa kwenye katiba! Je, sample yao inatosha na methodology ziko sawa na analysis ni sahihi? Kama last time sample ilikuwa 2,000 kwa nchi nzima - ilikuwa ndogo sana, hata ya JF kwa sasa ni kubwa zaidi ya mara mbili na inaongezeka!
 
haiwezi kuwa hivyo kwani zenji ni wadini zaidi.........wanachagua cuf kwa ajili ya mahakama ya kadhi hata km viongozi wake ni wadhaifu
pwani dk slaa 99%
zanzibar 100%
 
Tupo pamoja.........ila sasa chadema wameshachochea uchakachuaji...................sisiemu watafanya kila mbinu ili washinde alkini wakumbuke kuwa tz ya sasa sio ile ya miaka ile hatudanganyiki hata kidogo.........
 
Mwaka huu inawezekana, kwani kila mahali hata baadhi ya wana ccm wanasema kura ya urais watampa dr Slaa ila ubunge wanategemea hali ya kampeni itakavyokwenda.
.

mimi nimefanya ufuatiliaji wa hali ya kisiasa nchini inaonyesha kuwa baadhi ya wanaccm na wasio wanaccm wanasema kura ya urais watampa Kikwete ila ubunge itagemea hali ya hewa ya kisiasa nchini, kwa maana ya sifa na vigezo atakavyokuwa navyo mngombea wa udiwani au ubunge.
 
.

mimi nimefanya ufuatiliaji wa hali ya kisiasa nchini inaonyesha kuwa baadhi ya wanaccm na wasio wanaccm wanasema kura ya urais watampa Kikwete ila ubunge itagemea hali ya hewa ya kisiasa nchini, kwa maana ya sifa na vigezo atakavyokuwa navyo mngombea wa udiwani au ubunge.

Umefuatilia kwa namna gani? Watu wamefanya utafiti wa kisayansi wanaleta data wewe unasema"umefuatilia". Unadanganya. Daily News ilikusanya data ikaonekana Slaa anamzidi sana JK. Hapa JF data zipo zinaonyesha Slaa anampiku JK vibaya! Yote hayo huoni unataka tuamini "umefuatilia". Kwenye logic umefulia.
 
Acha kutudanganya, unatuambia usalama wa taifa ili tuamini. Tupe ushahidi bwana hatutaki kuongelea vitu hewa.
.

eti na kinana alikuwepo basi hakikuwa kikao cha siri!!!!!!!!!!!!! Takwimu zimekusudia kumpigia debe Dr Slaa kwa kuwahusisha usalama wa taifa ili zionekane ni sahihi. Takwimu zimekaa kama longo longo, kama udaku, zimejaa utambulisho wa kugushi ili kuzipa uzito.
 
Nimetembelea huku kusini mwa Tanzania wilaya ya songea mjini mkoa wa Ruvuma,bila upendeleo wala ushabiki maana mi si mwana ccm wala chadema but ukweli nikwamba dr slaa anauzika na hata madiwan na mbunge wa chadema wanauzika.nilijaribu kupata maon ya watu mbalimbali kuhusu uchaguz wa mwaka huu asikuambie m2 chochote chaweza kutokea mwaka huu,ebu tusubiri tuone.
.

Kule mbeya Dr Slaa hauziki na nimeambiwa ni kwa sababu ya kukubalika na kurudi kwa kishindo kwa Dr Mwakyembe na Prof. Mwandosya. Wabunge hawa wamebadilisha kabisa hali ya kisiasa mkoani mbeya ambapo kukubalika kwa Kikwete kuko juu zaidi ya Dr Slaa. Wabunge wengine walioongeza nguvu ya Kikwete kutokana na kukubalika kwao mkoani mbeya ni Benson mpesya wa mbeya mjini na Godfrey Zambi wa mbozi.
 
Hutaki unaacha. hata wewe fanya sampling hapo ulipo then calculate percentage ya slaa supporters versus jk and others uone
.

Acha kuchanganya data za JF na hali halisi mitaani. Ni kweli Dr Slaa anakubalika lakini upepo wa kisiasa hauonyeshi kama anaweza kwenda Ikulu mwaka huu. Ufuatiliaji wangu unaonyesha kwamba JF ina wanachadema wengi kuliko vyama vingine na wanaharakati wa siasa za mageuzi hivyo katika utafiti si jukwaa linaloweza kutoa haki ya utafiti wa kweli. Ndio maana kwenye utafiti inazingatiwa sana sampling kutawanyika kwa makundi mbalimbali kama vile itikadi, imani, elimu na kadhalika ili kuangalia jinsi kila kundi linavyopokea mageuzi bila hivyo takwimu hazitatoa picha halisi ya jambo linalofanyiwa utafiti/lililokusudiwa.
 
Mjomba hauamini?

CCM KWISHNE!!

Mpango mzima ni kwamba hata wasaidizi wake hawako tayari kumsaidia kushinda kwa ghiliba.

Ndiyo maana unaweza kuona picha kituko kama Rais ameshikilia Mfano wa hundi yennye maelezo tofauti na tarakimu. Jamaa (wasaidizi) wapo pembeni, na wamekausha. Wamechoka.

Wasaidizi aliobaki nao ni Wahindi tu ambao nao ni wenyeji wa Kariakoo, Upanga, Kisutu na Mnazi Mmoja.

Subiri Oktoba 31 Mjomba.

Umbea............."Mpango mzima ni kwamba hata wasaidizi wake hawako tayari kumsaidia kushinda kwa ghiliba".
 
Kama kweli habari hii isingekuwa na uzito tusingewaona wanaingia kwa fujo vibaraka wa CCM kuponda na kutubeza! Wengine tumesoma pschology na tumejifunza kusoma between the lines. ... utetezi wa akina Kasheshe kwangu ni ushahid tosha kuwa something fishy is going on and there is truth in this.
Pia niliata sikia ishu hii kama wiki 2 zilizopita... ndo maana tunasikia Pinda yuko UN sasa hivi badala ya JK ambaye alitarajia apumzike siku 16 na kufanyiwa ukarabati... :wink:
Inamvuto mkubwa na inaonyesha kuingia kwao kwa kasi ni ghadhabu ya siri zao kutoka hadharani
 
Iringa ni CCM wao wenyewe waliolikoroga, uhuni wa kukata majina ya washindi wa kura za maoni bila sababu za kueleweka kutawagharimu sana CCM sehemu nyingi.

Kwanini Synovate hawataki kuonyesha polls na wanaishia kutupatia tafiti za kijinga ambazo hazina kichwa wala miguu. Kuona kwamba nani anapendelewa na vyombo vya habari sidhani kama inahitaji tafiti za Synovate.

"Kuona kwamba nani anapendelewa na vyombo vya habari inahitaji tafiti za Synovate".

Soma hapa JF, soma tanzania daima, soma uhuru, soma nipashe, angalia Tv, sikiliza radio. Vyombo vya habari vinavaa nguo za wagombea.
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom