Endelea kuota!
acha kutudanganya, unatuambia usalama wa taifa ili tuamini. Tupe ushahidi bwana hatutaki kuongelea vitu hewa.
Hizi ni mbinu na mikakati ya CHADEMA ya kutaka kuwahadaa wananchi ili waje kuamini kwamba CHADEMA wameibiwa kura na CCM,mara matokeo yatakapotangazwa kuwa CCM imepata ushindi wa kishindo.Ukweli unabaki palepale kwamba CHADEMA inakubalika katika baadhi tu ya maeneo ambayo ni machache tofauti na CCM ambayo inakubalika sehemu nyingi za nchi[/QUOTE]
Una maana sehemu nyingi ya nchi (Watanzania wa sehemu hizo) hawaoni KERO zilizoletwa na CCM katika nchi yetu ya Tanzania???? Au hao WATANZANIA bado akili zao zimefungwa na hawaelewi maana ya MAENDELEO ya Tanzania????
UKWELI NI KUWA IKITANGAZWA KUWA CCM IMESHINDA - BASI USHINDI HUO NI WA KUCHAKACHUA KURA - KWANI WATANZANIA TULIO WENGI TUMECHOSHWA NA UMASKINI ULIOSABABISHWA NA CCM! TUMESHOSHWA NA WIZI WA WAZI WAZI WA RASILIMALI YA NCHI YETU; TUMECHOSHWA NA MBWEMBWE ZA WATANZANIA WACHACHE WANAOPATA WANACHOTAKA KWA KUTUMIA JASHO LA WATANZANIA - TUMESHOSHWA !!!!!!!!!!!!!!! NA KAMWE HATUIPI CCM KURA ZETUUUUUUUUUUUUU