Elections 2010 Kikwete apewa report ya kura za Slaa

Status
Not open for further replies.
Habari zilizopatikana ndani ya kikao cha siri kati ya vigogo waandamizi wa usalama wa taifa,Kikwete na Kinana wiki iliyopita zimedokeza kwamba JK amepokea report inayoonyesha kura za Dk Slaa atakazopata october 31 2010.

Mpashaji wa habari amebainisha ya kwamba baada ya JK kupewa tathimini hiyo hakuamini alichoambiwa, zaidi aliongea kwa kiingereza maneno mawili '' Is it?''.

Hii ni taarifa fupi iliyotolewa wiki tatu zilizopita ikulu jijini dar es salaam ikiwa ni mpango wa usalama wa taifa kukamilisha awamu ya kwanza ya utafiti wao kwa baadhi ya mikoa ya kanda ya ziwa, kati, pwani na kaskazini. Machache yameibwa kwenye taarifa hiyo:

Mara: Dr Slaa 59.7%
Mwanza:Dr Slaa 58.3%
Kigoma:Dr Slaa 52.7%
Singida: Dr slaa 34.7%
Shinyanga: Dr Slaa 43.2%
Kilimanjaro: Dr Slaa 51.7%
Arusha: Dr Slaa 47.1%
Manyara: Dr Slaa 53.8%
Tanga:Dr Slaa 46.2%
Dar es Salaam: Dr Slaa 66.4%
Geita: Dr Slaa: 62.7%
Kagera: Dr Slaa 48.2%
Dodoma: Dr slaa 42.4%
Tabora: Dr Slaa 57.6%
Thanks. Looks genuine. Dont ask me why.
 
Kwamba Dr. Slaa anapendwa hili halina ubishi.. kuna makosa ambayo CCM wameyafanya kwenye kampeni hii ambayo sikutarajia kwa chama kikongwe na chenye kujua propaganda kingeweza kuyafanya. Makosa haya yanaweza kuigharimu CCM vibaya sana. Ninaamini matokeo makubwa ya kushangaza yatatoka Tanzania vijijini ambako kuna watu wameendelea kutuambia kuwa "ati wanakijiji hawajui tuwape elimu". Watu ambao watatudisappoint sana nina wasiwasi inabakia Dar! Hawa watu wa Dar ndio tatizo kubwa sana la mabadiliko nchini...
 
Hii info haiwezi kuwa habari njema kwa washabiki wa CCM hata kidogo.

Iwe ya ukweli au uongo, naamini imetolewa kwa malengo mahsusi. CCM mwaka huu kazi mnayo.
 
habari za siku wana jamvi?

napenda kuwambia kuwa mimi ni mmoja wa watu wanaompenda dk slaa awe Rais wa nchi hii.

naomba mniruhusu niwaletee taarifa za siri na za ndani kabisa juu mipango inayopangwa na kina kinana na kundi lake + TISS dhid ya dr slaa.


taarifa nikayayoleta itahusu:
  1. mikoa ipi dk slaa ashindwe kwa ujumla
  2. lini masanduku ya kura hewa yatasafirishwa kwenda mikoa husika
  3. asilimia ngapi ktk matokeo ya jumla kitaifa apewe DR.slaa
  4. watu gani na wametoka wapi na wapi wanapata mafunzo ya hali ya juu ili kufanikisha ccm ishinde(wazee wa kazi ktk kuiba kura)
  5. mipango ya kupoteza maisha ya baadhi ya wana chadema Baada uchaguzi
kwakifupi taarifa hizi ni za siri sana ila nitazitoa hadharani maana nampenda Dr slaa awe Rais, lakini kubwa zaidi ni kwamba nimechukia saan maana rafiki yangu wamemuua na kumzika kusikojulikana baada ya kuwa muwazi kwakutofurahishwa na yale wanayotendewa watanzania.

NB: nawaomba watanzania mumchague DR slaa.
 
Hizi zinaweza kuwa True. Lakini ingekuwa vizuri kama angetupatia source. Mimi kwa tafiti zangu sehemu mbalimbali za Dar kwa watu wachache ninaokutana nao Slaa always ni kati ya 60 na 80%. Na mara nyingi watu hujadili JK na Dr. Slaa; kana kwamba hakuna wagombea wengine. Maana yake ni kwamba kama tukiendelea kuelimisha ndugu, jamaa na marafiki zetu ambao wana kadi ya kupiga kura waungemkono mabadiliko (kuchagua Dr. Slaa) Kuna uwezekano tukapata ushindi wa Kishindo. Tuendelee na kazi Mpaka kieleweke. :glasses-nerdy:
 

Baada ya kupewa taarifa hizi, aliitisha kikao cha familia, na kuwapa taarifa hizi mbaya kwake, na kikao cha familia kiliamua yafuatayo:

1) Ridhiwani aende mikoa ya kusini kupiga debe la nguvu

2) Salma aende mikoa ya ziwa kupiga debe la nguvu

3) Kikwete alibadilisha ratiba yake ya kampeni na siku alizopangiwa kupumzika zikaondolewa.

Wakuu wa mikoa na wilaya ambazo familia yake watatembelea, walitakiwa kutoa ushirikiano wa hali na mali, ndiyo maana watendaji wa serikali wanadaiwa taarifa za kiserikali na familia kwenye mikoa na wilaya wanapotembelea, wakitumia magari ya serikali yaliyobadilishwa namba.


Ata Sophia Simba wiki hii amekua bize kweli kweli... :playball: Na ni kweli mabango yamezidi mikoani. Yani noma.

Problem ni Dar na kijijini. Kuna watu Tanga vijijini hawamfahamu Slaa jamani, sasa hapo kitenda wili.
 
Habari zilizopatikana ndani ya kikao cha siri kati ya vigogo waandamizi wa usalama wa taifa,Kikwete na Kinana wiki iliyopita zimedokeza kwamba JK amepokea report inayoonyesha kura za Dk Slaa atakazopata october 31 2010.

Mpashaji wa habari amebainisha ya kwamba baada ya JK kupewa tathimini hiyo hakuamini alichoambiwa, zaidi aliongea kwa kiingereza maneno mawili '' Is it?''.

Hii ni taarifa fupi iliyotolewa wiki tatu zilizopita ikulu jijini dar es salaam ikiwa ni mpango wa usalama wa taifa kukamilisha awamu ya kwanza ya utafiti wao kwa baadhi ya mikoa ya kanda ya ziwa, kati, pwani na kaskazini. Machache yameibwa kwenye taarifa hiyo:

Mara: Dr Slaa 59.7%
Mwanza:Dr Slaa 58.3%
Kigoma:Dr Slaa 52.7%
Singida: Dr slaa 34.7%
Shinyanga: Dr Slaa 43.2%
Kilimanjaro: Dr Slaa 51.7%
Arusha: Dr Slaa 47.1%
Manyara: Dr Slaa 53.8%
Tanga:Dr Slaa 46.2%
Dar es Salaam: Dr Slaa 66.4%
Geita: Dr Slaa: 62.7%
Kagera: Dr Slaa 48.2%
Dodoma: Dr slaa 42.4%
Tabora: Dr Slaa 57.6%

Takwimu ni nzuri kwa Slaa lakini wasibweteke, wazidishe bidii zaidi kufanya kampeni za nguvu nchini kote
 
habari za siku wana jamvi?

napenda kuwambia kuwa mimi ni mmoja wa watu wanaompenda dk slaa awe Rais wa nchi hii.

naomba mniruhusu niwaletee taarifa za siri na za ndani kabisa juu mipango inayopangwa na kina kinana na kundi lake + TISS dhid ya dr slaa.


taarifa nikayayoleta itahusu:
  1. mikoa ipi dk slaa ashindwe kwa ujumla
  2. lini masanduku ya kura hewa yatasafirishwa kwenda mikoa husika
  3. asilimia ngapi ktk matokeo ya jumla kitaifa apewe DR.slaa
  4. watu gani na wametoka wapi na wapi wanapata mafunzo ya hali ya juu ili kufanikisha ccm ishinde(wazee wa kazi ktk kuiba kura)
  5. mipango ya kupoteza maisha ya baadhi ya wana chadema Baada uchaguzi
kwakifupi taarifa hizi ni za siri sana ila nitazitoa hadharani maana nampenda Dr slaa awe Rais, lakini kubwa zaidi ni kwamba nimechukia saan maana rafiki yangu wamemuua na kumzika kusikojulikana baada ya kuwa muwazi kwakutofurahishwa na yale wanayotendewa watanzania.

NB: nawaomba watanzania mumchague DR slaa.

Hii inatisha, wamemuua lini? pole sana
 
Nimetembelea huku kusini mwa Tanzania wilaya ya songea mjini mkoa wa Ruvuma,bila upendeleo wala ushabiki maana mi si mwana ccm wala chadema but ukweli nikwamba dr slaa anauzika na hata madiwan na mbunge wa chadema wanauzika.nilijaribu kupata maon ya watu mbalimbali kuhusu uchaguz wa mwaka huu asikuambie m2 chochote chaweza kutokea mwaka huu,ebu tusubiri tuone.
 
Mwaka huu inawezekana, kwani kila mahali hata baadhi ya wana ccm wanasema kura ya urais watampa dr Slaa ila ubunge wanategemea hali ya kampeni itakavyokwenda.
 
No u must be jokin' we re not here 2 trail anybody

Mjomba hauamini?

CCM KWISHNE!!

Mpango mzima ni kwamba hata wasaidizi wake hawako tayari kumsaidia kushinda kwa ghiliba.

Ndiyo maana unaweza kuona picha kituko kama Rais ameshikilia Mfano wa hundi yennye maelezo tofauti na tarakimu. Jamaa (wasaidizi) wapo pembeni, na wamekausha. Wamechoka.

Wasaidizi aliobaki nao ni Wahindi tu ambao nao ni wenyeji wa Kariakoo, Upanga, Kisutu na Mnazi Mmoja.

Subiri Oktoba 31 Mjomba.
 
Taarifa hizi nilizisikia, sikujua zishaanza kusambaa... Inabidi kuanza kutafuta ukweli wake. Inasemekana Slaa ameanza kukubalika vijijini sana, nini kinasababisha?

Na akishakubalika vijijini basi ndo mwisho wa CCM kwani watu wa mjini wana upeo zaidi wa kujua mambo na wanaonja joto ya jiwe ya uongozi dhaifu wa Kikwete wenye kuwaneemesha wanamtandao na mafisadi rafiki zake na familia zao huku WaTZ wengi wakiwa hoi bini taabani.
 
Mwaka huu inawezekana, kwani kila mahali hata baadhi ya wana ccm wanasema kura ya urais watampa dr Slaa ila ubunge wanategemea hali ya kampeni itakavyokwenda.

Yeah, imefika wakati watu wasipige kura kuangalia wao ni wanachama wa chama gani kwani kuna umuhimu gani wa kukipigia chama chako kura huku wewe mwenyewe uko hoi kimaisha kutokana na chama chako kutotilia maanani mambo ya msingi yenye kuwapa waTz unafuu wa maisha?
 

Baada ya kupewa taarifa hizi, aliitisha kikao cha familia, na kuwapa taarifa hizi mbaya kwake, na kikao cha familia kiliamua yafuatayo:

1) Ridhiwani aende mikoa ya kusini kupiga debe la nguvu

2) Salma aende mikoa ya ziwa kupiga debe la nguvu

3) Kikwete alibadilisha ratiba yake ya kampeni na siku alizopangiwa kupumzika zikaondolewa.

Wakuu wa mikoa na wilaya ambazo familia yake watatembelea, walitakiwa kutoa ushirikiano wa hali na mali, ndiyo maana watendaji wa serikali wanadaiwa taarifa za kiserikali na familia kwenye mikoa na wilaya wanapotembelea, wakitumia magari ya serikali yaliyobadilishwa namba.


Ninakuamini mtumishi wa MUNGU.
CCM mwaka huu hawana lao, tumeibiwa vya kutosha, tumedharauliwa vya kutosha, saa ya ukombozi sasa imewadia. "Eeee MUNGU wa mbinguni sikia kilio cha Watanzania wanaotaabika katika nchi iliyojaa utajiri wa kila namna uliyoipatia, kisa uongozi mbaya wa CCM.
 
Ukweli ni kuwa JK ana hali mbaya sana; ndani ya CCM kwenyewe wanaomuunga mkono wengi wao ni wale WACHAFU kisiasa (wahindi wengi na wasio watanzania + watanzania wapenda sifa). JK kanunuliwa helicopter na mhindi (Tanil Somaiya). Kaamua kumtumia Kinana ambaye pia si Mtanzania. Familia imeona hali imekuwa tete ikabidi waanze utawala wa kibabe kwa kumtumia Makamba ambapo mke wake na mwanae wanafuja pesa vibaya sana.

Baadhi ya watu ndani ya TISS wanamuunga mkono Slaa bila kificho, wanakiri JK ni mzigo. Ikitokea akarudi madarakani ajihesabu ana wakati mgumu sana.

Kama ana akili timamu asingesimama na kudai Mramba na Lowassa ni wasafi na tuhuma dhidi yao ni za kinafiki, hii inamaanisha nini wakuu? Nasita kumtukana vibaya kwa maandishi tu, kura yangu ni dawa tosha. Nipo hai, nipo Musoma na nitamnyonga kwa kura tu

Hiyo niliyoweka kwenye nyekundu ni ushahidi tosha kwa kila Mtanzania kutambua kuwa hatuna rais mwenye kuipenda nchi yake na kujali tabu za watanzania zinazosababishwa na hawa mafisadi ambao yeye rais anawaona kuwa ni wasafi. Hafai kabisa huyu Kikwete.
 
Mara: Dr Slaa 59.7%
Mwanza:Dr Slaa 58.3%
Kigoma:Dr Slaa 52.7%
Singida: Dr slaa 34.7%
Shinyanga: Dr Slaa 43.2%
Kilimanjaro: Dr Slaa 51.7%
Arusha: Dr Slaa 47.1%
Manyara: Dr Slaa 53.8%
Tanga:Dr Slaa 46.2%
Dar es Salaam: Dr Slaa 66.4%
Geita: Dr Slaa: 62.7%
Kagera: Dr Slaa 48.2%
Dodoma: Dr slaa 42.4%
Tabora: Dr Slaa 57.6%

Mkuu Sikonge,

Una maoni yoyote hapo nilipo-bold?
 
Mi nawaambia kaeni na makopo ya chunvi ,siku yanatangazwa matokeo yaani hata hayajamaliza unaanza kuyeyusha chunvi na ingine unabwia , eti ata ukisikia Kikwete ameibuka na ushindi wa tetemeko la ardhi ,unakuwa tayari peresha yako iko nomol !!:lol:
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom