Kikwete amtembelea Kardinali Pengo Dubai

Kikwete amtembelea Kardinali Pengo Dubai

Mzee wa trip! Dah, kumbe alikua na safari ya Canada, angemuomba lift yule jamaa aliekuja na private jet yake
 
Heheh naona katumwa akawatulize Acacia
Ametumwa akawaambie kuwa kilichofanyika ni Public Stunt ili 2020 mchezo uendelee kwani Wapinzani wakiingia Makinikia ni story

Acacia wako huko!?
 
Pengo anaumwa, alikuwa kwenye matibabu Marekani na tulitangaziwa kwamba yupo safarini kurejea hapa nchini. Hivyo ni hakika kwamba hapo yupo njiani kurejea nchini.
Kwahiyo kuna uwezekano wamekutana uwanja wa ndege.
 
Kikwete ana mambo mengi na washkaji wengi huko nje sasa akienda kuwatembelea kuna shida gani?

Tatizo ni kwamba sisi ndio tunalipia tiketi na shopping yake.

Makodi ya TRA wanayokusanya yanaenda kulipia anasa za hawa watu
 
...waw is this a coincidence kwamba anaenda canada wakati barrick gold Tz kunafutuka??....yetu masikio....seems 10% za barrick zimeanza kuwatokea puani...na sasa wanatapatapa....na kuanza kutafta sympathy kwa kuwa karibu na watakatifu....tusubiri tuone....watayasema yote siku ikifika....
 
Nimetoboa kitabu changu na bikari naunga Unga dot kila likitokea neno Canada naona mmmhhhh
 
Hawa jamaa ndo wametufikisha hapa, huko anaenda kufanya nini kama sio kwenda wamuulize, peleka hela huyu jamaa alegee. Wakome
 
Heheh naona katumwa akawatulize Acacia
Ametumwa akawaambie kuwa kilichofanyika ni Public Stunt ili 2020 mchezo uendelee kwani Wapinzani wakiingia Makinikia ni story
Wabunge wa upinzani wanampenda na kummiss sana mheshimiwa Kikwete, Rais mstaafu. Walilipuka kwa shangwe alipotokea siku moja Bungeni.
 
"Mhadhama" ndiyo mnyama gani? Hata rais hajui kuandika Kiswahili.....tumekwisha!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom