Kikwete amtembelea Kardinali Pengo Dubai

KIKWETE+PICHA.jpg


Rais Mstaafu, Jakaya Kikwete amemtembelea Mhadhama Polycarp Kardinali Pengo, nchini Dubai leo.


Kikwete ameandika katika mtandao wake wa kijamii wa Twitter leo(Ijumaa) na kueleza kuwa amemkuta Kardinali Pengo akiwa mwenye siha njema.

Ingawa hajaeleza amemkuta Kardinali Pengo nyumbani au Hospitali lakini askofu huyo mkuu wa jimbo la Dar es Salaam, amewahi kuripotiwa kuwa yupo nje ya nchi kwa matibabu.

“Nikiwa Dubai safarini kwenda Canada, nimemtembelea asubuhi hii Mhadhama Polycarp Kadinali Pengo na nimefarijika kumkuta akiwa na siha njema.” Ameandika Kikwete

Kikwete amesema amemtembelea Kardinali Pengo wakati akiwa safarini kuelekea Canada.


Chanzo: Mwananchi


Kwenye red hapo! Very interesting
 
KARUDI BABA MMOJA ...TOKA SAFARI YA MBALI
WATOTO WAKE WAKAJA ...ILI KUMTAKA HALI
KUMTAKA NA KAULI...WAIPATE MALI


nimesahau kidogo......... was a good song.


Karudi baba mmoja toka safari ya mbali
Kavimba yote mapaja na kutetemeka mwili
Watoto wake wakaja ili kumtaka hali
Wakakata na kauli iwafae maishani
 
KARUDI BABA MMOJA ...TOKA SAFARI YA MBALI
WATOTO WAKE WAKAJA ...ILI KUMTAKA HALI
KUMTAKA NA KAULI...WAIPATE MALI


nimesahau kidogo......... was a good song.
Wakataka na kauli iwafae maishani
Akatamka mgonjwa ninaumwa kweli kweli
Hata kama nikichanjwa haitoki homa kali

Nimeishia hapo......
 
  • Thanks
Reactions: rr3
Canada na Pengo plus mshauri wa JPM suala makinikia....nawaza tu kama suala limeisha watalipa kiasi kama 10% na kupandisha Mrahaba kuwa 35 kwa 65 au ni mileage ku kwa Sizonje kuombe kura....hizo pesa zitawekwa kwenye reli hadi Dodoma.....nawaza tu
 
KIKWETE+PICHA.jpg


Rais Mstaafu, Jakaya Kikwete amemtembelea Mhadhama Polycarp Kardinali Pengo, nchini Dubai leo.


Kikwete ameandika katika mtandao wake wa kijamii wa Twitter leo(Ijumaa) na kueleza kuwa amemkuta Kardinali Pengo akiwa mwenye siha njema.

Ingawa hajaeleza amemkuta Kardinali Pengo nyumbani au Hospitali lakini askofu huyo mkuu wa jimbo la Dar es Salaam, amewahi kuripotiwa kuwa yupo nje ya nchi kwa matibabu.

“Nikiwa Dubai safarini kwenda Canada, nimemtembelea asubuhi hii Mhadhama Polycarp Kadinali Pengo na nimefarijika kumkuta akiwa na siha njema.” Ameandika Kikwete

Kikwete amesema amemtembelea Kardinali Pengo wakati akiwa safarini kuelekea Canada.


Chanzo: Mwananchi
Kikwete anaenda kufanya nini Canada , nyumbani kwao akina Barick ?
 
Wakati mwingine ushahidi wa mazingira unaweza kumtia mtu hatiani,Tumsubiri mwanasheria nguli TL aje atutafsirie maana yake.
 
Kikwete anaruhusiwa vipi kusafiri nje ya nchi wakati alihusika kusaini mikataba ya kifisadi kwenye madini enzi akiwa waziri???
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom