Kikwete amtembelea Kardinali Pengo Dubai

Kikwete amtembelea Kardinali Pengo Dubai

Tunapodai hawa jamaa kuondolewa kinga Lumumba hawaelewi, sasa sijui kama hata hiyo inayoitwa nia njema kama ina nafasi tena.
 
Kwahiyo kuna uwezekano wamekutana uwanja wa ndege.
Ndio hivyo, kwa safari ndefu kama hizo na kama kuna muda mrefu wa kusubiria flight connection mtu anaweza kubook hotel ili apumzike wakati wa kusubiri. Na kwa mtu mzito na mgonjwa kama Kardinali hilo ni jambo la heri kabisa. Haipendezi mzee kama huyo akae airport masaa na masaa anasubiria ndege wakati sehemu za kupumzikia zipo.
 
  • Thanks
Reactions: Auz

Kwa taarifa za uhakika nilizozipata ni kuwa Polycarp Pengo alikuwa Marekani akitibiwa kwa takribani mwezi mmoja, ktk safari yake ya kurudi Tanzania alipitia Dubai na daktari wake alimshauri apumzike hapo Dubai walau kwa siku moja hivi na akafanya hivyo(ilikuwa juzi tarehe 15 Juni 2017), sasa Mkwere kapita hapo na kufanya aliyoyafanya kupitia media (photos) . Itoshe pia kusema Polycarp Pengo anawasili leo safari yake hiyo na anatua uwanja wa ndege JNIA , anayependa kujua hilo anaweza kufuatilia zaidi- lakini habari ya uhakika ndiyo hiyo.
 
Barrick gold wanamilikia 64% sasa hizo 36% hatujajua nani ni mmiliki halali wanaweza kuwa wapo hapa hapa Tz mdomo mako kbs.
Very possible. Hii inawekana kama TRL wale wahindi waliacha mabehewa mwenyewe hakujilikana hadi Leo yamekua kama daladala yanapiga safari pugu to station. Hii acacia itakua ya wabongo nilikua napata mashaka GM wa acacia anapinga ripoti bila kuogopa serikali. This happen only in Tanzania
 
Kuna mtu aliniambia kirefu cha BAVICHA ni "BAraza la VIlaza wa CHAdema" nilikuwa na mashaka na maneno hayo sasa nimeamini.
Na kuna mtu amesema kirefu cha makinikia ni MWANAUME ANGETUIBIA KISHERIA NI KIKWETE ANGEIONA.hiyo
 
"Mhadhama" ndiyo mnyama gani? Hata rais hajui kuandika Kiswahili.....tumekwisha!
Mkuu mambo mengine ni ya kupotezea tu! Kwamba Kikwete hajui kuandika Kiswahili kwa sababu tu ya hiyo typing error? Hatuwezi kwisha!
 
  • Thanks
Reactions: Pep

Similar Discussions

Back
Top Bottom