314
JF-Expert Member
- Aug 29, 2016
- 593
- 927
Hujui accacia ime originate wapi wakuu wake wametokea wapi hujui hq za barrick ziko wapi sasa mtateteaje haki za wanyongeAcacia wako huko!?
Hujui accacia ime originate wapi wakuu wake wametokea wapi hujui hq za barrick ziko wapi sasa mtateteaje haki za wanyongeAcacia wako huko!?
Sasa Pengo anajua nini khs Madini na Persuasion kwa wazungu Mkuu?Anaenda Barrick/Acacia HQ kuweka mambo sawa huyo Cardinal ndio atakuw dalali kwa Magu!!!!
Gwajima akiwemo.Mungu awajaalie siha njema na maisha marefu viongozi wetu woote wa kiroho na kisiasa.
anakwenda kuwapeleka barua ya kuomba msamaha kutoka kwa ngosha!! We subiri Noah yako utachongewa na mafundi carpenter wa muhimbili_au wa pale karibu na geti la mochwari mount meru hospital.mHii safari iwe na mafanikio ili nitimize ndoto yangu ya kumiliki Noah.
Sent from my Vodafone Smart Tab 3G using JamiiForums mobile app
Pumzi ya Lisu ndio imekwisha kabisa. Kelele zote oh tutshitakiwa, sijui miga sijui nini zimezimika ghafla.Naona pumzi inakata kwa kasi sana kuhusu makinikia. TUNASUBIRI TRIL. 108.
Hata kama umeguswa sana tujaribu kuheshimu dini za watu hata kama kiongozi wao ameteleza. Ni ushauri wangu tu huo wakuu."Mhadhama" ndiyo mnyama gani? Hata rais hajui kuandika Kiswahili.....tumekwisha!
Nani akome?endeleeni kudanganywa,watu wanakula nchi tuHawa jamaa ndo wametufikisha hapa, huko anaenda kufanya nini kama sio kwenda wamuulize, peleka hela huyu jamaa alegee. Wakome
Neno sahihi la kumtaja kiongozi huyu wa dini (Kardinali wa Kanisa la Katoliki) lilikuwa "mhashamu" ambalo kiingereza ni "His Eminence" au "His Most Revered Eminence"."Mhadhama" ndiyo mnyama gani? Hata rais hajui kuandika Kiswahili.....tumekwisha!
Kardinali anatamkwa "Mwadhama"Neno sahihi la kumtaja kiongozi huyu wa dini (Kardinali wa Kanisa la Katoliki) lilikuwa "mhashamu" ambalo kiingereza ni "His Eminence" au "His Most Revered Eminence".
Kardinali anatamkwa "Mwadhama"
Askofu na Askofu Mkuu "Mhashamu" na labda ndicho kilichomchanganya raisi mstaafu, kiingereza ndo kama ulivosema...cardinal...> His eminence.
mwarabu ni kama maji,usipomuoga utamnywaKwa taarifa za uhakika nilizozipata ni kuwa Polycarp Pengo alikuwa Marekani akitibiwa kwa takribani mwezi mmoja, ktk safari yake ya kurudi Tanzania alipitia Dubai na daktari wake alimshauri apumzike hapo Dubai walau kwa siku moja hivi na akafanya hivyo(ilikuwa juzi tarehe 15 Juni 2017), sasa Mkwere kapita hapo na kufanya aliyoyafanya kupitia media (photos) . Itoshe pia kusema Polycarp Pengo anawasili leo safari yake hiyo na anatua uwanja wa ndege JNIA , anayependa kujua hilo anaweza kufuatilia zaidi- lakini habari ya uhakika ndiyo hiyo.
pengo anakula tende na halua tu hapo arabuni..aangalie asipate majiniSasa Pengo anajua nini khs Madini na Persuasion kwa wazungu Mkuu?
Wapo wapi kwani? Maana hapa Nchini si mmesema kwamba hawajasajiliwa!