Kikwete amtembelea Kardinali Pengo Dubai

Kikwete amtembelea Kardinali Pengo Dubai

Anakwenda Canada kuweka mambo sawa
Tanzania ni nchi ambayo watu wake wenhi ni wenye chuki, wivu na majungu. Tabia hizi huwafanya watanzania kuwa watu wa ajabu, watu wanaofikiria kila mara kuwa wao wamekuwa na matatizo kwa sababu ya watu wengine wana maisha mazuri. Wanadhani wamekuwa fukara kwa sababu wazungu ni matajiri. Hata miongoni mwao, maskini wanadhani wamekuwa maskini kwa sababu akina Mengi, Bakhresa, Karamagi, n.k. ni matajiri. Kwa sababu hawajui sababu halisia ya umaskini wao, ni vigumu kwao kuondokana na umaskini.

Bahati mbaya, na viongozi wanaujua udhaifu huu na huutumia vizuri sana kuwakokota wajinga kwa manufaa yao.

Kikwete kama binadamu lazima atakuwa na mapungufu yake lakini fikra zake chanya zilimsaidia kutimiza mengi wakati wa utawala wake.
 
Mama salma kakimbilia bungeni kupigiana kelele na kina Lusinde huku mzee anakula bata mwenyewe....
 
Ogopa Mzungu,Haya mambo ya kelele hawayataki kabisa,labda Rais Kikwete kaenda kukamilisha kile kidogo japo sio kidogo sana kujenga smelter na kutoa angalau 10% ya malimbikizo au malalamishi,pesa nyingine zitakuja kama misaada ya maendeleo kutoka nchi husika yaani USA,Canada,UK,Australia,Germany, Japan na China.
Si uliona Raisi Magufuri alipokutana na Mwenye vinoo alikunjua uso na kupongeza Mwenyekiti huyo profesa.
 
Siku nitakapokutana na Kadinali Pengo nitamshauri aanzishe mjadala kuhusu swala la jumuia za kila Jumamosi ! Binafsi naona kukutana kila Jumamosi ktk kila wiki kunachosha sana, mambo ni mengi sana, hata Mwenyezi Mungu aliagiza Siku moja tu ktk wiki Ndiyo iwe ya kupumzika /kuiabudu/ kuitakasa sasa haya mambo ya kukutana kila wiki yameandikwa wapi?, eti kufahamiana Sawa lakini Kwa nini isiwe Mara moja Kwa kila miezi mitatu? Au Mara moja Kwa kila mwezi ? Je huko kuliko Roma/Vatican wazungu wanao muda wa kukutana kila wiki Kwenye jumuia? Halafu Jumapili iko palepale, halafu Watu ni waoga kuhoji au kushauri Juu ya jambo hili wachache wakihoji wanatishiwa eti wakipatwa na matatizo hawatasaidiwa na Kanisa Kwa kuwa jumuia haendi halafu wakati mwingine ni risk kukaribisha Watu nyumbani wanajumuiya wengine siyo raia wema, kuna jamaa alihamia sehemu inasemekana walivamiwa na Majambazi ambao walihusishwa moja Kwa moja na kuja pale nyumbani Kama wana jumuia Kumbe wanaenda kuchora ramani za vita! Naomba kutoa hoja hili swala la jumuia number of frequencies za kukutana zipinguzwe Mara dufu!
Mwingine anaenda job hadi Jumamosi , au Siku ya kusema niwahi shamba au shuhuli flani au hata kumpumzika Kwa uchovu wa wiki nzima badala Yake eti aende jumuia! Naloamzisha dude! Ningejua namna ya kuanzisha Uzi wake Kwa topic hii ninge fanya hivyo! Mlio karibu mwadhama Pengo na Tec naomba mfikishe huu ujumbe maridhawa!
 
Siku nitakapokutana na Kadinali Pengo nitamshauri aanzishe mjadala kuhusu swala la jumuia za kila Jumamosi ! Binafsi naona kukutana kila Jumamosi ktk kila wiki kunachosha sana, mambo ni mengi sana, hata Mwenyezi Mungu aliagiza Siku moja tu ktk wiki Ndiyo iwe ya kupumzika /kuiabudu/ kuitakasa sasa haya mambo ya kukutana kila wiki yameandikwa wapi?, eti kufahamiana Sawa lakini Kwa nini isiwe Mara moja Kwa kila miezi mitatu? Au Mara moja Kwa kila mwezi ? Je huko kuliko Roma/Vatican wazungu wanao muda wa kukutana kila wiki Kwenye jumuia? Halafu Jumapili iko palepale, halafu Watu ni waoga kuhoji au kushauri Juu ya jambo hili wachache wakihoji wanatishiwa eti wakipatwa na matatizo hawatasaidiwa na Kanisa Kwa kuwa jumuia haendi halafu wakati mwingine ni risk kukaribisha Watu nyumbani wanajumuiya wengine siyo raia wema, kuna jamaa alihamia sehemu inasemekana walivamiwa na Majambazi ambao walihusishwa moja Kwa moja na kuja pale nyumbani Kama wana jumuia Kumbe wanaenda kuchora ramani za vita! Naomba kutoa hoja hili swala la jumuia number of frequencies za kukutana zipinguzwe Mara dufu!
Mwingine anaenda job hadi Jumamosi , au Siku ya kusema niwahi shamba au shuhuli flani au hata kumpumzika Kwa uchovu wa wiki nzima badala Yake eti aende jumuia! Naloamzisha dude! Ningejua namna ya kuanzisha Uzi wake Kwa topic hii ninge fanya hivyo! Mlio karibu mwadhama Pengo na Tec naomba mfikishe huu ujumbe maridhawa!
 
Ukianzisha vita na kikwet hakika atakushinda tu magu aulize watu... kikwet hajawahi shindwa vita na wapinzani wake...
 
Rais mstaafu ana shughuli nyingi za kufanya...msifikiri atakaa vijiweni na kunywa kahawa na kupiga soga kama nyie. Miwatu mingine bana mara mkibanwa huko na the don ngosha mumsifie mara mumponde...mnakwenda kwenda hamueleweki ni baridi au moto
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom