BABA YETU WATHAMANIKARUDI BABA MMOJA ...TOKA SAFARI YA MBALI
WATOTO WAKE WAKAJA ...ILI KUMTAKA HALI
KUMTAKA NA KAULI...WAIPATE MALI
nimesahau kidogo......... was a good song.
Kuna nini Canada? Anamfuata bosi wq Accacia au?![]()
Rais Mstaafu, Jakaya Kikwete amemtembelea Mhadhama Polycarp Kardinali Pengo, nchini Dubai leo.
Kikwete ameandika katika mtandao wake wa kijamii wa Twitter leo(Ijumaa) na kueleza kuwa amemkuta Kardinali Pengo akiwa mwenye siha njema.
Ingawa hajaeleza amemkuta Kardinali Pengo nyumbani au Hospitali lakini askofu huyo mkuu wa jimbo la Dar es Salaam, amewahi kuripotiwa kuwa yupo nje ya nchi kwa matibabu.
“Nikiwa Dubai safarini kwenda Canada, nimemtembelea asubuhi hii Mhadhama Polycarp Kadinali Pengo na nimefarijika kumkuta akiwa na siha njema.” Ameandika Kikwete
Kikwete amesema amemtembelea Kardinali Pengo wakati akiwa safarini kuelekea Canada.
Chanzo: Mwananchi
Jamaa na matripu ya nje bado anaendela tuSafarini Canada
Waache wazee wetu wapumzike wamefanya kazi kubwa sanaa kuutumikia nchi halafu isitoshe ripoti haijawataja sasa wewe naona unataka kufungiwa 24 monthsHivi nilisikia vibaya au ni uwelewa wangu mdogo, Mhe.Nchemba si kasema wahusika wa Makinikia wasisafiri? Au huyu au yupo?



napita tu!!!!