Kikwete amtembelea Kardinali Pengo Dubai

Kikwete amtembelea Kardinali Pengo Dubai

Umenichekesha kweli, enzi zile Jakaya akiitwa Mathew
chezea,wewe hadi marehemu abdallah Ali malima ilibidi atumie jina la kiasili la kighoma ili apate kusoma itakuwa Jakaya,ambae pia aliitwa khalfan ila akaamua atumie majina ya kiafrika jakaya kikwete ili asome,

nasikia kanisa lilikuwa halitaki kabisa majina ya kiarabu,

leo hii anakwenda kujiuguzia hukohuko Dubai,
 
Umenichekesha kweli, enzi zile Jakaya akiitwa Mathew
chezea,wewe hadi marehemu abdallah Ali malima ilibidi atumie jina la kiasili la kighoma ili apate kusoma itakuwa Jakaya,ambae pia aliitwa khalfan ila akaamua atumie majina ya kiafrika jakaya kikwete ili asome,

nasikia kanisa lilikuwa halitaki kabisa majina ya kiarabu,

leo hii anakwenda kujiuguzia hukohuko Dubai,
 
Ukiunganisha makinikia na hii safari unapata jibu.
Ina maana kwa akili zenu mlidhani mzungu anaweza kumyenyekea mweusi kwa heshima kama hizi bila kuwa na sababu ya pumbazo hili?

BATAZZZ.jpg
 
chezea,wewe hadi marehemu abdallah Ali malima ilibidi atumie jina la kiasili la kighoma ili apate kusoma itakuwa Jakaya,ambae pia aliitwa khalfan ila akaamua atumie majina ya kiafrika jakaya kikwete ili asome,

nasikia kanisa lilikuwa halitaki kabisa majina ya kiarabu,

leo hii anakwenda kujiuguzia hukohuko Dubai,
Mbona nakuonaga kama muelewa hivi lakini dini za wakoloni zinakufanya unakuwa mjinga kabisa?

Hivi Dubai zaidi ya sifa ya holiday na biashara ni nini kingine kitamfanya mtu aende Dubai zaidi ya kupita transit kama amepanda Emirates? Yani unaamini kabisa raia wa Vatican anaweza kutibiwa Dubai? Ndio maana sishangai kusikia Mange ana masters ya Dubai.
 
Mbona nakuonaga kama muelewa hivi lakini dini za wakoloni zinakufanya unakuwa mjinga kabisa?

Hivi Dubai zaidi ya sifa ya holiday na biashara ni nini kingine kitamfanya mtu aende Dubai zaidi ya kupita transit kama amepanda Emirates? Yani unaamini kabisa raia wa Vatican anaweza kutibiwa Dubai? Ndio maana sishangai kusikia Mange ana masters ya Dubai.
Huyu aelewi hawa waarabu wanakuja wengi sana kutibiwa Munich Germany.
 
Kikwete ana mambo mengi na washkaji wengi huko nje sasa akienda kuwatembelea kuna shida gani? Mstaafu akikaa ntumbani atazeeka sana na kufa mapema. Mwacheni atembee jamani!
Mhhh canada wakat huu, afu si alisema anaenda kupumzika na kuchunga mifugo yake, hiyo mifugo inafugiwa angani! Huyu jamaa ndo chanzo cha kufanya ze don analia mbele ya camera
 
Karudi Baba mmoja toka safari ya mbali
Kavimbayote mpaja na kutetemeka mwili
Watoto wake wakaja ili kumtaka hali
Wakata na kauli iwafae maishani .......

Nakumbuka mpaka hapo .....!!

Unanikumbusha na mambo ya "SIKIRI MI MASIKINI, ...."

Kitambo kidogo... umri umeenda..

Wacha JK AKASOLVE CANADA TUPATE NOAH ZETU.
 
Makirikiri yamehamia canada? angalau vasco ana adabu na heshima kwa wakubwa na huwa hakosi kuwaona wagonjwa hata waliong'olewa kucha na macho alikuwa anawajulia hali na sasa anaenda kwenye makirikiri! Hapo chacha yatageuka samadi ya ng'ombe kesho kutwa subirini.
 
Kitambo kidogo... umri umeenda..

Wacha JK AKASOLVE CANADA TUPATE NOAH ZETU.
Kabla ya noah tunataka elfu hamsini zetu halafu vile vijisenti vya Rada mchanganuo bado hatujapata huu mwaka wa tano.
 
Mbona nakuonaga kama muelewa hivi lakini dini za wakoloni zinakufanya unakuwa mjinga kabisa?

Hivi Dubai zaidi ya sifa ya holiday na biashara ni nini kingine kitamfanya mtu aende Dubai zaidi ya kupita transit kama amepanda Emirates? Yani unaamini kabisa raia wa Vatican anaweza kutibiwa Dubai? Ndio maana sishangai kusikia Mange ana masters ya Dubai.
Dubai kuna Dubai Healthcare City ......... siyo mahali pa mchezo!!

Ila hata mimi nashangaa kidogo kusikia Raia wa Vatican akutibiwa Dubai!!
 
KIKWETE+PICHA.jpg


Rais Mstaafu, Jakaya Kikwete amemtembelea Mhadhama Polycarp Kardinali Pengo, nchini Dubai leo.


Kikwete ameandika katika mtandao wake wa kijamii wa Twitter leo(Ijumaa) na kueleza kuwa amemkuta Kardinali Pengo akiwa mwenye siha njema.

Ingawa hajaeleza amemkuta Kardinali Pengo nyumbani au Hospitali lakini askofu huyo mkuu wa jimbo la Dar es Salaam, amewahi kuripotiwa kuwa yupo nje ya nchi kwa matibabu.

“Nikiwa Dubai safarini kwenda Canada, nimemtembelea asubuhi hii Mhadhama Polycarp Kadinali Pengo na nimefarijika kumkuta akiwa na siha njema.” Ameandika Kikwete

Kikwete amesema amemtembelea Kardinali Pengo wakati akiwa safarini kuelekea Canada.


Chanzo: Mwananchi
Dubai? What the hell is he doing there? l mean Pengo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom