Kikwete amtembelea Kardinali Pengo Dubai

Kikwete amtembelea Kardinali Pengo Dubai

Nilidhani ni amri ya mahakama tu ndiyo inayoweza kumpa raia huru masharti ya kusafiri nje ya eneo fulani.
 
Mboba mwiguku alikataza watuhuniwa wasisafiri?
 
Karudi Baba mmoja toka safari ya mbali
Kavimbayote mpaja na kutetemeka mwili
Watoto wake wakaja ili kumtaka hali
Wakata na kauli iwafae maishani .......

Nakumbuka mpaka hapo .....!!

Unanikumbusha na mambo ya "SIKIRI MI MASIKINI, ...."
SIKILI mimi maskini,uvivu wangu nyumbani,ukiwa huu njiani,nakufa hapa kwanini
Sadiki sasa ashiba,chakula kingi kwa baba,nirudi tena kwa baba nakufa hapa kwanini.....
Tuendelee tu kuimba
 
Mbona nakuonaga kama muelewa hivi lakini dini za wakoloni zinakufanya unakuwa mjinga kabisa?

Hivi Dubai zaidi ya sifa ya holiday na biashara ni nini kingine kitamfanya mtu aende Dubai zaidi ya kupita transit kama amepanda Emirates? Yani unaamini kabisa raia wa Vatican anaweza kutibiwa Dubai? Ndio maana sishangai kusikia Mange ana masters ya Dubai.
Pengo alikuwa anapita tu (On transit) akitoka US kutibiwa kurudi nyumbani,wakati JK anaenda Canada via Dubai.

Hapo ni VIP Transit Lounge ya Dubai,naona Elungata kaingiza mambo yake pasi na mahala sahihi
 
SIKILI mimi maskini,uvivu wangu nyumbani,ukiwa huu njiani,nakufa hapa kwanini
Sadiki sasa ashiba,chakula kingi kwa baba,nirudi tena kwa baba nakufa hapa kwanini.....
Tuendelee tu kuimba
Bora, maana nyimbo huwa zinatoa huzuni!!

....Nitalima kama Sadiki, nitalima bila kuchoka,
Shambani tena sikosi, wazazi nisameheni.

Kizi hata Mzee wa Hapa Kazi tu inawezekana anaziju!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom