sister sista
Member
- Jan 6, 2010
- 71
- 4
watu muw mnatumia busara si ubinadamu huu.RIP JK,
Nadhani ndo ule utabiri wa Mchawi wao, Sheikh Yahaya.
watu muw mnatumia busara si ubinadamu huu.RIP JK,
Nadhani ndo ule utabiri wa Mchawi wao, Sheikh Yahaya.
thats not good of you!!im sure ni kwa jaili ya kufunga na hekaheka za campaign!msikuze mambo wadauRip:becky:
aiseee
Yeye mwenyewe spana mkononi.Nafikiri inabidi watu kuamua kama wanafikiri Bilal anaweza kuongoza taifa kama Goodluck wa Nigeria....Naona nyota ya Bilal inag'aa na inaweza kuwa blessing in disguise!
thats not good of you!!im sure ni kwa jaili ya kufunga na hekaheka za campaign!msikuze mambo wadau
You got problems kila sehemu ni wewe tu huoni, nimekwambia angalia speed ya internet yako inawezekana ni ndogo.IKo wapi Mbona haionekani mkuu?? au Monster kashaipitia?
What is wrong mtu kuandika R.I.P au wewe unachukulia ni mtu kafa, ni mazoea tu hayo, am resting in peace in my house don't you?.watu muw mnatumia busara si ubinadamu huu.
Hivi kwa kujaribu kuficha habari ya tukio la Jangwani, maanake yake tatizo ni kubwa kuliko tunavyo liona, na huyo Msemaji wa Kampeni za CCM yupo kwa maslahi ya Tanzania au maslahi Binafsi, maana sioni mchango wake katika maendeleo ya tanzania zaidi ya kusikia kampuni yake imehusika na kusafirisha pembe za ndovu zilizoshkiwa asia.
na pia kwanini tukio limetokea alipo anazungumzia mafanikio katika kupigana na "Rushwa"
Nafikiri alikuwa anaongelea wale waliokuja kumdaka na kumbeba ambao kwa wao umuhimu ulikuwa kwa rais na si makaratasi ya hotuba ambayo watakuwa waliyakusanyakusanya tu bila kuangalia pages. Yeye anajua kabisa kuwa kuanguka kwake kunatokana na nini ambacho mimi na wewe pia tunatakiwa kujua kwani rais ni public figure. Tanzania tumepiga hatua hasa kifo cha JK Nyerere kilitufanya tukomae na kuona kuwa kuna maisha baada ya kiongozi mkuu kutoweka, hivyo sidhani tena kama afya ya rais kujulikana kunatishia usalama wa Taifa, kwani tuliisha pass hiyo test.
Mwaka huu mtasikia mengi
Anayedaiwa mganga wa kienyeji O(mwenye joho) aliyekuwa mkutanoni akiwa chini ya ulinzi wa polisi - Source Global Publishers
View attachment 12756
Mkuu MS huanzisha mada zake mwenye huwa haingii mada zisizokuwa za kishoga shoga. Sasa maadam mnapenda kusikia matusi ya kishoga na kutiana vidole vya macho, hakuna mtu anayewalaumu wala kuwaingilia. tatizo ni pale ushoga huo unapokuja hata kwenye vijiwe vya wanaume rijal.. na bila shaka sisi tunaweza tofauitisha kati ya mwana-mme/mke na shoga hivyo hatuna makengeza ya hoja. Mtu kesha fungiwa bado tu nyie mnaendelea kwa madai ya MS. jamani acheni Ujinga...
Sijui kama umenielewa kwa lugha yangu.
Kama ni kweli basi hali yake ya kiafya si njema kabisa. Mtu huwezi ukawa unaanguka anguka hivyo kama uko na hali nzuri ya afya...
C' moon guys this can't be serious? Najaribu kuimagine ingekuwa Marekani raisi aonekane na soksi iliyotoboka kama hivyo, huyu si ndiye watu wanamsifu sana kwamba anapiga pamba za hatari? Halafu ina maana hao UWT hawana hata kitengo cha paramedic?
Mkuu umesahau kauli mbiu yako. Ndivyo tulivyo. Rais wa Nigeria alikataa katakata kuachia madaraka wakati alijua fika kuwa atafia madarakani. Mobutu sese seko kukumbengdu wanzala bongo aling'ang'ania madarakani wakati akiwa na terminal Prostate, Rais Eyadema alifia kwenye ndege akiwa rais. Omar Bongo alifia madarakani wakati alijua kuwa amefika hatua ya mwisho kabisa ya Ukimwi. So sioni jipya mzee.