Anfaal
JF-Expert Member
- Jan 19, 2010
- 1,154
- 118
Masa hivi kifafa ni kejeli enh! Maana naona the way unavyoiweka hii ishu hapa unakuwa unawanyanyapaa wenye matatizo hayo. Unaonaje km tukiheshim utu wa watu? Na pia maisha ni safari ndefu saana.Dr Slaa hana kifafa! Dr Mkwere inajulikana