jamaa anumwa wanatuambia swaumu....hwa watu vp bana...asisngizie swaumu..amerudi jukwaani akahutubia kidogo tu kisha akaaga na kuondoka. Mkutano wa ccm kufungua kampeni jangwani umwekwisha kwenye saa tisa na nusu mchana!
hahahaha huyu jamaa si buree wadanganyika atatufia ikulu huyu hahahaha
atakuwa anaelekea milingotini kwa wale mapacha wawili waliorithi kazi ya marehemu baba yao (manake nguvu za giza zitakuwa zimeshamalizwa pale jangwani!!)
jamaa anumwa wanatuambia swaumu....hwa watu vp bana...asisngizie swaumu
hivi kwa nini waislam wengine hawadondoki dondoki wakati wa mfungo??? au wanafunga kinafiki? au wanakula kwa siri??
Nawashangaa sana CCM! Kwa nini wasitwambie ukweli ? Asiumwe yeye ni nani kwa sababu ni Rais, tukumbuke Rais hakujiumba mwenyewe.