Eeeh, pengine kapelekwa kwa daktari wake kwanza!..JAMANI UPDATE VIPI AMEFIKA MWANZA? huu muda karibu wa kumaliza mkutano hatusikii lolote toka Mwanza.
Eeeh, pengine kapelekwa kwa daktari wake kwanza!..JAMANI UPDATE VIPI AMEFIKA MWANZA? huu muda karibu wa kumaliza mkutano hatusikii lolote toka Mwanza.
msukosuko wa kiafya au Ugonjwa ungekuwa kigezo cha kumwachisha mfanyakazi sehemu ya kazi baadhi yetu tungekuwa hatuna ajira. Unajuaje labda mimi naumwa ugonjwa wa moyo, shinikizo au ukimwi niachishwe kazi hata kama natekeleza majukumu yangu kazini? Ni unyanyapaa huo? Kanuni ya afya na kazi iko wazi mtu anaombwa kuacha kazi kwa matatizo ya afya baada ya kushindwa kwenda kazini kwa miezi mitatu mfululizo na sio vinginevyo. Rais wa Nigeria aliendelea kuwa Rais hata baada ya kulazwa muda mrefu kule Saudi Arabia.
hapana hana kifafa ni amepimwa ana afya njema sema uchovu na kisukari.
Nyani unakumbuka jinsi Zap Judah alivyopigwa na Kosta Zyu au Rick Hatton alivyopopolewa na Paciao? Duh! Rais kayeyuka ka vile mlenda, tena alishaanza mapema kwa kusita kutamka kitu fulani.
Watadai ni Swaumu na upup mwingi, je hakuwa amepumzika vya kutosha kabla ya kwenda kuhutubia? Je kwa nini hawakubadilisha muda ukizingatia kuwa kitendo hiki kilitokea tena 2005?
Wakuu hakuna aliyebishana na fact ya kufunga, lakini tunachojiuliza why kufunga kwa JK ni so special wakati kuna watanzania mamilioni wanafunga na wapo kwenye hali mbaya ya maisha na wanafanya kazi ngumu kuliko yeye? Kuna wana maombi (nenda kwa Kakobe, Mwingira na Waislam kibao nawafahamu) wanakufungia siku 40 watu wanapiga maombi usiku kucha na mchana tuko nao maofisini wanachapa kazi kama kawaida hatujasikia wakidondoka dondoka kwa kupungua sukari. Ninachotaka kusema hapa ni kuwa kama watu wawili wamefunga kwa muda sawa, na baada ya masaa 12 mmoja amedondoka kwa kupungukiwa sukari na mwingine sukari yake bado ipo juu hajafika hatua ya kudondoka, tunaweza kusema pasipo shaka kuwa huyu aliyedondoka kuna shida katika ufanyaji kazi wa mwili wake kiasi cha kufyonza sukari haraka mwilini. Hapo ndio pa kuanzia wapi pameenda sio sawa?Sidhani kuna jambo la kushangaza kwa mtu kuwa na low blood sugar - hasa saa kumi mchana baada ya kufunga toka saa kumi na moja asubuhi. Blood sugar yake inasemekana ilikuwa 70mg/dL - kwa kawaida starving blood sugar ni 90 to 110 mg/dL - hii ni blood sugar level ya asubuhi kabla ya kula chochote na kwa mtu mwenye afya ya kawaida aliyekula chakula cha kawaida masaa 10 to 12 kabla ya kupima. Sasa huyu Rais alikuwa amefunga; kalala masaa mawili tu na kafanya kazi zaidi ya masaa 12 kabla ya tukio hili. It is obvious kuwa alikuwa very stressed. Kwa wale wanaofahamu matatizo ya kisukari wata conclude kuwa afya yake ni nzuri sana. Hasa ukizingatia kuwa aliweza kurejea jukwaani baada ya kupata glucose baada ya dakika 15 tu.
Kuwa na incidence moja ya low blood sugar sio lazima mtu ni diabetic hasa ukiangalia mazingara yenyewe kama haya ya kufunga. Hata kama ni diabetic sidhani huu ni ugonjwa ambao unaweza kumfanya mtu ashindewe kazi. Kuna mamilioni ya watu huku duniani wenye more serious diabetic condition na wana ishi maisha normal kabisa. Diabetes is a condition and the sugar level can be very easily conmtrolled through dieting and medication.
Kwa hiyo let take this incidence in its own perspective - we should avoid reading too mmuch into it. Kama kila mtu mwenye low au high blood sugar atatakiwa kujiuzulu basi nearly 80% ya senior civil servants itabidi wajiuzulu - wengine infact wana in addition more serious problems.
Kwani kuna mtu kamwambia ajiuzuru au ni kiwewe cha huko juu kinaanza, kwa sababu unaonekana mtu wa karibu hadi kujua blood sugar yake asubuhi ilikuwaje, by the way naona hii issue imeku tachi toka 2007 kwa post 50 si mchezo.Kama kila mtu mwenye low au high blood sugar atatakiwa kujiuzulu basi nearly 80% ya senior civil servants itabidi wajiuzulu - wengine infact wana in addition more serious problems.
Kiongozi mmoja wa CCM pale Lumumba leo asubuhi walikuwa na kikao anasema Rais ashauriwe kupumzika usiku. Kwa maelezo yake ni kuwa Rais amejipangia ratiba ngumu kibinadamu, kwamba mchana atakuwa anatembelea na kuwafuata wananchi mahali walipo na kutatua matatizo yao moja kwa moja na usiku atarudi kufanya kazi zote za mezani ofisini kwake za kutwa nzima. Ratiba hii inasemekana imeleta mvutano huko Makao makuu ya CCM na Ikulu baada ya tukio la jana na yaliyotangulia, wanasema inamfanya rais kulala muda mfupi sana.
Yapo madai kuwa ratiba ya kutolala vya kutosha usiku kajipangia mwenyewe kwa maelezo kuwa anajisikia vibaya kulala muda mrefu wakati wananchi wana shida nyingi.Usiku wa kwenda Jangwani alilala saa 8.30 usiku baada ya kumaliza kazi na saa 11 alfajiri akaamka kwa swala ya Waislamu hivyo alilala masaa 2.30 tu. Kama hii ndio ratiba ya Rais basi kuishiwa nguvu jukwaani sio jambo la ajabu. Wananchi tushiriki kumshauri Rais apumzike.
Ondoa propoganda zako za enzi za Mao ewe kiumbe dhaifu na mwongo! Huna hata haya! Kikwete akiwa mchapakazi na wachapakazi tutawaitaje. Katu usirudie tena kuleta hizi rubbish zako hapa! Hizi ni zama za technology tumeamka kama wewe bado uko kipindi cha mawe baki huko huko. Unachefua unahuzunisha! Ungekuwa mzazi wangu leo ningekucharaza bakora mpaka ushindwe kukaa! Usijaribu kurudia tena!Kiongozi mmoja wa CCM pale Lumumba leo asubuhi walikuwa na kikao anasema Rais ashauriwe kupumzika usiku. Kwa maelezo yake ni kuwa Rais amejipangia ratiba ngumu kibinadamu, kwamba mchana atakuwa anatembelea na kuwafuata wananchi mahali walipo na kutatua matatizo yao moja kwa moja na usiku atarudi kufanya kazi zote za mezani ofisini kwake za kutwa nzima. Ratiba hii inasemekana imeleta mvutano huko Makao makuu ya CCM na Ikulu baada ya tukio la jana na yaliyotangulia, wanasema inamfanya rais kulala muda mfupi sana.
Yapo madai kuwa ratiba ya kutolala vya kutosha usiku kajipangia mwenyewe kwa maelezo kuwa anajisikia vibaya kulala muda mrefu wakati wananchi wana shida nyingi.Usiku wa kwenda Jangwani alilala saa 8.30 usiku baada ya kumaliza kazi na saa 11 alfajiri akaamka kwa swala ya Waislamu hivyo alilala masaa 2.30 tu. Kama hii ndio ratiba ya Rais basi kuishiwa nguvu jukwaani sio jambo la ajabu. Wananchi tushiriki kumshauri Rais apumzike.
Kumbe akina Dkt Mfisi mko wengi!Sidhani kuna jambo la kushangaza kwa mtu kuwa na low blood sugar - hasa saa kumi mchana baada ya kufunga toka saa kumi na moja asubuhi. Blood sugar yake inasemekana ilikuwa 70mg/dL - kwa kawaida starving blood sugar ni 90 to 110 mg/dL - hii ni blood sugar level ya asubuhi kabla ya kula chochote na kwa mtu mwenye afya ya kawaida aliyekula chakula cha kawaida masaa 10 to 12 kabla ya kupima. Sasa huyu Rais alikuwa amefunga; kalala masaa mawili tu na kafanya kazi zaidi ya masaa 12 kabla ya tukio hili. It is obvious kuwa alikuwa very stressed. Kwa wale wanaofahamu matatizo ya kisukari wata conclude kuwa afya yake ni nzuri sana. Hasa ukizingatia kuwa aliweza kurejea jukwaani baada ya kupata glucose baada ya dakika 15 tu.
Kuwa na incidence moja ya low blood sugar sio lazima mtu ni diabetic hasa ukiangalia mazingara yenyewe kama haya ya kufunga. Hata kama ni diabetic sidhani huu ni ugonjwa ambao unaweza kumfanya mtu ashindewe kazi. Kuna mamilioni ya watu huku duniani wenye more serious diabetic condition na wana ishi maisha normal kabisa. Diabetes is a condition and the sugar level can be very easily conmtrolled through dieting and medication.
Kwa hiyo let take this incidence in its own perspective - we should avoid reading too mmuch into it. Kama kila mtu mwenye low au high blood sugar atatakiwa kujiuzulu basi nearly 80% ya senior civil servants itabidi wajiuzulu - wengine infact wana in addition more serious problems.
.Mnaacha kufanya kazi ya kuutumikia umma mnakuja hapa kuendeleza propaganda za kitoto eti HANA KIFAFA.Hivi mnadanganya nani na kwa manufaa ya nani?Hicho kisukari kimemuanza ghalfa jana?Mbona alipoanguka Mwanza dokta Mfisi alituambia afya ya JK ni timilifu kabisa?Na huo uchovu unaomfanya aanguke ovyovyo unasababishwa na nini hasa?kwanini iwe ni yeye tu "akiwa na uchovu" basi lazima aanguke?Acheni kufuru,Wamachinga wanakesha juani kutwa nzima na hawaanguki kimtondo kama huyo bosi wenu.
Ana kifafa huyo,na waliokuwa nae Foreign Affairs wanalijua hilo.Na anaanguka mara nyingi tu privately sema watu wapambe wanamuhifadhi.
Mficha ugonjwa kifo humuumbua.
Kumbe rais ana kifafa.hapana hana kifafa ni amepimwa ana afya njema sema uchovu na kisukari.
kiongozi mmoja wa ccm pale lumumba leo asubuhi walikuwa na kikao anasema rais ashauriwe kupumzika usiku. Kwa maelezo yake ni kuwa rais amejipangia ratiba ngumu kibinadamu, kwamba mchana atakuwa anatembelea na kuwafuata wananchi mahali walipo na kutatua matatizo yao moja kwa moja na usiku atarudi kufanya kazi zote za mezani ofisini kwake za kutwa nzima. Ratiba hii inasemekana imeleta mvutano huko makao makuu ya ccm na ikulu baada ya tukio la jana na yaliyotangulia, wanasema inamfanya rais kulala muda mfupi sana.
Yapo madai kuwa ratiba ya kutolala vya kutosha usiku kajipangia mwenyewe kwa maelezo kuwa anajisikia vibaya kulala muda mrefu wakati wananchi wana shida nyingi.usiku wa kwenda jangwani alilala saa 8.30 usiku baada ya kumaliza kazi na saa 11 alfajiri akaamka kwa swala ya waislamu hivyo alilala masaa 2.30 tu. Kama hii ndio ratiba ya rais basi kuishiwa nguvu jukwaani sio jambo la ajabu. Wananchi tushiriki kumshauri rais apumzike.
Uongo wa mchana, ni matatizo gani anayoyatatua kila siku usiku na mchana mbona hatuoni, matatizo mashuleni, mahospitalini au wapi anaposinda mchana kutwa acheni blah blah hapa ni JF nendeni mkagawe kofia na chumvi huko Mwanza lakini si hapa HATUDANGANYIKI.kwamba mchana atakuwa anatembelea na kuwafuata wananchi mahali walipo na kutatua matatizo yao moja kwa moja na usiku atarudi kufanya kazi zote za mezani ofisini kwake za kutwa nzima.