Mpambalyoto
JF-Expert Member
- Mar 26, 2010
- 751
- 3
Kwa mujibu wa Tanzania Daima;
Alipopanda jukwaani na kuanza kuhutubia tena, Kikwete alianza kwa kusema: ¡°Nimefungulia jamani¡*niliishia hapa kwenye¡*naona wamevuruga hotuba yangu¡±
Shida yangu ni hapo mwisho anaposema naona WAMEVURUGA hotuba yangu.Je mh. Rais anahisi kuwa kuna watu walio nyuma ya tukio la yeye kuanguka?Jus thinkin aloud.
Mkuu nilivyotafsiri mimi ni kuwa Jk alikuwa kama amezinduka, kwa hiyo mdomo ulikuwa unaongea tu bila kujua yuko wapi. Alikuwa hajapata fahamu vizuri. Lasivyo asingeweza kusema vile mbele ya mic na kadamnasi ile. Hata hivyo inaonekana alikuwa hakumbuki ameishia wapi kwenye hotuba mpaka alipoambiwa