Idugunde
JF-Expert Member
- May 21, 2020
- 6,273
- 6,637
Hivi kazi ya gavana wa benki kuu ni sawa na mkuu wa mhimili wa mahakama?Mwisho mtasema Chief Justice sio lazima awe amesomea sheria.
Amandla...
Hivi kazi ya gavana wa benki kuu ni sawa na mkuu wa mhimili wa mahakama?Mwisho mtasema Chief Justice sio lazima awe amesomea sheria.
Amandla...
Kada yoyote ile, benki kuu ni taasisi inayokuwa na wataalamu wa mambo mbalimbali ili kuhakikisha kila sekta ya ya taifa inakaa vizuri.Siyo lazima uwe economist. Unaweza kuwa Economist, au Lawyer au Accountant
,Hana namna Sasa sijui alipiga ya kideri,au ya coronaHapo hapo mbowe amepata chanjo ya corona na anafanya social distance kwa joyce mkuya.
Chadema wana kipaji cha ujinga
Unaambiwa endelea kunywa mtori, nyama utazikuta chini.kilo ngapi
Hata ukipiga chanjo lakini ni lazima uvae barakoa, uweke masafa, unawe na maji tiririka kwani hiyo chanjo haijawa 100% yenye kutegemewa.Hapo hapo mbowe amepata chanjo ya corona na anafanya social distance kwa joyce mkuya.
Chadema wana kipaji cha ujinga
Sasa kama ndivyo ina maana mama hakuwa well informed kuhusu uteuzi wa VP?watoe maelezo kwanini wamechota mzigo wakati mwendazake akiwa mahututi!
Unampenda sana Mbowe,ngoja tukufanyie mpango uwe gasho wake wa pemben mremboHapo hapo mbowe amepata chanjo ya corona na anafanya social distance kwa joyce mkuya.
Chadema wana kipaji cha ujinga
Weka akiba ya manenoKhalafu akamteue kuwa Naibu wake? !
Mtei alikua Governor BOT kipindi cha Nyerere.Mchagga BoT?
Mtei ni mchagga na nusu siyo kama Mramba Pesa mbili!Mtei alikua Governor BOT kipindi cha Nyerere.
Tusubiri report Mkuu. Mleta mada anasema tuendelee na mtori, nyama ziko chini.Uidhinishaji wa fedha boss.
Weka akiba ya maneno
Ndio. Kazi zote mbili zinahitaji wabobezi katika fani husika. Hawa ni tofauti na Spika wa Bunge ambae ni mbunge anaeguliwa na wabunge wenzake kushika nafasi. Kwa vile nasikia sifa ya kielimu ya anayotakiwa kuwa nayo anayetaks kugombea ubunge ni kujua kusoma na kuandika basi mtu yeyote anaweza kuwa Spika mradi anajua kusoma na kuandika na amechaguliwa kuwa mbunge.Hivi kazi ya gavana wa benki kuu ni sawa na mkuu wa mhimili wa mahakama?
Nimefuatilia debate yenu Fundi Mchundo Nyani Ngabu naona hapa umehitimisha kabisa.Mimi sikuzungumzia shahada ya sheria. Nilisema "mwisho mtasema Chief Justice sio lazima awe amesomea sheria". Mtu unaweza kusomea sheria bila kupata shahada kama walivyofanya ma justices wa Marekani.
Bottom line ni kuwa hatuwezi kuepuka kuwa kuna kazi ambazo zinahitaji uelewa wa fani husika. Gavana wa BOT asiyejua lolote kuhusu masuala ya uchumi ni disaster in the making. Mimi sijui kama wa sasa ana hiyo exposure au la kwa hiyo siwezi kumhukumu.
Amandla...
Milango ni mifupi sanaIkulu ya Dodoma ni ya hadhi ya chini sana, duh
View attachment 1754088
Bila kusahau ''Mzee wa kukurupuka''.Akili za Jiwe na lile bichwa lake alikuwa anazijua mwenyewe !🤣Prof. Luoga alisomea Kilimo na Tax law leo amekuwa Gavana wa Benki Kuu. Ukisikia mtu kupewa uendeshe Semi-Trailer wakati leseni yako ni ya Bajaji ndio hapo.
Alale mahali pema peponi mzee wa kutumbua na kuteua papo kwa papo!
Maandalizi za kuficha ripoti ya uchunguzi wa CAG na TAKUKURU pale BoT. Maana taarifa za ndani zinaonyesha Makamu wa Rais na Gavana wapo kwenye hiyo scandal.
Haya maneno yatakuja 'kuwatafuna'.
Amekutana na viongozi muhimu na thabiti sana wa Wizara ya Fedha kipindi yeye alipokuwa bado VPRais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Samia Suluhu Hassan amekutana na kufanya mazungumzo na Makamo wa Rais wa Jamhuri Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt Philip Isidor Mpango na Gavana wa Benki Kuu nchini Prof .Florens Luoga ,Ikulu jijini Dodoma leo.
View attachment 1753844
View attachment 1753845
Ramadhan Kareem!
Kwani wakati anakula ruzuku yule mungu mtu wenu aka dikteta uchwara alikuwa hamuoni!?Acha mwenyekiti ale kiuno na kufanya starehe kupitia ruzuku na michango ya wajinga