jingalao
JF-Expert Member
- Oct 12, 2011
- 35,053
- 28,245
Inakuwaje umeniweka huku swahiba?Kama wewe na genge lako la kuteka watu
Inakuwaje umeniweka huku swahiba?Kama wewe na genge lako la kuteka watu
Inakuwaje umeniweia huku swahiba?
ha ha haMimi siyo swahiba wako, swahiba wangu kutoka lumumba ni kipara kipya tu
Tatizo lenu huwa ni kihere here na kutojua kula na kipofu, haya tunashukukuru kwa taatifa kumbe kulikuwa na kikao cha siri!? Tena kinacho taka kupingana na mwenye kiti wa chama! Nakuhakikishia hilo litashughulikiwa haraka ilimradi tumepata taarifa kuwa lipo.Baadhi ya wajumbe wa mkutano mkuu ambao ni CCM asilia walikutana kwa siri jana usiku sehemu fulani pale Area C Dodoma kubuni mbinu za kushughulika na wagombea wa "kupandikizwa".
Wagombea wa kupandikizwa wako wa aina mbili.
Moja, ni wale ambao wana uswahiba na Mwenyekiti lkn hawana mvuto wala hawajulikani majimbo wanakotumwa kugombea. Mf. Prof. Kitila kugombea Ubungo, na prof. Kabudi kugombea Kilosa.
Pili, ni wale waliotoka vyama vingine na kupewa feva ya kugombea bila kupingwa ndani ya ccm.
Haya mawili yamewaumiza Sana wanaCCM wapiganaji na wafia chama. Na Kuna mengi yamepangwa tuombe Mungu yafanikiwe. Muda utaongea.
CCM tuko pamoja lkn hatuna umoja.
Waulize wanaccm wenyewe Mimi sijuiKama mnalijua hilo kwanini mlichapisha form moja kama mfumo wa enzi za ujima?
Wamechelewa sana, kati ya 2015 na 2017 ndio lilikua dirisha pekee la kumdhibiti Magufuli. Kwasasa wavumilie tu, ikifika 2025 CCM kitakua chama tofauti kabisa, siasa kali za chuki ndio patakua nyumbani kwake.
ha ha ha
Tumeshawazoea na ubashiri wenu usiotimia kila mnapoiombea dua mbaya CCM. Inaendelea kuimarika kila iitwapo leo
Kama vile DJ alivyoiweka CHADEMA mfukoni. Matokeo yake chama kimekosa pumzi, kimemfia huko huko mfukoni.Meko ameiweka CCM kiganjani. Analotaka ndilo linafanyika.
Ili kuwadhibiti wenye dhamira ya kumnyima kura pale Dodoma jana, wajumbe wa mkutano mkuu toka kila mkoa walitakiwa kupiga kura na kuziweka sanduku moja.
Hii ingesaidia kubaini ni mkoa gani umemkataa.
Zitto tayari ameshapata kitambi? Ha ha ha.Upinzani wa bongo ni upuuzi sanaView attachment 1504943
Siyo mkutano ndugu, ni kikao.mkutano wa Maana Sana hivyo wakafanyie hapo area C
Kuna tofauti gani na Ccm iliyowapokea kina Mtatilo, Kafulila, Kitila, Silinde.. ? Huyo E.L mwenyewe mlimtukana mitusi yote na sasa hivi mnae!Upinzani wa bongo ni upuuzi sanaView attachment 1504943
Kuna tofauti gani na Ccm iliyowapokea kina Mtatilo, Kafulila, Kitila, Silinde.. ? Huyo E.L mwenyewe mlimtukana mitusi yote na sasa hivi mnae!Upinzani wa bongo ni upuuzi sanaView attachment 1504943
Baadhi ya wajumbe wa mkutano mkuu ambao ni CCM asilia walikutana kwa siri jana usiku sehemu fulani pale Area C Dodoma kubuni mbinu za kushughulika na wagombea wa "kupandikizwa".
Wagombea wa kupandikizwa wako wa aina mbili.
Moja, ni wale ambao wana uswahiba na Mwenyekiti lkn hawana mvuto wala hawajulikani majimbo wanakotumwa kugombea. Mf. Prof. Kitila kugombea Ubungo, na prof. Kabudi kugombea Kilosa.
Pili, ni wale waliotoka vyama vingine na kupewa feva ya kugombea bila kupingwa ndani ya ccm.
Haya mawili yamewaumiza Sana wanaCCM wapiganaji na wafia chama. Na Kuna mengi yamepangwa tuombe Mungu yafanikiwe. Muda utaongea.
CCM tuko pamoja lkn hatuna umoja.
Kwa vyovyote vile mkuu hizo ni porojo tuSiyo mkutano ndugu, ni kikao.