Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 121,947
- 95,237
Tangu lini uliwahi kukubali mapungufu ya ccm?
Naipinga hii hoja ya mleta mada.
Naipinga hii hoja ya mleta mada.
Meko ameiweka CCM kiganjani. Analotaka ndilo linafanyika.
Ili kuwadhibiti wenye dhamira ya kumnyima kura pale Dodoma jana, wajumbe wa mkutano mkuu toka kila mkoa walitakiwa kupiga kura na kuziweka sanduku moja.
Hii ingesaidia kubaini ni mkoa gani umemkataa.
Tanzania hakuna wapinzani kuna wajasiriasiasa
hilo litakua genge la wahuni tu
Kama kweli wapo watu wa aina hiyo CCM (siamini wapo), basi wasiishie hapo. Washughulike na huyo anayewapandikizia wagombea.Baadhi ya wajumbe wa mkutano mkuu ambao ni CCM asilia walikutana kwa siri jana usiku sehemu fulani pale Area C Dodoma kubuni mbinu za kushughulika na wagombea wa "kupandikizwa".
Wagombea wa kupandikizwa wako wa aina mbili.
Moja, ni wale ambao wana uswahiba na Mwenyekiti lkn hawana mvuto wala hawajulikani majimbo wanakotumwa kugombea. Mf. Prof. Kitila kugombea Ubungo, na prof. Kabudi kugombea Kilosa.
Pili, ni wale waliotoka vyama vingine na kupewa feva ya kugombea bila kupingwa ndani ya ccm.
Haya mawili yamewaumiza Sana wanaCCM wapiganaji na wafia chama. Na Kuna mengi yamepangwa tuombe Mungu yafanikiwe. Muda utaongea.
CCM tuko pamoja lkn hatuna umoja.
Adui wa ccm yupo ndani ya ccmAcha awanyoshe tu . Tuliwaonya
Kama kweli wapo watu wa aina hiyo CCM (siamini wapo), basi wasiishie hapo. Washughulike na huyo anayewapandikizia wagombea.
Kwahiyo ccm inaiga utaratibu wa cdm? Au sijakusoma vizuri?
CCM Hakuna wa kumzuia magufuli waache wakae vikao vyao hawana madhara yoyote.
Huyu si mnufaika bali ni msaka tonge.
Buku saba hata nauli haitoshi
Hatari sana, acha jiwe liwaoneshe MKONO WAKE WA CHUMA na huko. Huyu MHALIFU madhara yake si kwa upinzani pekee.
"yesu"Haya ni matunda ya Yesu wa Chattle!
Mataga yameanza kuparuana
Atakomeshwa uchaguzi huuMeko ameiweka CCM kiganjani. Analotaka ndilo linafanyika.
Ili kuwadhibiti wenye dhamira ya kumnyima kura pale Dodoma jana, wajumbe wa mkutano mkuu toka kila mkoa walitakiwa kupiga kura na kuziweka sanduku moja.
Hii ingesaidia kubaini ni mkoa gani umemkataa.
Wapo uwanja wa fisi wanapiga wanzuki tu hawana mpango kazi yao ni kulishwa maneno na ChakubangaNawaona mnalia tu kama watoto, mwenzenu yupo jikoni analeta habari, nyie sijui mko vichochoro gani huko saa hizi mnabisha msilolijua.
Inategemea kaamkaje siku hiyooo looooo kweli ccm imepata muwekezajiMwenyekiti anatamka hadharani kwamba kura si kigezo cha mtia nia wa ubunge kupitia ccm kupitishwa kuwa mgombea bali "mood" yake. Hii mbaya sana
Unaipinga lakini tumeshapanga yetu hatukubali wagombea wa kukodisha Sisi wanaCCM kindakindaki tutakipigania chama chetu hadi mwisho.
Yaliyowapata kina sofia simba 2015 lilikuwa somo tosha.
👏👏Meko ameiweka CCM kiganjani. Analotaka ndilo linafanyika.
Ili kuwadhibiti wenye dhamira ya kumnyima kura pale Dodoma jana, wajumbe wa mkutano mkuu toka kila mkoa walitakiwa kupiga kura na kuziweka sanduku moja.
Hii ingesaidia kubaini ni mkoa gani umemkataa.
Wamechelewa sana, kati ya 2015 na 2017 ndio lilikua dirisha pekee la kumdhibiti Magufuli. Kwasasa wavumilie tu, ikifika 2025 CCM kitakua chama tofauti kabisa, siasa kali za chuki ndio patakua nyumbani kwake.