IGA ya DPW imetusaidia mambo mengi. Kwanza kuonyeshea tuna wanasheria wa aina gani, pili kuidogosha fani ya sheria na sasa kila mtu ni Mwanasheria?

Pascal Mayalla

Platinum Member
Sep 22, 2008
50,502
113,610
Wanabodi

Hii IGA ya DPW Imetusaidia sana kujua mambo mengi, sio tuu imetusaidia kutuonyesha matundu kwe paa la nyumba yetu kwa kutuonyesha panapovuja, pia umetufungua macho kuona tuna wanasheria wa aina gani, wenye uwezo gani, ndio maana tunaingia mikataba ya hovyo!, tukishtuka, tunavunja hiyo mikataba, tunashitakiwa, tunashindwa, tunatozwa tuzo, tunajimwambafy hatulipi!, lakini mwisho wa siku tunalipa kimya kimya kwa siri bila kusema, au kulipishwa kwa nguvu kwa lazima baada ya ndege zetu kushikwa, tunalipa kimya kimya, ndege zinaachiliwa, maisha yaendelee.

Siku zote fani ya sheria ni fani yenye heshima kubwa, it's a white collar job!, wanasheria ni watu smart upstairs, zamani ilikuwa kupata nafasi kusoma sheria ni wale wanafunzi waliofanya vizuri tuu, wenye Div. 1 tuu, ilikuwa ni fani ya vipanga tuu!.

Kufuatia kuongezeka kwa vyuo vikuu vya binafsi nchini, sasa kila mtu anaweza kusomea sheria, sio vipanga tuu, hata vilaza, wanajiunga na vyuo vikuu vya uchochoroni, wanasomea sheria, wanahitimu na kupata LL.B, ila uanasheria wao ni uanasheria wa vyeti, wa makaratasi!, vilaza hawa hawawezi kupenya LST na kuwa mawakili!, ila ni wazuri kwa kuongea!, na wazuri kwa kujipongeza, sasa ndio wanasheria wetu tegemewa kwenye masuala muhimu kama huu mkataba/makubaliano ya IGA ya Bandari.

Wanasheria ni watu smart, wanavalia nadhifu, wanavaa majoho, wanaongea kwa mapozi with lots of pomposity!, hivyo kuna wengi walitamani kuwa wanasheria, hawakuweza!, lakini sasa kupitia hji IGA ya DPW, fani ya sheria is made simple, imedogoshwa in such a way sasa kila mtu anaweza kuwa ni mwanasheria!.

Tuanze na mastori ya kudogosha
JK na Lowassa walikuwa ni vijana wawili marafiki, katika uchaguzi Mkuu wa 1995, walikodi ndege moja pamoja, wakaenda Dodoma pamoja, wakachukua fomu za kugombea urais kupitia CCM, pamoja, wakazitembeza pamoja kutafuta wadhamini, na kuzirejesha pamoja.
Watu wakawabatiza, jina la Boys II Men, mmoja alionekana kama a boy na mwingine a man!.

Katika mchakato wa urais wa 1995, Baba wa taifa hili, Mwalimu Nyerere, akingali hai, alifanya mikutano ya waandishi wa habari na kutaja sifa za rais tunayemtaka, hali iliyopelekea Boys II Men kupungukiwa sofa, hivyo Benjamin William Mkapa akaibuka kidedea kupeperusha bendera ya CCM, na baada ya kuchaguliwa, aliwajumuisha Boys II Men kwenye cabinet yake.

Kuasisiwa kwa Mtandao wa 2005
Baada ya Boys II Men kushindwa uteuzi wa 1995, ili kujiandaa kwa 2005 likaasisiwa an imaginary group lililoitwa "mtandao" likijumuisha watu mbalimbali zikiwemo media, kazi yao ni kuhakikisha a boy ndiye anapenya 2005.

Kufuatia a silent code ya urais ni kupokezana kati ya Muislamu na Mkristo, kwa vile Nyerere alikuwa Mkristo, akaja Mwinyi Muislamu, Mkapa Mkristo, anayefuata baada ya Mkapa ni Muislamu!.

Kufuatia zamu za kupokezana kati ya Bara na Zanzibar, alianza Nyerere-Bara, akaja Mwinyi- Zanzibar, then Mkapa -Bara, hivyo anayefuatia 2005 ni zamu ya Zanzibar na ni zamu ya Muislamu!.

Kazi ya kwanza ya mtandao ni kuipoka Zanzibar haki yake, hivyo yule possible wa Zanzibar, something just happened to him, and he left!.

Dr. Salim alipotupa karata yake, akashughulikiwa perpendicular hadi kutumia picha za photoshop to make believe, 2005 the Boy akaukwaa. Walikubaliana na Man kuwa atakaa just for one term na kumpisha Man!.

The Boy, akaunda serikali ya kishikaji, the Man akafanywa kiranja Mkuu. The Boy akaona urais ni mtamu, kuishia single term kutamkosesha utamu, akaamua kumtosa the Man, wakamuundia zengwe, The Man akaachia ngazi the boy akaendelea kupeta!

Kufuatia the Boy kumaliza full term yake yote, then 2015 kukatokea a scramble ya kugombea urais!, The Boy ameudogosha sana urais!, kuna watu wakajiona kama the Boy ameweza kuwa rais, basi kila mtu anaweza kuwa rais!, wakajitokeza wagombea 62!.

Hiki kinachoendelea kwenye mjadala wa IGA ya DPW na Bandari zetu, kumeidogosha sana fani ya sheria!, sasa kila mtu anajiona ni mwanasheria!.

IGA hii imetusaidia sana kuna wanasheria na mawakili wanao ongea kama ma layman, na wakati huo huo kuna ma layman wanashuka na nondo, wanasheria watasubiri!.

Mkuu Pascal, katika IGA kuna ahadi on both parties ya kutimiza mambo fulani in the future. Ahadi hizo ni executory consideration. Na zisipotimizwa kuna legal consequences.

Amandla...
Nakubaliana na wewe, ila lets get to the drawing board ya hii IGA, Watanzania waelimishwe IGA ni nini na ni ya kazi gani,
IGA ni barua ya posa kwa DPW kuiposa Bandari yetu!.

Mambo yalianza zamani mwezi February 2022 wakati wa Expo Dubai, kijana shababi Mwarabu wa Dubai, kamuona binti Bandari ya Dar es Salaam, kampenda. Akamwalika Mzazi wa binti kutembelea Dubai wakati wa Expo Dubai, ndipo kijana shababi DPW akatangaza nia ya kumposa binti Bandari Dare Salaama. Nia njema, MoU kati ya Bandari na DPW ikasainiwa Dubai huku mzazi akishuhudia, MoU hiyo ni kumruhusu shababi DPW kuleta barua ya posa.

October 2022 shababi DPW katua nchini na mshenga wake kuleta barua ya posa, IGA.

Mzazi wa binti ni Mama Samia, akamruhusu mjomba mtu Prof. Mbarawa kuipokea barua hiyo ya posa, Mbarawa akaanguka saini yake barua ya posa ikapokelewa ile October 2022.

Mzazi wa binti Bandari, mamie mwali akaipeleka barua hiyo ya posa kwenye kikao cha wanafamia, kuomba ridhaa ya wanafamilia kuridhia barua ya posa ikubaliwe binti Bandari aposwe na Mwarabu wa Dubai. Kikao cha familia, kikaridhia, ndio kile kikao cha Bunge kuridhia IGA.

Baada ya posa kukubaliwa sasa ndio anapangiwa mahari. At this stage IGA ni makubaliano tuu ya kukubali kupokea barua ya posa lakini mahari haijapangwa, haijalipwa!.

Tunaweza kuikata hii IGA na hakuna any legal implications!. Ila baada ya kukubalina mahari, HGA, na shababi DPW akakubali, that is a contract, ikitokea tuka ghairi, hawa jamaa watatushitaki for a legitimate expectations.
IGA ni makubaliano tuu, hauna any legal consequences, HGA ndio mkataba rasmi wenye legal implications.

Hivyo sasa wanasheria sio watu muhimu kivile, anyone and anybody can be mwanasheria, na sio kila mwanasheria aliyesemea sheria ni mwanasheria!, wengine ni wanasheria makaratasi lakini upstairs is an empty shells!.

Paskali
 
Ngoja na mimi nikabe nafasi kwanza. Nitarejea baadaye kusoma zaidi hicho utakacho kiandika.

Ila nikupongeze pia ndugu yangu Pascal Mayalla kwa kukubali kubadilika. Kwa sasa unaandika mada zako kama Great Thinker. Siku za nyuma kidogo naona ulianza kupoteza muelekeo. Na ilibakia kidogo tu uwe na akili kama za Lucas mwashambwa.

Alijitahidi sana kuwatetea serikali lakini kaona hawabadiliki ngoja awe anawapa spana zao kama zamani ndio akili ziwakae sawa
 
Wanabodi

Hii IGA ya DPW Imetusaidia sana kujua mambo mengi, sio tuu imetusaidia kutuonyesha matundu kwe paa la nyumba yetu kwa kutuonyesha panapovuja, pia umetufungua macho kuona tuna wanasheria wa aina gani, wenye uwezo gani, ndio maana tunaingia mikataba ya hovyo!, tukishtuka, tunavunja hiyo mikataba, tunashitakiwa, tunashindwa, tunatozwa tuzo, tunajimwambafy hatulipi!, lakini mwisho wa siku tunalipa kimya kimya kwa siri bila kusema, au kulipishwa kwa nguvu kwa lazima baada ya ndege zetu kushikwa, tunalipa kimya kimya, ndege zinaachiliwa, maisha yaendelee.

Siku zote fani ya sheria ni fani yenye heshima kubwa, it's a white collar job!, wanasheria ni watu smart upstairs, zamani ilikuwa kupata nafasi kusoma sheria ni wale wanafunzi waliofanya vizuri tuu, wenye Div. 1 tuu, ilikuwa ni fani ya vipanga tuu!.

Kufuatia kuongezeka kwa vyuo vikuu vya binafsi nchini, sasa kila mtu anaweza kusomea sheria, sio vipanga tuu, hata vilaza, wanajiunga na vyuo vikuu vya uchochoroni, wanasomea sheria, wanahitimu na kupata LL.B, ila uanasheria wao ni uanasheria wa vyeti, wa makaratasi!, vilaza hawa hawawezi kupenya LST na kuwa mawakili!, ila ni wazuri kwa kuongea!, na wazuri kwa kujipongeza, sasa ndio wanasheria wetu tegemewa kwenye masuala muhimu kama huu mkataba/makubaliano ya IGA ya Bandari.

Wanasheria ni watu smart, wanavalia nadhifu, wanavaa majoho, wanaongea kwa mapozi with lots of pomposity!, hivyo kuna wengi walitamani kuwa wanasheria, hawakuweza!, lakini sasa kupitia hji IGA ya DPW, fani ya sheria is made simple, imedogoshwa in such a way sasa kila mtu anaweza kuwa ni mwanasheria!.

Tuanze na mastori ya kudogosha
JK na Lowassa walikuwa ni vijana wawili marafiki, katika uchaguzi Mkuu wa 1995, walikodi ndege moja pamoja, wakaenda Dodoma pamoja, wakachukua pamoja, fomu za kugombea urais kupitia CCM, wakazitembeza pamoja kutafuta wadhamini, na kuzirejesha pamoja.
Watu wakawabatiza, Boys II Men.

Naomba kwa sasa, usichangie kitu kwanza, subiria inaendelea....

Paskali
Kulikuwa na ugumu gani kuwachukua akina Kibatala, Lissu, TLS, Shivji, Chenge n.k wakaenda kwenye hizi kesi? tunaacha watu wazuri sababu siyo chawa wa maza
 
Wanabodi

Hii IGA ya DPW Imetusaidia sana kujua mambo mengi, sio tuu imetusaidia kutuonyesha matundu kwe paa la nyumba yetu kwa kutuonyesha panapovuja, pia umetufungua macho kuona tuna wanasheria wa aina gani, wenye uwezo gani, ndio maana tunaingia mikataba ya hovyo!, tukishtuka, tunavunja hiyo mikataba, tunashitakiwa, tunashindwa, tunatozwa tuzo, tunajimwambafy hatulipi!, lakini mwisho wa siku tunalipa kimya kimya kwa siri bila kusema, au kulipishwa kwa nguvu kwa lazima baada ya ndege zetu kushikwa, tunalipa kimya kimya, ndege zinaachiliwa, maisha yaendelee.

Siku zote fani ya sheria ni fani yenye heshima kubwa, it's a white collar job!, wanasheria ni watu smart upstairs, zamani ilikuwa kupata nafasi kusoma sheria ni wale wanafunzi waliofanya vizuri tuu, wenye Div. 1 tuu, ilikuwa ni fani ya vipanga tuu!.

Kufuatia kuongezeka kwa vyuo vikuu vya binafsi nchini, sasa kila mtu anaweza kusomea sheria, sio vipanga tuu, hata vilaza, wanajiunga na vyuo vikuu vya uchochoroni, wanasomea sheria, wanahitimu na kupata LL.B, ila uanasheria wao ni uanasheria wa vyeti, wa makaratasi!, vilaza hawa hawawezi kupenya LST na kuwa mawakili!, ila ni wazuri kwa kuongea!, na wazuri kwa kujipongeza, sasa ndio wanasheria wetu tegemewa kwenye masuala muhimu kama huu mkataba/makubaliano ya IGA ya Bandari.

Wanasheria ni watu smart, wanavalia nadhifu, wanavaa majoho, wanaongea kwa mapozi with lots of pomposity!, hivyo kuna wengi walitamani kuwa wanasheria, hawakuweza!, lakini sasa kupitia hji IGA ya DPW, fani ya sheria is made simple, imedogoshwa in such a way sasa kila mtu anaweza kuwa ni mwanasheria!.

Tuanze na mastori ya kudogosha
JK na Lowassa walikuwa ni vijana wawili marafiki, katika uchaguzi Mkuu wa 1995, walikodi ndege moja pamoja, wakaenda Dodoma pamoja, wakachukua pamoja, fomu za kugombea urais kupitia CCM, wakazitembeza pamoja kutafuta wadhamini, na kuzirejesha pamoja.
Watu wakawabatiza, Boys II Men.

Naomba kwa sasa, usichangie kitu kwanza, subiria inaendelea....

Paskali
Waliosoma na Kibatala wanasema uwezo wake darasani ulikuwa wa kawaida sn lakini wanashangaa uwezo wake wa kuhoji, kufaulu kwa Tanzania siyo issue sn kama wewe ni bingwa wa kukariri unatoboa bahati nzuri na maswali ya mitihani ya Tanzania huwa ni copy and paste, tatizo la Tanzania ni uwezo wa kuhoji Lissu ana masters pekee lakini kwa Tanzania sidhani kama kuna mwanasheria yoyote awe professor au nani anaweza kusimama naye hata kdg au Kibatala, maofisi watu wakifika ni kuongelea mademu, mipira na umbea hawasomi ni wavivu sn.
 
Wanabodi

Hii IGA ya DPW Imetusaidia sana kujua mambo mengi, sio tuu imetusaidia kutuonyesha matundu kwe paa la nyumba yetu kwa kutuonyesha panapovuja, pia umetufungua macho kuona tuna wanasheria wa aina gani, wenye uwezo gani, ndio maana tunaingia mikataba ya hovyo!, tukishtuka, tunavunja hiyo mikataba, tunashitakiwa, tunashindwa, tunatozwa tuzo, tunajimwambafy hatulipi!, lakini mwisho wa siku tunalipa kimya kimya kwa siri bila kusema, au kulipishwa kwa nguvu kwa lazima baada ya ndege zetu kushikwa, tunalipa kimya kimya, ndege zinaachiliwa, maisha yaendelee.

Siku zote fani ya sheria ni fani yenye heshima kubwa, it's a white collar job!, wanasheria ni watu smart upstairs, zamani ilikuwa kupata nafasi kusoma sheria ni wale wanafunzi waliofanya vizuri tuu, wenye Div. 1 tuu, ilikuwa ni fani ya vipanga tuu!.

Kufuatia kuongezeka kwa vyuo vikuu vya binafsi nchini, sasa kila mtu anaweza kusomea sheria, sio vipanga tuu, hata vilaza, wanajiunga na vyuo vikuu vya uchochoroni, wanasomea sheria, wanahitimu na kupata LL.B, ila uanasheria wao ni uanasheria wa vyeti, wa makaratasi!, vilaza hawa hawawezi kupenya LST na kuwa mawakili!, ila ni wazuri kwa kuongea!, na wazuri kwa kujipongeza, sasa ndio wanasheria wetu tegemewa kwenye masuala muhimu kama huu mkataba/makubaliano ya IGA ya Bandari.

Wanasheria ni watu smart, wanavalia nadhifu, wanavaa majoho, wanaongea kwa mapozi with lots of pomposity!, hivyo kuna wengi walitamani kuwa wanasheria, hawakuweza!, lakini sasa kupitia hji IGA ya DPW, fani ya sheria is made simple, imedogoshwa in such a way sasa kila mtu anaweza kuwa ni mwanasheria!.

Tuanze na mastori ya kudogosha
JK na Lowassa walikuwa ni vijana wawili marafiki, katika uchaguzi Mkuu wa 1995, walikodi ndege moja pamoja, wakaenda Dodoma pamoja, wakachukua pamoja, fomu za kugombea urais kupitia CCM, wakazitembeza pamoja kutafuta wadhamini, na kuzirejesha pamoja.
Watu wakawabatiza, Boys II Men.

Naomba kwa sasa, usichangie kitu kwanza, subiria inaendelea....

Paskali
Hakuna kesi ya uwekezaji ambayo serikali itakuja kushinda, siyo kwa kuwa serikalini kuna wanasheria wabaya/wasio na uwezo la hasha, ila kwa kuwa mikataba mingi/yote serikali inayoingiaga huwa imeshawishiwa kisasa, masilahi bisfi, rushwa (n.k) hivyo inapukaja kwenye utekelezaji. Ahadi zote nzuri nzuri zinaishia kuwa stori, kuingiza serikali gharama zaidi/hasara na zingine zinakuwa hazivumiliki hivyo. Serikali chini ya rais anayefuta kuamua kuivunja, serikali inashitakiwa na kwa kuwa mkataba ulichochewa na rushwa, siasa unakuwa ulikuwa na vipengere vingi vinavyombeba mwekezaji (maana alitoa rushwa ili viwepo makusudi). Kesi akienda mahakamani (ICSID) kushinda unakuwa kama kusukuma mlevi mtoni...

Hii ni baadhi ya mikataba ya kiuwekezaji ambayo tulihadiwa itakuwa mwarobaini wa matatizo yetu Tz.

1. SAP/ubinifsishaji wa mashirika ya umma. 1990s stori- kuongeza ufanisi.

2. IPTL, songas, Richmond, dowans 2000s stori- kumalizia matizo ya umeme.

3. Mikataba yote ya madini 2000s stori- Tz itapata mapato ya ziada kukuza uchumi kuwa na maendeleo kama Ulaya.

4. Bomba la gesi Mtwara 2010s stori- matumizi ya mkaa Tz itapungua, umeme kuwa wa uhakika.

5. Ugawaji wa vitalu vya uwindaji 2010s stori- utalii kuongezeka na mapato GDP nk.

6. ATCL mikataba ya manunuzi ya ndege mpya nyingi 2016- stori- twende China, Ulaya na duniani watalii watongezeka mara sijui ngapi, mazao yetu yatasafishwa kwenda masoko yote duniani chapu kwa kasi.

Ongezeni mingine...

Pending...

Bwawa la Nyerere mkataba wa trilioni zaidi ya 7, stori- itakuwa kiboko ya upungufu wa umeme nchini.

SGR.. zaidi ya trilioni 15, stori- Mwanza tukakuwa tunaenda kwa masaa chini ya kumi....

IGA Dubai na Tz ishu ya bandari 2023, stori- bandari itakuwa na uwezo wa kuhudumia meli 8th Gen, mapato, viwanda/economic zones...

YAKITIMIA KWA 40% YA AHADI


Mtanikuta humu JF nmiite...
 
Waliosoma na Kibatala wanasema uwezo wake darasani ulikuwa wa kawaida sn lakini wanashangaa uwezo wake wa kuhoji, kufaulu kwa Tanzania siyo issue sn kama wewe ni bingwa wa kukariri unatoboa bahati nzuri na maswali ya mitihani ya Tanzania huwa ni copy and paste, tatizo la Tanzania ni uwezo wa kuhoji Lissu ana masters pekee lakini kwa Tanzania sidhani kama kuna mwanasheria yoyote awe professor au nani anaweza kusimama naye hata kdg au Kibatala, maofisi watu wakifika ni kuongelea mademu, mipira na umbea hawasomi ni wavivu sn.
Ni kweli Wanasheria wote wazuri wala hawakuwa vipanga

Na ndio Sababu Wanasheria wazuri kwa sasa ni wale waliosoma OUT😀
 
Waliosoma na Kibatala wanasema uwezo wake darasani ulikuwa wa kawaida sn lakini wanashangaa uwezo wake wa kuhoji, kufaulu kwa Tanzania siyo issue sn kama wewe ni bingwa wa kukariri unatoboa bahati nzuri na maswali ya mitihani ya Tanzania huwa ni copy and paste, tatizo la Tanzania ni uwezo wa kuhoji Lissu ana masters pekee lakini kwa Tanzania sidhani kama kuna mwanasheria yoyote awe professor au nani anaweza kusimama naye hata kdg au Kibatala, maofisi watu wakifika ni kuongelea mademu, mipira na umbea hawasomi ni wavivu sn.
Ukiambiwa kupeleka wakili unapeleka Kibatala? Kwa kesi za kisiasa na mihemuko anazofanya? Mkuu tutake radhi
 
Wanabodi

Hii IGA ya DPW Imetusaidia sana kujua mambo mengi, sio tuu imetusaidia kutuonyesha matundu kwe paa la nyumba yetu kwa kutuonyesha panapovuja, pia umetufungua macho kuona tuna wanasheria wa aina gani, wenye uwezo gani, ndio maana tunaingia mikataba ya hovyo!, tukishtuka, tunavunja hiyo mikataba, tunashitakiwa, tunashindwa, tunatozwa tuzo, tunajimwambafy hatulipi!, lakini mwisho wa siku tunalipa kimya kimya kwa siri bila kusema, au kulipishwa kwa nguvu kwa lazima baada ya ndege zetu kushikwa, tunalipa kimya kimya, ndege zinaachiliwa, maisha yaendelee.

Siku zote fani ya sheria ni fani yenye heshima kubwa, it's a white collar job!, wanasheria ni watu smart upstairs, zamani ilikuwa kupata nafasi kusoma sheria ni wale wanafunzi waliofanya vizuri tuu, wenye Div. 1 tuu, ilikuwa ni fani ya vipanga tuu!.

Kufuatia kuongezeka kwa vyuo vikuu vya binafsi nchini, sasa kila mtu anaweza kusomea sheria, sio vipanga tuu, hata vilaza, wanajiunga na vyuo vikuu vya uchochoroni, wanasomea sheria, wanahitimu na kupata LL.B, ila uanasheria wao ni uanasheria wa vyeti, wa makaratasi!, vilaza hawa hawawezi kupenya LST na kuwa mawakili!, ila ni wazuri kwa kuongea!, na wazuri kwa kujipongeza, sasa ndio wanasheria wetu tegemewa kwenye masuala muhimu kama huu mkataba/makubaliano ya IGA ya Bandari.

Wanasheria ni watu smart, wanavalia nadhifu, wanavaa majoho, wanaongea kwa mapozi with lots of pomposity!, hivyo kuna wengi walitamani kuwa wanasheria, hawakuweza!, lakini sasa kupitia hji IGA ya DPW, fani ya sheria is made simple, imedogoshwa in such a way sasa kila mtu anaweza kuwa ni mwanasheria!.

Tuanze na mastori ya kudogosha
JK na Lowassa walikuwa ni vijana wawili marafiki, katika uchaguzi Mkuu wa 1995, walikodi ndege moja pamoja, wakaenda Dodoma pamoja, wakachukua fomu za kugombea urais kupitia CCM, pamoja, wakazitembeza pamoja kutafuta wadhamini, na kuzirejesha pamoja.
Watu wakawabatiza, jina la Boys II Men, mmoja alionekana kama a boy na mwingine a man!.

Katika mchakato wa urais wa 1995, Baba wa taifa hili, Mwalimu Nyerere, akingali hai, alifanya mikutano ya waandishi wa habari na kutaja sifa za rais tunayemtaka, hali iliyopelekea Boys II Men kupungukiwa sofa, hivyo Benjamin William Mkapa akaibuka kidedea kupeperusha bendera ya CCM, na baada ya kuchaguliwa, aliwajumuisha Boys II Men kwenye cabinet yake.

Naomba kwa sasa, usichangie kitu kwanza, subiria inaendelea....

Paskali
Sichangii ila utakapokuja njoo ongeza na hili
 
Wanabodi

Hii IGA ya DPW Imetusaidia sana kujua mambo mengi, sio tuu imetusaidia kutuonyesha matundu kwe paa la nyumba yetu kwa kutuonyesha panapovuja, pia umetufungua macho kuona tuna wanasheria wa aina gani, wenye uwezo gani, ndio maana tunaingia mikataba ya hovyo!, tukishtuka, tunavunja hiyo mikataba, tunashitakiwa, tunashindwa, tunatozwa tuzo, tunajimwambafy hatulipi!, lakini mwisho wa siku tunalipa kimya kimya kwa siri bila kusema, au kulipishwa kwa nguvu kwa lazima baada ya ndege zetu kushikwa, tunalipa kimya kimya, ndege zinaachiliwa, maisha yaendelee.

Siku zote fani ya sheria ni fani yenye heshima kubwa, it's a white collar job!, wanasheria ni watu smart upstairs, zamani ilikuwa kupata nafasi kusoma sheria ni wale wanafunzi waliofanya vizuri tuu, wenye Div. 1 tuu, ilikuwa ni fani ya vipanga tuu!.

Kufuatia kuongezeka kwa vyuo vikuu vya binafsi nchini, sasa kila mtu anaweza kusomea sheria, sio vipanga tuu, hata vilaza, wanajiunga na vyuo vikuu vya uchochoroni, wanasomea sheria, wanahitimu na kupata LL.B, ila uanasheria wao ni uanasheria wa vyeti, wa makaratasi!, vilaza hawa hawawezi kupenya LST na kuwa mawakili!, ila ni wazuri kwa kuongea!, na wazuri kwa kujipongeza, sasa ndio wanasheria wetu tegemewa kwenye masuala muhimu kama huu mkataba/makubaliano ya IGA ya Bandari.

Wanasheria ni watu smart, wanavalia nadhifu, wanavaa majoho, wanaongea kwa mapozi with lots of pomposity!, hivyo kuna wengi walitamani kuwa wanasheria, hawakuweza!, lakini sasa kupitia hji IGA ya DPW, fani ya sheria is made simple, imedogoshwa in such a way sasa kila mtu anaweza kuwa ni mwanasheria!.

Tuanze na mastori ya kudogosha
JK na Lowassa walikuwa ni vijana wawili marafiki, katika uchaguzi Mkuu wa 1995, walikodi ndege moja pamoja, wakaenda Dodoma pamoja, wakachukua fomu za kugombea urais kupitia CCM, pamoja, wakazitembeza pamoja kutafuta wadhamini, na kuzirejesha pamoja.
Watu wakawabatiza, jina la Boys II Men, mmoja alionekana kama a boy na mwingine a man!.

Katika mchakato wa urais wa 1995, Baba wa taifa hili, Mwalimu Nyerere, akingali hai, alifanya mikutano ya waandishi wa habari na kutaja sifa za rais tunayemtaka, hali iliyopelekea Boys II Men kupungukiwa sofa, hivyo Benjamin William Mkapa akaibuka kidedea kupeperusha bendera ya CCM, na baada ya kuchaguliwa, aliwajumuisha Boys II Men kwenye cabinet yake.

Naomba kwa sasa, usichangie kitu kwanza, subiria inaendelea....

Paskali
P! Prof Shivji ulipita Mikononi Mwake! Or Under Kabuki! Au Both...
 
Kulikuwa na ugumu gani kuwachukua akina Kibatala, Lissu, TLS, Shivji, Chenge n.k wakaenda kwenye hizi kesi? tunaacha watu wazuri sababu siyo chawa wa maza
Sidhani kama watakubali kujidhalilisha na kesi za hovyo za serikali.

Kwa kifupi tunasaini mikataba ya kijinga kwa tamaa za kisiasa za muda mfupi, baadaye maji yakifika shingoni tunaivunja kibabe. Jamaa wanatushtaki, tunajiumauma kisha tunalipa mabilioni.

Hata akienda Lissu hawezi kutetea kesi ya kizembe kama hiyo. Ataishia kuabika kama anavyoabika profesa wa watu.

Mikataba ya siri ya kipumbavu ndio chanzo cha matatizo. JPM alijaribu kuweka safeguards for future kwa kuleta ile sheria ya rasilimali za taifa. Lakini mapanya tuliyopa madaraka yanahaha kuipindisha au kuibadili ili yaweze kupitisha mikataba ya kipumbavu ambayo ile sheria ilitungwa ili kutukinga dhidi yake.

Ni kama kuna makusudi fulani hivi, ni kama vile hawa 'wawekezaji' huwa wanawabia wao wa ndani ambao hunufaika na mgao wa mabilioni tuyolipa. Usaliti usaliti usaliti. Tunaongozwa na wasaliti!
 
Sidhani kama watakubali kujidhalilisha na kesi za hovyo za serikali.

Kwa kifupi tunasaini mikataba ya kijinga kwa tamaa za kisiasa za muda mfupi, baadaye maji yakifika shingoni tunaivunja kibabe. Jamaa wanatushtaki, tunajiumauma kisha tunalipa mabilioni.

Hata akienda Lissu hawezi kutetea kesi ya kizembe kama hiyo. Ataishia kuabika kama anavyoabika profesa wa watu.

Mikataba ya siri ya kipumbavu ndio chanzo cha matatizo. JPM alijaribu kuweka safeguards for future kwa kuleta ile sheria ya rasilimali za taifa. Lakini mapanya tuliyopa madaraka yanahaha kuipindisha au kuibadili ili yaweze kupitisha mikataba ya kipumbavu ambayo ile sheria ilitungwa ili kutukinga dhidi yake.

Ni kama kuna makusudi fulani hivi, ni kama vile hawa 'wawekezaji' huwa wanawabia wao wa ndani ambao hunufaika ni mgao wa mabilioni tuyolipa. Usaliti usaliti usaliti. Tunaongizwa na wasaliti!
biashara za akina JK hizo
 
Back
Top Bottom