Kiingereza cha Mlimani City


Kiranga mkuu, vibinti na samsung s4 selfie hadi wanakwambia uwapishe! Leo uje uwakosoe? Nishazeeka miye siwezi aibishwa mbele za watu
 
Last edited by a moderator:
Inategemea umeenda muda gani. Mbona wengi wanaoendaga "Mlimani city" ni watoto.
 
Jamani kwa nini kila mtu akikanyaga tu lango la kuingilia mlimani city anaanza kuongea kingereza? Utasikia cha kuungaunga mara IS na WAS kibao. Kwani mkiongea Kiswahili chenu mtakuwaje? Acheni uzuzu ubitozi na usister duu!

....mbona mimi nikiwa na mwana huwa nakifurumusha cha poti....
 
Ah keimamae, ukute mtoto kashuka kwenye bodaboda.....
 
Sisi wengine huwa tunapita hapo kupigwa kiyoyozi kabla ya kuendelea na safari ya kurejea makwetu...
Mwenzio nilikuwa napenda kuingia benk hasa NMB Nakaa kwenye kiti kama mteja anayesubiri huduma huku lengo likiwa ni kiyoyozi,siku moja wakavamia wazee wa njaa kali... usifanye mchezo maana jinsi nilivyowekewa mtutu kichwani ingefika dk tano tu kojo lingenitoka, toka siku hiyo sina hamu na viyoyozi vya maeneo kama hayo.
 
hahahahahahahahaha utumwa wa lugha halafu katika nchi yako
.......hatari sana.....
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…