Sheikh Kahtaan sikatai hizo Numbers lakini kusema kuwa wanugu wote ni wavivu ama ni ovyo sidhani kama ni fair.
Kuna wanugu wema wengi sana kwenye jamii. Wapo akina Keith Ellis, Kaseem Reed, ama akina Louis Farakhan wengi sana kuliko hao walioko jela
Hilo ni kweli Kamanda. Lkn Tatizo liko pale pale.
Km ukipata Wakati nenda Miji tuliojaa sisi wanugu uone balaa.
Njoo Detroit. Au katazame hata hio Baltimore yenyewe uone.
Yaani ni balaa tupu.
Bangi inavutwa km sigara brbrni.
Kila mtu mbabe! Matusi na kashfa imekuwa Utamaduni wa kawaida kabisa.
Ustaarabu wa kawaida kabisa HAKUNA.
kwenye Metros au fast food places ukipanga foleni na Wanugu ni balaa tupu.
Yaani waungwana ni wachache mno.
Hayo maandamano yote wamejaa wizi na wavuta bangi watupu.
Opportunists wanaosubiri kukwiba tu na kupora Pesa za watu za bure.
Shule wengi wanafeli kwa sababu ya Upbringing!
Sisemi wote lkn Ni Big chunk ya watu wetu ndio wabaya.
Tazama hata nyimbo wanazoimba.
Kutwa kucha ni kutukana mama zao tu. Yaani Leo hii kupata mziki wa African American ambae hajamtukana mama yake ndani ya huo mwimbo ni tabu kubwa mno.
Sasa yote hii ni coincidence?
Kwakweli watu wa asili zetu ni wabaya sana. Mpaka wanaponza na wasio husika.