Kifo cha Mhe. Chacha Wangwe na uchunguzi wake

Kifo cha Mhe. Chacha Wangwe na uchunguzi wake

Status
Not open for further replies.
Mkuu ES.
umesema wazi na clear kuna wanafiki wana beef na marehemu lakini hapa wanazuga wakati nafsi zako ziko kwenye celebration,wawe wakweli kama wewe kwa BHOKE MUNANKA.
Hapo nilipoweka highlight na kupigia mstari ndipo panaponichasha.. Yaani kuna watu wana celebrate kifo?..
Duh sikujua kama FMES alikuwa na furaha kubwa...
Hata hivyo Mungu ndiye mjuzi, waswahili husema - Hujafa hujaumbika!
 
Duh! Wakuu nimeshitushwa sana na hii habari nzito sana, yaani mpaka sasa nimeishiwa nguvu kabisaa, ninaomba kuchukua fursa hii kumuombea Mkuu Marehemu Wangwe,

Kama kawaida ni lazima niseme ukweli wangu wa siasa, kwamba huyu marehemu nilikuwa simfahamu sana zaidi tu ya kumuona kwenye video za bunge, ambazo ninazo nyingi sana ambako yumo akitoa hoja ambako pia nimeshindwa kum-judge as far as vita vya ufisadi, exactly alikuwa upande gani. I was never impressed na hoja zake bungeni na hilo nimelisema mara nyingi sana hapa JF, na ukweli ni sijui sana aliyoyafanya ndani ya Chadema,

Ingawa pia nimeona some writtings zinazomhusu sana hapa JF, impression niliyoipata ni kuwa kuna matatizo sugu aliyoyakuta na kuyavalia njuga huko Chadema, against establishment na mimi kama Mwanamapinduzi wa kweli ni lazima ninaunga mkono anytime establishment yoyote inaposhambuliwa kwa manufaa ya wengi na kwa makosa ambayo ni proven kuwa yapo na ni sugu.

Ninaomba kumuombea kwa Mungu, amuweke mahali pema peponi na pia nawapa pole wana-Chadema wote, kwa huu msiba mzito sana!,

NB. wito wangu kwa wenzangu wengi hapa, nimeona vijembe vingi sana humu, ninasema kuwa hakuna sababu kama una ukweli weka tu hakuna sababu ya kuogopa, kama kuna mtu hapa au kiongozi yoyote amekukera na huu msiba sema ukweli, tusiziungukane hapa, naona tunaanza hii tabia mbaya sana ya kuzungukana naomba tuiache maana sio spirit ya JF hiyo, kama una machungu na mtu hapa au kiongozi weka wazi, maana sisi wengine kwenye hilo huwa hatuzunguki mbuyu na ndivyo inavyotakiwa, weka ukweli tena wazi!

Binafsi nimeamua kuufatilia kwa karibu sana huu msiba na ajali kwa ujumla, soon nitasema matokeo ya uchunguzi wangu hapa hapa JF, tena wazi!

Ahsante Wakuu!

Mkuu heshima mbele.

Ni vizuri kwamba nawe unafahamu kwamba kitendo cha kujaribu kushindana na establishment ni hatari.

Mimi siku zote nachukulia kwamba ni "suicidal mission".

Sasa endapo tutaona kwamba kazi aliojaribu kuifanya "tirelesly" ya kuutaka uenyekiti wa taifa (kwa mtazamo wangu) kwa kutumia ama media au some elements za wahasimu wa Chadema establishment, ku-undemine establishment hio, jambo hilo ni tatizo na ni hatari.
 
Duh! Wakuu nimeshitushwa sana na hii habari nzito sana, yaani mpaka sasa nimeishiwa nguvu kabisaa, ninaomba kuchukua fursa hii kumuombea Mkuu Marehemu Wangwe,

Kama kawaida ni lazima niseme ukweli wangu wa siasa, kwamba huyu marehemu nilikuwa simfahamu sana zaidi tu ya kumuona kwenye video za bunge, ambazo ninazo nyingi sana ambako yumo akitoa hoja ambako pia nimeshindwa kum-judge as far as vita vya ufisadi, exactly alikuwa upande gani. I was never impressed na hoja zake bungeni na hilo nimelisema mara nyingi sana hapa JF, na ukweli ni sijui sana aliyoyafanya ndani ya Chadema,

Ingawa pia nimeona some writtings zinazomhusu sana hapa JF, impression niliyoipata ni kuwa kuna matatizo sugu aliyoyakuta na kuyavalia njuga huko Chadema, against establishment na mimi kama Mwanamapinduzi wa kweli ni lazima ninaunga mkono anytime establishment yoyote inaposhambuliwa kwa manufaa ya wengi na kwa makosa ambayo ni proven kuwa yapo na ni sugu.

Ninaomba kumuombea kwa Mungu, amuweke mahali pema peponi na pia nawapa pole wana-Chadema wote, kwa huu msiba mzito sana!,

NB. wito wangu kwa wenzangu wengi hapa, nimeona vijembe vingi sana humu, ninasema kuwa hakuna sababu kama una ukweli weka tu hakuna sababu ya kuogopa, kama kuna mtu hapa au kiongozi yoyote amekukera na huu msiba sema ukweli, tusiziungukane hapa, naona tunaanza hii tabia mbaya sana ya kuzungukana naomba tuiache maana sio spirit ya JF hiyo, kama una machungu na mtu hapa au kiongozi weka wazi, maana sisi wengine kwenye hilo huwa hatuzunguki mbuyu na ndivyo inavyotakiwa, weka ukweli tena wazi!

Binafsi nimeamua kuufatilia kwa karibu sana huu msiba na ajali kwa ujumla, soon nitasema matokeo ya uchunguzi wangu hapa hapa JF, tena wazi!

Ahsante Wakuu!

Kama umeshakiri kuwa msimamo wake kuhusiana na UFISADI ulikuwa una mashaka then unaweza vipi kusema alikuwa ni mwana mapinduzi?
Mapinduzi yasiyokuwa na msimamo dhidi ya UFISADI ni mapinduzi gani hayo?
Juzi tu kabla sijafungiwa nilitoa hoja kuwa Marehemu sasa na yeye ajiandikishe ili kujuwa msimamo wake kwani huyu mtu anayejiita mgagagigikoko amabaye anamwakilisha Wangwe hapa ni MKABILA na ana chuki mbaya sana za kikabila na kidini.
Nilikuwa nikijitahidi kutoamini kuwa ni Wangwe huyo...Lakini mawazo ya mgaga nikaja kugunduwa kuwa ni yale yale ya Marehemu.

Tungeomba pia kusikia rambi rambi kutoka kwa kina RA kama kweli wana ubinadamu.

FMES...Pia usisahahu marehemu alikuwa akienda kwenye msiba wa marehemu Bhoke.

Kimtizamo...Marehemu Bhoke alikuwa akipewa heshima pande zote...Kwa mwalimu na kwa Waingereza.
Na hata kama mwalimu alikuwa hampendi...Kama angepata madhara basi mwalimu na yeye angeweza kugeukwa na waingereza...Na ndio maana mwalimu hakuweza kumwambia kitu kwani mkuu mambo ya siri kama hayo unaweza kuta waingereza walitoa AMRI kuwa asiguswe na ndiyo maana biashara zote alikuwa ni yeye.

Nchi ilikuwa na UBIA HII!

Nimetowa wito mwanzoni kuwa acha tuendelee tu kwanza na maombolezo kwasababu ni Mtanzania mwenzetu...Halafu baada ya hapo...then tunweza kujadili mchango wake kuwa uthaminiwe kwa njia gani.

Kama kweli hakuwa MSALITI WA TAIFA LETU...Basi ataingia kwenye HISTORIA VYEMA.

Niliyasema maneno haya na marehemu nina uhakika aliyaona...Nilimwambia ageuze njia zake na moyo wake kwani Historia ya vizazi vijavyo itamsuta.

Baada ya msiba...Tutapata ukweli....Na ukweli unavyoelekea kuonekana ni kuwa marehemu alikuwa na mwelekeo wenye kutaka kupelekea vurugu za kikabila na kidini nchini...NA HUO NDIO UHAINI.
 
duh.. I can never do anything right to the satisfaction of my critics. This is depressing.

Mkuu MMJJ,
Was asking for a fair coverage of late Wangwe's efforts/successes in politics too much of a critisism? What would it have cost you to give the much deserved praise to what he did for CHADEMA or NCCR in Tarime/nationwide?

We know that some of you did not appreciate the avenue he took to demand changes within CHADEMA, but a fair eulogy for a fellow partymember and someone who is no longer, is surely not too much of a task.


On the other hand, for you continuing arguing on this subject, just make you look like a very strange being. But if you can wisen up a bit, you would take this opportunity and rewrite your posting to give it some humble praise to your late vice chairman.
 
Nice DVD to watch at home this week:-
1. Chaos; 2. The air I breath!..
 
Uliyosema:-

Kama umeshakiri kuwa msimamo wake kuhusiana na UFISADI ulikuwa una mashaka then unaweza vipi kusema alikuwa ni mwana mapinduzi?
Mapinduzi yasiyokuwa na msimamo dhidi ya UFISADI ni mapinduzi gani hayo?


Niliyosema:-

na mimi kama Mwanamapinduzi wa kweli ni lazima ninaunga mkono anytime establishment yoyote inaposhambuliwa kwa manufaa ya wengi na kwa makosa ambayo ni proven kuwa yapo na ni sugu.
 
Ama kweli kazi ipo.
Imesemwa Mchele mmoja ila mapishi mbalimbali. Hapa habari ni kifo cha CW na haya mengine yanatoka wapi? Sawa na mie yangu mawili. Moja natoa rambirambi na Pole kwa Ndungu, jamaa na marafiki wote wa kweli na WANAFIKI. Mungu ampe mapumzisho mema. Wote njia yetu ni hiyo. La pili ni je hili lina uhusiano wowote na Mkono wa Albino?
 
Poleni wafiwa, kama Taifa na Wanaharakati tumempoteza mpiganaji mwenzetu. R.I.P. Chacha Wangwe.
 
Poleni sana wananchi wa Tarime na Taifa kwa ujumla.

Mungu ailaze roho yake pema peponi.

Ameni.
 
Nimesoma respond nyingi za watu kuhusu hiki kifo na nimeamini ya kuwa watanzania hatutakaa tuendelee . Hivi kweli watu baada ya kuuliza maswali ya msingi tunakimbilia kutafuta scape-goats ? Tumeambiwa ya kuwa tairi la mbele lilipasuka , jee tunajua gari lilikuwa katika spidi gani ? Je dereva aliyekuwa akiendesha alikuwa katika hali gani ( jee alikuwa amekunywa pombe na kama jibu ni ndiyo jee ni kiasi gani ?). Vipi kuhusu condition ya hilo gari , matairi yake yalikuwa katika condition gani ?
 
Mkuu MMJJ,
Was asking for a fair coverage of late Wangwe's efforts/successes in politics too much of a critisism? What would it have cost you to give the much deserved praise to what he did for CHADEMA or NCCR in Tarime/nationwide?

We know that some of you did not appreciate the avenue he took to demand changes within CHADEMA, but a fair eulogy for a fellow partymember and someone who is no longer, is surely not too much of a task.


On the other hand, for you continuing arguing on this, just make you look very strange being. But if you can wisen up a bit, you would take this opportunity and rewrite your posting to give it some humble praise to your late vice chairman.

KJ.. tatizo lako unanipa nguvu na uwezo ambao sina; kama kuna mapungufu na wewe andika ripoti. Kuna mambo mengine ambayo ninaandika na hiyo ilikuwa ni ripoti tu ya awali. Kutarajia kwamba in one sitting I could write everything I know about Wangwe just to be "fair" ni mzigo ambao siwezi kuubeba hata kama ningependa. Orodhesha basi mafanikio niliyoyaruka ili tuweze kuyaongeza kwenye hiyo ripoti. Kuliko kulalama basi nioneshe hayo mafanikio yake ili hata mtu mwingine ayaandike basi.

Halafu kama kawaida unaniambia kuwa "your late vice chair" kitu ambacho kinaniudhi kwa sababu hutaki kuelewa kwa sababu zako. Kwanini asiwe vice chair wako wewe? Hiyo kadi ya Chadema ulinipa wewe?

Kama sifikii kile kiwango chako au cha mtu mwingine, wewe mwenyewe unaweza kuandika na kujaza ambavyo mimi sikuandika. By the way, nimeandika ripoti ndefu zaidi kuhusu kifo cha Wangwe ambayo nina uhakika haitakufurahisha wewe na wengine ambao ni wakosoaji wangu kwa sababu sikufikia kiwango chao.

Mimi nimepata nafasi ya kuzungumza na Wangwe mara nyingi (ya kwenye show ni mara chache hadharani) alijua msimamo wangu wazi kwenye mambo fulani, lakini hatukuwa na uadui (japo wengine walijaribu kuunda katika mawazo yao). Leo hii ninaposikia amekufa kama binadamu, naguswa na msiba huo lakini pia naitwa kutafakari my own mortality.

So, spare me haya mafunzo yako ya jinsi gani nifanye au nisifanye; you don't like what I do, you go do it better hiyo ndiyo demokrasia.
 
Hakika sote ni waja mwenyezi mungu na sote kwake tutarejea!!
Rest in Peace kaka chacha Wange!!
Tunaahidi kuendeleza ulichokuwa unakipigania katika chama na Taifa kwa ujumla.

Mwenyezi Mungu ailaze roho ya Kaka Chacha mahali pema peponi.
Amin!!
 
we belong to Allah and to him we shall return.

ningependa kuwakumbusha tu wana JF kuwa kauli na misimamo iliyotolewa kuhusiana na bwana wangwe hazifutiki au hazigeuki kuwa ni makosa kwa sababu huyu mtu amekufa.

waliomuona he was correct wataendelea kumuona hivyo sawa na wale waliomuona he was wrong.......
 
KJ.. By the way, nimeandika ripoti ndefu zaidi kuhusu kifo cha Wangwe ambayo nina uhakika haitakufurahisha wewe na wengine ambao ni wakosoaji wangu kwa sababu sikufikia kiwango chao.

MMJJ,
Kama umeandika ukweli na kwa haki Mwenyezi atakujazia lau kama vita juu ya marehemu itakuwa haijaisha, hapo utajuana wewe na Mola wako.

Inafurahisha unapokataa kufanya kazi ya kusemea CHADEMA ingawa mwenendo wa unayoandika unashabihiana sana na collective arguments za CHADEMA. Kazi nzuri sana mkuu MMJJ, nasubiri kuisoma hiyo article yako juu ya marehemu.
 
RIP Chacha Wangwe. Pole kwa familia , wana Chadema na wana Tarime.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom