GAME THEORY,
Mkuu hapa ndipo naposhindwa na sisi Wabongo..Yaani mapungufu ulosema ni mazito sana kuliko hata hiyo lami hivyo sioni kabisa uzuri wa barabara hiyo. Sngle lane ktk Highway itokayo Dar hadi Dodoma ni miujiza ya Dunia. Sijaona nchi yeyote hata Afrika Ya Ethiopia yenye Highway inayotoka Mji mkuu kwenda Makao makuu ikiwa na barabara single lane, haina taa na zaidi ya yote makazi ya majambazi. Hiii ni hatari kubwa sana kiasi kwamba kuwepo kwa lami ni another problem badala ya kuwa solution. Lami inawafanya madereva kuendesha kwa mwendo wa kasi zaidi kuliko mashimo na kama barabara ndio kama ulivyosema basi hiyo barabara ni mbovu kishenzi..Kisheria single lane road hutakiwi kwenda zaidi ya Km 60 au 70 kwa saa, sasa mkuu nambie hilo linafanyika?kwa anayesema barabara ya Dar Dom ni mbovu aache uwongo ile bara bara ni nzuri sana tuu tatizo ni single carriage na haina taa bara barani kama M1 lakini ni lami tupu mpaka Dom..kinachotisha ile bara bara ni MAJAMBAZI wa silaha