KakindoMaster
JF-Expert Member
- Dec 5, 2006
- 1,356
- 91
Katika Tanzania nimejifunza kitu kimoja nacho ni matapeli/mafisadi ni wa kuogopa sana. Migogoro ilipo anza Chadema wengi wetu waligawanyika sana. Na baadhi ya watu tuliowaamini sana hata hapa JF walikuwa hawaoni tena mbali. Wakati nipo JKT waliniambia kwamba wakati unasonga mbele ni vizuri kujua adui wako vizuri na anatumia mbinu gani.
Watanzania wanapigana hawajui maadui wanatumia mbinu gani. Na hilo tutaedelea kulalamika milele. Kuna watu ambao leo wanapigana lakini adui akitokea nyuma yao wanaweza kuweka maswali kwamba huyo si adui bali ni mwenzao tu. Kwa haya Jmushi anayesema hana haja tena na bongo na mimi namsapoti kwa kusema tumepoteza nchi, anayekubalina na mimi akubali asiyekubali na aendelee kuamini.
Tumeanzia ujambazi, tukaenda UFISADI tumekuja na watu wa madini na hawa wote ni watu ambao wana pesa. Haijalishi wewe uko wapi hawa watu wanaweza hata kubadili aliye rafiki yako leo akawa adui yako kesho(kuwa makini na hili). Ni kuomba tu maana mimi kuna hata baadhi ya watu hapa hapa JF sihamini kama mawazo waliyokuwa wakitoa kama kweli ni mawazo huru.
Bado wengine wakati mwingine huwa tunasoma mawazo ya watu lakini kupoteza watu huwa pia tunaona. Atakayetaka kuona spin angalia mawazo yaliyotolewa hata na watu tunaowajua sana. Huwezi kuwa unapigana na adui na wakati huo huo hauwezi kujua adui atatokea wapi au atatumia mbinu gani.
Ukisikiliza vizuri taarifa ya habari ya TBC1 ya jana huna haja ya kujua walikuwa wanasema nini na huna haja ya kujua walitumiwa katika hii issue.
Suala linakuja huyo aliye weza kuandaa waandishi mpaka wakafika TARIME, TBC1, JF(maamuruki) nk alitoka wapi na hiyo kazi ilifanyika lini? Je alijua Kuna mtu atakufa?
Nafikiri ukisikiliza taarifa/magazeti mbali mbali nategemea watu wafungue kesi nyingi maana ushahidi upo kuwa hizo information hakuna mtu ambaye ni mataaluma anaweza kuzitoa. Anyway hiyo inaweza kufanyika tu tanzania mabayo inaelekea kupoteza mwelekeo.
Mwisho Tanzania yetu ya amani na utulivu itatoweka kama hatutaweza kusimama na sheria zetu na kuwa na viongozi wanaoweza kusimamia sheria kikamilifu.
Watanzania wanapigana hawajui maadui wanatumia mbinu gani. Na hilo tutaedelea kulalamika milele. Kuna watu ambao leo wanapigana lakini adui akitokea nyuma yao wanaweza kuweka maswali kwamba huyo si adui bali ni mwenzao tu. Kwa haya Jmushi anayesema hana haja tena na bongo na mimi namsapoti kwa kusema tumepoteza nchi, anayekubalina na mimi akubali asiyekubali na aendelee kuamini.
Tumeanzia ujambazi, tukaenda UFISADI tumekuja na watu wa madini na hawa wote ni watu ambao wana pesa. Haijalishi wewe uko wapi hawa watu wanaweza hata kubadili aliye rafiki yako leo akawa adui yako kesho(kuwa makini na hili). Ni kuomba tu maana mimi kuna hata baadhi ya watu hapa hapa JF sihamini kama mawazo waliyokuwa wakitoa kama kweli ni mawazo huru.
Bado wengine wakati mwingine huwa tunasoma mawazo ya watu lakini kupoteza watu huwa pia tunaona. Atakayetaka kuona spin angalia mawazo yaliyotolewa hata na watu tunaowajua sana. Huwezi kuwa unapigana na adui na wakati huo huo hauwezi kujua adui atatokea wapi au atatumia mbinu gani.
Ukisikiliza vizuri taarifa ya habari ya TBC1 ya jana huna haja ya kujua walikuwa wanasema nini na huna haja ya kujua walitumiwa katika hii issue.
Suala linakuja huyo aliye weza kuandaa waandishi mpaka wakafika TARIME, TBC1, JF(maamuruki) nk alitoka wapi na hiyo kazi ilifanyika lini? Je alijua Kuna mtu atakufa?
Nafikiri ukisikiliza taarifa/magazeti mbali mbali nategemea watu wafungue kesi nyingi maana ushahidi upo kuwa hizo information hakuna mtu ambaye ni mataaluma anaweza kuzitoa. Anyway hiyo inaweza kufanyika tu tanzania mabayo inaelekea kupoteza mwelekeo.
Mwisho Tanzania yetu ya amani na utulivu itatoweka kama hatutaweza kusimama na sheria zetu na kuwa na viongozi wanaoweza kusimamia sheria kikamilifu.