Kifo cha Mhe. Chacha Wangwe na uchunguzi wake

Kifo cha Mhe. Chacha Wangwe na uchunguzi wake

Status
Not open for further replies.
Maduka ya Wachagga huko naona wameamua kuyafunga kutokana na vitisho wanavyopata kuwa wachagga wanahusika na kifo hiki, sasa hii inaweza kuwa ni sumu mbaya sana na ikienea italiangamiza taifa letu Tanzania.
 
Waandishi Na Vyombo Vyao Wameripoti Kutokana Na Hulka Na Maelezo Ya Wahariri Wao Pamoja Na Interest Ya Kampuni Zao Katika Msiba Huo Kwahiyo Jamani Tuwasamehe Walikuwa Na Interest Hapo
 
Habari nilizozipata,

Marehemu amezikwa jioni hii, Wakuu wa vyama vyote vya siasa walikuwepo isipokuwa Mhe. Mbowe ambaye ameondoka na kurudi Dar es salaam.

Ni kweli na nenda kule kwenye thread nyingine utapata taarifa za kina sana.

Najua kuwa waandishi wengi wa habari wamekuwa na vikao vingi sana newsroom na mabosi wao kwani walipopata kitu kidogo wakakengeuka taaluma zao, na wale waliopo kule Tarime wameweka msimamo kuwa haiwezekani watume stori halafu zisitumike na badala yake zikatungwa nyingine.

Najua kuwa hata RA amekuwa very close leo akiwasiliana na waandishi wenye influence kwenye media zao ili kesho kikao cha jukwaa la wahariri lisiwe na maneno makali .

Ila kikao kilichopangwa jioni hii kati ya RA na mmiliki mmoja wa vyombo vya habari kama tusipoona action kesho kwenye vyombo vyake basi tutamtaja hapa waziwazi.Jioni hii kuna kikao nyumbani kwa mjasiriamali mmoja ambaye ana vyombo vya habari.
 
Maduka ya Wachagga huko naona wameamua kuyafunga kutokana na vitisho wanavyopata kuwa wachagga wanahusika na kifo hiki, sasa hii inaweza kuwa ni sumu mbaya sana na ikienea italiangamiza taifa letu Tanzania.

Mungu saidia..
 
Wekeni wazi kwa wenye habari ya uhakika,maana sijaona suluhisho ,je ni kifo kimetokana na ajali,kimetokana na kikundi fulani,kimetokana na kupigwa risasi.
Ndugu yake ndie aliesema wameona jeraha na kumwita daktari wa familia nae kuwahakikishia kuwa ni risasi -Je uchunguzi wa mwisho ulifanywa au haukufanyika tena ?
 
Hapa pasiwe sehemu ya kuhamisha mada ,tunapeana taarifa serious hapa kama kuna mtu anabeef lake basi aanzishe sehemu nyingine please ,kuna watu serious hapa wanafuatilia kujua nini kinaendelea Tarime.

Kuna kikao kimepangwa kufanyika kwenye hoteli moja jioni hii mjini Msoma ,ninaweka mtoa habari pale kama kitafanywa ntaweza kuwajulisha , ila hali ya wananchi kwa sasa wametulia na huenda nyumbani ndio pawaka na kizaazaa ......nafuatilia kwani sitaki kusema kitu kisichokuwepo.

Kiranja naona unataka uanze kuwatetea chadema kinafki kwa kusema eti kama tuna beef!
MIMI NINA BIFU NA FISADI...Hiyo iwe clear kwenu nyie mnaotaka kumanipulate news...Niliposema usikilizwe haina maana ni kila kitu kitasikilizwa!
Kuna ushabiki hapa sana na sitaki kabisa kuona kitu kinaitwa chadema mbele zangu!
MTENENGE HUO...NA SASA WALE WACHAGGA SAFI WAJIUNGE NA FAMILIA YA MAREHEMU KUDAI HAKI!
JAKI NI EPA....MKJJ UNA ILE mahojiano na Marehemu kuhusu EPA...Aliweka wazi kabisa kuwa Ballali kufa ama kupotea si mwisho wakesi...Sasa Ballali si anatetewa na wanachadema?
Mimi nimegunduwa Wangwe ni shujaa...Lakini kwasababu chadema na ccm wamehusika...Inawezekana wamekuja pamoja...Na tunataka waseme kama pesa za EPA ni za wananchi ama za magaidi.
 
Jmushi kwani nani wewe amesema mkibosho kasaliti? wewe waja kweli ndugu yangu.

Sina haja ya kurudia rudia...Siku ja mshujaa duniani...Kieleweke aliposti mada na Mnyika akachangia kuwa wakibosho ni wasaliti...Sasa na EPA ni nini?

Halafu kama wakibosho ni wasaliti...Na mwenyekiti ni mmachame...Then kwanini Deus ambaye ni wazi inaweza hata isiwe jina lake...Ilikuwa vipi akawa ni mkibosho mwenye tuhuma za mauwaji?

Mkibosho ana kisa gani na Wangwe huko chadema kama si uonevu na targeting ya wazi kabisa hiyo?

chadema mtaniomba radhi kwa kusema babu yangu ni msaliti?
Na kama kweli ni msaliti...Leteni ushahidi kwani mimi ukubaliana na hoja...Inawezekana siujuwi ukweli kwasababu ni babu yangu...Sasa niko nje ya familia na mnataka kutudhalilisha wakibosho...MIMI KAMA MJUKUU WA SINA NIMEKATAA KWA NIABA YA WAKIBOSHO WOTE...NA WACHAGGA WENGINE WASIOKUWA WABAGUZI KAMA MREMA NK.

Bifu ya Wangwe na Mbowe isifanywe ni ya wachagga na wakurya!

Kwanza sidhani kama wakurya ni wajinga hivyo kiasi cha kutokujuwa sheria na haki.

Na mimi nina UJUMBE HUU KWA FAMILIA YA MAREHEMU PAMOJA NA SERIKALI YETU....KAMA MKIKUBALI KUZIKA BILA UCHUNGUZI KUWEKWA BAYANA...HALAFU MKADAI NI WACHAGGA WAMEMWUA HUYO DOGO...BASI MMEULA NA MAPIGANO YANAWEZA KUWA POSSIBLE.

Lakini mkawa makini....Mtajuwa namna ya kumshughulikia adui yenu...kwani adui yenu ni fisadi...Na fisadi lisiposhitakiwa na mihela yote hiyo mtafanya nini?

Wa kuulizwa ni fisadi...Na fisadi yuko kila mahali...Kwa kuanzia nilishawaambia kuwa dogo aseme aliyemtuma..Lakini na nyie mnabakia kwenye siasa na si USHAHIDI..Pamoja na uchunguzi wa kitaalam utakaolenga criminality ,intention etc etc na si personalities,creed wala clan and tribes.

Huyo dogo alishawahi kwenda Misri yeye na Makongoro...Kaka yake na marehemu na yeye ni besti tu na kina Makongoro....Tena kwenda na sheick Mkuu pamoja na huu UDINI NA UKABILA KUNA MATATA!

Sasa kama huko kuna tofauti kati ya kina Makongoro na Wangwe...Then msilete mambo ya kikabila...Na kama issue ya kikabila isipopigiwa kelele...Basi na mimi nitatowa VERSION YANGU.
 
Habari nilizozipata,

Marehemu amezikwa jioni hii, Wakuu wa vyama vyote vya siasa walikuwepo isipokuwa Mhe. Mbowe ambaye ameondoka na kurudi Dar es salaam.


Hapa Mwenyekiti karudi Dar kuwahimambo mengine muhimu au ndio ki-mbembe cha kutolewa mkuku jana?
 
Kiranja naona unataka uanze kuwatetea chadema kinafki kwa kusema eti kama tuna beef!
MIMI NINA BIFU NA FISADI...Hiyo iwe clear kwenu nyie mnaotaka kumanipulate news...Niliposema usikilizwe haina maana ni kila kitu kitasikilizwa!
Kuna ushabiki hapa sana na sitaki kabisa kuona kitu kinaitwa chadema mbele zangu!
MTENENGE HUO...NA SASA WALE WACHAGGA SAFI WAJIUNGE NA FAMILIA YA MAREHEMU KUDAI HAKI!
JAKI NI EPA....MKJJ UNA ILE mahojiano na Marehemu kuhusu EPA...Aliweka wazi kabisa kuwa Ballali kufa ama kupotea si mwisho wakesi...Sasa Ballali si anatetewa na wanachadema?
Mimi nimegunduwa Wangwe ni shujaa...Lakini kwasababu chadema na ccm wamehusika...Inawezekana wamekuja pamoja...Na tunataka waseme kama pesa za EPA ni za wananchi ama za magaidi.


Jmushi,hunitendei haki kwa kunirushia haya yote, nilichosema ni kuwa kwa kuwa hapa ni mahali pa kujadili msiba na taarifa mbalimbali niliwaomba wachangiaji wasije pafanya hapa pakawa hovyohovyo kwani kuna watu wengi wanatafuta hizi taarifa na ndio chanzo pekee cha taarifa huru na wapo wengine hawataki hizi habari zifike kama zilivyo.

Napinga ukabila na nitampinga yeyote mwenye muelekeo wa KIKABILA, FIKRA HUZAA MATENDO.
 
Hivi Hizi Romours Kuwa Marehe Chacha Wangwe Amekuwa Murdered Zinatoka Wapi Na What Is The Reason Behind People To Speculate Like That, Sielewi Kwa Nini Watu Wanashindwa Kuamini Kuwa Ajili Huwa Zinatokea Na Baadhi Ya Watu Wanapona Na Wengine Kupoteza Maisha!

Siku Hizi Kumekua Na Hulka Mtu Yoyote Maarufu Akifariki Kunakuwa Na Rumours Nyingi Juu Ya Kifo Chake, Jamaa Ya Watanzania Imeanza Kujengwa Na Hofu Na Kutoaminiana, Kitu Ambacho Kinaweza Kuleta Maafa Makubwa Sana.

Tafadhali Wana Forum Wenzangu Naomba Ufafanuzi Wa Kina Kwa Wale Wote Wanao Speculate Kuwa The Guy Was Assassinated Or Something?

Let Us Be Realist!
 
Waandishi Na Vyombo Vyao Wameripoti Kutokana Na Hulka Na Maelezo Ya Wahariri Wao Pamoja Na Interest Ya Kampuni Zao Katika Msiba Huo Kwahiyo Jamani Tuwasamehe Walikuwa Na Interest Hapo

Kama ni interest taifa hili kamwe haliwezi kusonga mbele, naamini kuwa taarifa hii itasambaa na haswa viongozi wa dini wakishajua hili jambo kitu ambacho mimi nitafanya kazi kuwaandikia rasmi ili wawajulishe waumini wao.

Hatua hii itapelekea magazeti husika kuitwa ya uzushi na yatapoteza wateja wake wengi na baada ya hapo najua kuwa wataomba radhi watanzania ,kwa kutaka kutengeneza kitu cha uongo.

Kama wamiliki wa vyombo hivyo wasipotoa msimamo tutawajua na kuwahesabu kwa majina ,na huo utakuwa mwanzo wa kuwekana hadharani .
 
Jmushi,hunitendei haki kwa kunirushia haya yote, nilichosema ni kuwa kwa kuwa hapa ni mahali pa kujadili msiba na taarifa mbalimbali niliwaomba wachangiaji wasije pafanya hapa pakawa hovyohovyo kwani kuna watu wengi wanatafuta hizi taarifa na ndio chanzo pekee cha taarifa huru na wapo wengine hawataki hizi habari zifike kama zilivyo.

Napinga ukabila na nitampinga yeyote mwenye muelekeo wa KIKABILA, FIKRA HUZAA MATENDO.

Samahani kama nimekukwaza...Ila ikija kwenye haki siangalii usoni...Na mimi elewa sina nia mbaya hapa.

Kwa kuongezea...Huyo Professa Wangwe na yeye ni ccm na inawezekana ni yeye alikuwa direct link ya kuvuja siri za ccm kwenda chadema...Kwani familia ya mwalimu haikupendezwa na uuzwaji wa nchi na hilo lilikuwa wazi hata kina Butiku na Warioba mwanzoni mwanzoni mwa scandal hii..Naona walikuwa hawajajuwa kuwa pesa hizi zinawezekana kuwa ni zile za kigaidi za URANIUM ZA IRAN!

Sasa kwa upande mwingine...Wangwe alikuwa ana tofautiana hata na kaka yake mwenyewe...Ebu watuambie kama na wao wanamfahamu vipi huyo Deusi MKIBOSHO...Kwasababu DEUS,MAKONGORO NYERERE NA SHEICK MKUU SI WALIENDA EGYPT?

Kama kweli hao ndio USALA WA TAIFA...BASI HAKUNA KITU HAPO NA NCHI KWELI INAWEZA KUINGIA KWENYE MATATIZO KAMA TUSIPOKUWA MAKINI.

VIONGOZI NA HII NI KAULI YANGU....MTAKUBALI VIPI VYOMBO VYA SERIKALI VIENEZE UAKABILA WENYE KUTAKA KUPELEKEA CHUKI NA VITA KWASABABU YA CHUKI KATI YA MAREHEMU NA WANGWE?

Na ndio maana niliwaambia hata kina SLAA...Kama na wao wamenyamaza kuna walakini.

Marehemu alikuwa akisema kuwa SIRI ZA SERIKALI ZIMEVUJISHWA NA MKE WA SLAA KWANI NI KADA WA ccm....Na pia pale alipolalamikiwa na chadema kuwa ni kwanini alivujisha siri zao kwa kina Rostam...Jibu lake ni kuwa hata Mke wa Slaa alikuwa akitayarisha chai na kuwa vikao vya siri vya chadema alikuwa akivisikia na hivyo kudai kuwa mke wa Slaa ndiye msaliti...Sasa nilichukizwa sana na tuhuma hizo given the fact kuwa SLAA NA ZITTO NI MASHUJAA WETU HAPA JF.

Marehemu alikuwa akijibu tuhuma kuhusu yeye kukutana na kina ROSTAM AZIZ...Sasa kwa uelewa wetu...Ni kwamba marehemu alikuwa anajuwa siri za pande zote na aliitumia opportunity hiyo kuwapiga bao Mbowe kama chadema pamoja na kaka yake Professa wangwe kama ccm.

Na kusema UKWELI MAREHEMU ALIPANIA KUWA RAIS WETU WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA NA HIVYO ALIKUWA TISHIO KWA PANDE ZOTE MBILI.....NANI ALIKUWA WA KUMPINGA RASTA?ccm ama chadema?Mbowe ama Professa Wangwe?

Sasa mimi nadema kama UKABILA HAUTAPINGWA BASI NAANDIKA KITABU NA ATAKAYEDHANI HAKITANUNULIWA ANAOTA!

Ukweli uwekwe wazi...Ama kama wanazika wazike na wasilete UKABILA KWANI dalili si nzuri...!

Na kwasababu kifo hiki kiliwashtuwa wananchi...Na wananchi wakidai haki zaidi...Usije ukashangaa mtu mwingine anauliwa ili kuonyesha kuwa ni KISASI CHA TIT FOR TAT NA MOTO UENDELEE...Ni tabia ya kuanzisha mapigano ya wenewe kwa wenyewe kwani aliyemuuwa Wangwe anaweza tena kwenda kumuuwa na mchagga...Tatizo akiuliwa Mkibosho...Basi wakibosho na wamachame watazipiga..Ndio alichofanya GAIDI ALZARQAWI wa IRAQ PALE ALIPOKUWA AKIONA KUWA UMOJA UNAANZA KUTOKEA HUKO IRAKI...NA KWASABABU YEYE NI MSUNI...AKAENDE KUPIGA BOMU KWA MSHIA MAHALI PAKE PATAKATIFU ILI KULETA VURUGU!

Na kama RA kweli hana nia mbaya na wachagga....Basi ni bora aache anachokifanya kwani hata wachagga nao si wote ni wakabila!
 
Waandishi wasiotanguliza masilahi ya Taifa mbele na kutanguliza ya kwao mbele ni sawa na mnyama asiyekuwa na akili kwani anafanya chochote bila kujali wala kupata aibu.

Kama waandishi wa Tanzania wameweza kufikia hapo basi kushirikiana na waandishi wenye hulka hiyo ni hatari kwa usalama wa Taifa, ikumbukwe kuwa vita ya Rwanda na Burundi kiasi kikubwa ilichangiwa na waandishi wa habari waliokuwa na masilahi yao mbele, lazima tukatae kufikishwa huko na waandishi wa habari.
 
Muda si mrefu nitawawekea hapa taarifa mbili za habari toka TBC; ile ya jana na ile ya leo iliyorushwa muda mfupi ulipopita. Ufanye uamuzi wewe mwenyewe.

C useme tu una bifu na TBC1, hata kama watakuwa na mapungufu... hayawezi linganishwa na kituo chochote cha habari Tanzania... that is the facts.

Including Klnews etc.
 
Real wewe unastahili kuwa kiranja na wala si kiongozi.It doesn't kick in my head, a grown man like you behaving as if you're still in adolescence age. We have wittiness many people like you claiming that they are belong to a certain Party but once it comes to election,we end up speaking another language. I believe we still young and still we have the chance to make sure that our leaders change in a positive way that will make us to benefit from our resources'. So if we start supporting the malice, shall we make it my brothers and sisters???
Absolutely not and the one who will suffer is me, you and our beloved children. I'm calling upon that once it comes the question of utilization our resources, we must be one for the benefit of our national and not otherwise started otherwise you will continue to be a slave in your mother country.
 
C useme tu una bifu na TBC1, hata kama watakuwa na mapungufu... hayawezi linganishwa na kituo chochote cha habari Tanzania... that is the facts.

Including Klnews etc.

Ni mpumbavu tu anayeweza kutoa mawazo kama haya ya kwako!!!!!!!!
 
Yale mapicha ya invisible yanajieleza.

Kama marehemu wangwe alikuwa ktk gari lile wakati wa ajali, bila shaka ajali itakuwa ndio sababu ya kifo chake!!!!

Cha kushangaza huyo kijana malya kanusurikaje???? Je hiyo picha anayoonekana kashika funguo ni ya baada ya tukio??? Kama ndio basi ana cha kutueleza waTZ!!!!
 
C useme tu una bifu na TBC1, hata kama watakuwa na mapungufu... hayawezi linganishwa na kituo chochote cha habari Tanzania... that is the facts.

Including Klnews etc.

mzee mbona umewahi kusema watakuwa na mapungufu na kulinganisha na klhnews? Klhnews ni kablogu kasiko na bajeti, resources, utaalamu, zana n.k believe me.. If I had all that.. TBC wangeifunga zamani...!!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom