Kifo cha Mhe. Chacha Wangwe na uchunguzi wake

Kifo cha Mhe. Chacha Wangwe na uchunguzi wake

Status
Not open for further replies.
Kiranja,

Tusibishane bila facts, niambie huyu mzungu wa Chenge anaendeshe case gani na mahakama ipi?

Una uhakika gani hao unaowasema kwamba hawana usajili wa kuendesha case Tanzania?

Suala sio uzungu au weusi, suala ni kusajiliwa. Tuna wanasheria wengi hapa labda wanaweza kutusaidia.

Mtu ambaye anaendesha case bila kusajiliwa anavunja sheria. Kama unamjua mmoja, waambie hicho chama cha sheria na watamshughulikia mara moja.

Nakubaliana na wewe 100%.Ni lazima asajiliwe na Tanganyika Law Society.
 
TBC1 kusema kuwa wangwe alikuwa na mgogoro na chadema ..hawakosei ....coz sio fiction it is a FACT!

sio kwa kuwa mtu kafa ndio tubadilishe historia.....na historia yenyewe ni recent kwa hiyo lazima isemwe kila anapotajwa wangwe
 
TBC1 kusema kuwa wangwe alikuwa na mgogoro na chadema ..hawakosei ....coz sio fiction it is a FACT!

sio kwa kuwa mtu kafa ndio tubadilishe historia.....na historia yenyewe ni recent kwa hiyo lazima isemwe kila anapotajwa wangwe


Mkuki kwa nguruwe .............
 
nataka niseme jambo moja tu hapa.Kama CHADEMA ndio wamemuua Wangwe do you think the Govt would bother itself kumzuia huyu Doctor?kama nia yao ni kumaliza CHADEMA wataruhusu huu uchunguzi ili CHADEMA wamalizane.Sasa fikiria kama ni Serikali ama a very powerfully political figure dont ou think they would do everything in their power to hide whatever needs to be known?Someone must have used the conflict Wangwe had with CHADEMA to do these!Tuache kulaumu CHADEMA just give a thought kuhusu ushirika wa Serikali kwenye hili.
Connect the dots yourselves.
 
Kevo we think alike..... there is something fishy with our government in this.......... and CHADEMA might be used as chambo tu cha kupotosha ukweli. Let us chunguza ni nini hasa kilikuwa kiini na chanzo cha ugomvi wa marehemu na CHADEMA huwenda na ugomvi huuo pia ulikuwa part of the master plan ya kumwondoa ulimwenguni.
 
Hii inanikumbusha Mgogoro wa Patrice Lumumba na makamu wake ambao ulipelekea Mobutu kama mkuu wa jeshi ku-take advantage na kupanga mpango na wabelgiji na US wakamu-eliminate Lumumba.Sasa hapo nafikiria kuna kitu zaidi maanake hata CCM na Mafisadi wanaweza kusimama side aliyosimamia Mobutu Sese Seko.Maanake wanashabihiana kwa umafia
 
mbona thread ya vurugu za tarime niliyoweka jana usiku siioni hapa...du JF nayo ni ya chadema nini? anyway kweli bongo mnakazi si ndogo
 
Hii serikali imeamua kufanya vita dhidi ya watu wake yenyewe na hii inatupeleka kujiuliza maswali lukuki:
Tutaiaminije tena Serikali yetu?
Serikali yetu ni kwa manufaa ya nani?
Serikali inaficha nini?

Jana usiku saa 2 nimesikiliza taarifa ya habari TBC, ikanishangaza na kunisikitisha sana! Katika Taarifa hiyo ya saa usiku TBC kiaina wameihusihsa CHADEMA na kifo cha Chacha Wange; wamedai kuwa TBC imepata ushahidi wa Makabrasha aliyokuwa nayop Marehemu kuwa alikuwa akienda Dar es Salaam kuifungulia kesi CHADEMA na angefanya Press conference baada ya kufungua kesi hiyo na kuwa kuna taarifa kuwa Viongozi wa CHADEMA walikuwa wanafahamu hilo (Marehemu alikuwa anaenda kuwafungulia kesi).

Kwa kweli walinikwaza sana, badala ya kuhimiza uchunguzi huru kuhusu kifo cha Wangwe TBC (Serikali?) Wanahusisha kifo cha Wangwe na kesi dhidi ya Viongozi wa CHADEMA. Veery Shaaaame kwa chombo cha habari cha Serikali kutangaza kitu cha namana hiyo. AIBU TUPU!
Kuhusu Daktari wa familia kukataliwa kufanya postmortem hapo Serikali inajipalia makaa ya moto ambao itashindwa kuuzima kama ilivyowashindwa Walenchoka na Waanchali wa huko huko Tarime. Hawa jamaa wanaweza kuweka kando tofauti zao na kusimama kidete dhidi ya Serikali.

Ushauri wangu ni kuwa Familia ya Wangwe ichukue maiti wao na kuipeleka Kenya kisha waiombe Serikali itume Daktari wake huko aungane pamoja na DEaktari wa Familia kwa uchuinguzi au vinginevyo Waende Mahakamani ili Mahakama iiamuru Serikali iruhusu Famiilia itafute Daktari wake kuuchunguza mwili wa Marehemu

Hata mimi nilijiuliza maswali mengi kuhusu walichokionesha TBC1 jana.Nampongeza sana Mnyika kwa kumjibu ipasavyo yule mtangazaji.

Hata hivyo napenda kurejea kauli ya Dr Harrison Mwakyembe, wakati fulani alisema WATANZANIA SIYO MABWEGE TENA'.Huu ndio ukweli.Serikali itafichaficha sana lakini ukweli utaanikwa tu.

Kwa waliotizama taarifa siku ya kwanza taarifa za ajali zimevikia vyombo vya habari wanakumbuka kauli ya Dr Slaa kuwa yeye na CHADEMA hawaamini kuwa ni ajali.Alikiri mwanzoni kabisa kuwa kuna watu nyuma ya kifo cha Wangwe.Chadema wamekuwa wakwanza kumwandikia IGP kumwomba afanye uchunguzi.

Chadema wanajua iko njama na sisi tunajua njama siyo ya Chadema bali ya hao wasiopenda kuambiwa ukweli na kuibuliwa madhambi yao.

Chacha Wangwe alikuwa anapigania mambo mawili makubwa:

Ishu ya madini na ishu ya mapigano na mauaji ya tarime.

Amekuwa silenced na system na huyo siyo wa mwisho.Wapo wengi sana...Dr Slaa aliomba jeshi la polisi liwapatie wabunge wa upinzani ulinzi, hakukosea.
 
Kevo we think alike..... there is something fishy with our government in this.......... and CHADEMA might be used as chambo tu cha kupotosha ukweli. Let us chunguza ni nini hasa kilikuwa kiini na chanzo cha ugomvi wa marehemu na CHADEMA huwenda na ugomvi huuo pia ulikuwa part of the master plan ya kumwondoa ulimwenguni.

hapo nakubaliana na wewe.they manipulated the conflict to their advantage.this tym kwa kweli wamejichimbia wenyewe.
 
mkuu Kuna Kitu Hapa Kinafichika Ndani.....mmh Sheria Za Nchi Kweli Haziruhusu???na Kwa Nini Wanataka Kupandikiza Daktari.maswali Mengi Sana Yatatoka Hapa Bila Majibu.

Wana Jibu Hapo Watasema It Is National Security Issue,but Soon Tutaijadili Kwa Uhuuru Tukiwa Na Fact Kama Muunganao.
 
Kinachonisikitisha zaidi katika hili la kifo cha Wangwe, ni umakini wa serikali katika kuwasaidia wananchi wake kujua ukweli wa mambo.

Hivi serikali yawezaje kukubali maruweruwe kila kukicha bila hata kuonesha kuwa inawatumikia wananchi? Tanzania yetu imefika pabaya sana, sijui nani ataikokoa?
Ninaugua, kila nikiosma madudu mengi ambayo serikali imeyaruhusu ilhali inajua wananchi wanaumia kwa kuona jinsi serikali isivyo makini!

Whether CHADEMA dies, ideas will never die, ideas will get another platform and it is our duty now in our age to tuen the wheel. Let us, in our solidarity and knowledge, think of ways to rescue the sinking sheep of our mother, Tanzania
 
Hii serikali imeamua kufanya vita dhidi ya watu wake yenyewe na hii inatupeleka kujiuliza maswali lukuki:
Tutaiaminije tena Serikali yetu?
Serikali yetu ni kwa manufaa ya nani?
Serikali inaficha nini?

Jana usiku saa 2 nimesikiliza taarifa ya habari TBC, ikanishangaza na kunisikitisha sana! Katika Taarifa hiyo ya saa usiku TBC kiaina wameihusihsa CHADEMA na kifo cha Chacha Wange; wamedai kuwa TBC imepata ushahidi wa Makabrasha aliyokuwa nayop Marehemu kuwa alikuwa akienda Dar es Salaam kuifungulia kesi CHADEMA na angefanya Press conference baada ya kufungua kesi hiyo na kuwa kuna taarifa kuwa Viongozi wa CHADEMA walikuwa wanafahamu hilo (Marehemu alikuwa anaenda kuwafungulia kesi).

Kwa kweli walinikwaza sana, badala ya kuhimiza uchunguzi huru kuhusu kifo cha Wangwe TBC (Serikali?) Wanahusisha kifo cha Wangwe na kesi dhidi ya Viongozi wa CHADEMA. Veery Shaaaame kwa chombo cha habari cha Serikali kutangaza kitu cha namana hiyo. AIBU TUPU!

Kuhusu Daktari wa familia kukataliwa kufanya postmortem hapo Serikali inajipalia makaa ya moto ambao itashindwa kuuzima kama ilivyowashindwa Walenchoka na Waanchali wa huko huko Tarime. Hawa jamaa wanaweza kuweka kando tofauti zao na kusimama kidete dhidi ya Serikali.

Ushauri wangu ni kuwa Familia ya Wangwe ichukue maiti wao na kuipeleka Kenya kisha waiombe Serikali itume Daktari wake huko aungane pamoja na DEaktari wa Familia kwa uchuinguzi au vinginevyo Waende Mahakamani ili Mahakama iiamuru Serikali iruhusu Famiilia itafute Daktari wake kuuchunguza mwili wa Marehemu

TBC1- Tanzania Broadcast Cooperation- Si ni Tv ya Taifa?? They will do each and everything kufunika aibu ya serikali kama imehusika kwa namna moja au nyingine- Hapa lengo ni kudrive away hisia za wananchi kuwa serikali inalo ililolifanya na badala yake kutufanya tupeleke hisia zetu zote kwa CHADEM as if sie ni watoto wadogo.

Inasikitisha sana hali ya nchi inapokwenda. Ni nini Hatima yetu kama Tanzania?
 
niliandika jana kuwa kimbelembele cha wanasiasa kutumia msiba kukuza au kujipatia umaarufu kutaligharimu taifa

1 tbc wako musoma kujaribu kupotosha taifa kuwa chadema ndo wauaji wa wangwe kwa mantiki kuwa chadema itasambaratika na ufisadi utarudi kwa kasi

2. kwa kufanya hivyo tayari wananchi wa tarime wana hasira nan chadema na wachagaa, na tayari maduka ya wenzetu hawa tangu jana hayajafunguliwa, manake serikali inachochochea ukabila

3.kam tbc hawafanyi hayo hapo juu, huenda wanalipa fadhila kwa marehemu, fadhila ambazo wao na serikali wanazijua zaidi
hili ni taifa la watu ambao ukifikiri sana, utashangaa vichwa vyao viko chini ya mabega au juu ya mabega.

haiwezekani mtu apigwe risasi halafu gari lake liwe involve kwenye accident fake halafu liumie kiasi kile. labda liwe ni gari feki na wala siyo lile alilokuwamo wangwe

jibu ni rahisi, wangwe alikufa kwenye ajali iliyosababishwa na kuendeshwa na dereva asiye mzoefu bwana mallya

Hakika Mwikimbi,

TBC1 wanajikosha kwa sana.Nilijiuliza inakuwa msiba wa Wangwe waushadadie kama wa mwana CCM.Hata kama chombo ni cha umma lakini twajua siku zote umma unamezwa na matakwa ya serikali ya CCM.(siichukii sisiemu).

Wanachofanya siyo news reporting bali ni kueneza propaganda na uzandiki wa hali ya juu.

Am telling you, the government got everything except shame
 
serikali ina kubwa sana la kuficha .....na ndio maana wana sua sua kkubali uchunguzu huru.

lakini kuwa wangwe aligombana na chadema inabaki pale pale......

serikali imefanya kitu inataka kutumia kutumia ugomvi kuficha...hilo nakubali ....lakini bado ni fact ambayo TBC wanaweza kuitumia katika kuelezea historia ya marehemu
 
It is very marvellous my colleagues Tanzanian, where is the real democracy?
The investigation was very crucial to be done so that to clear those doubts which now have spread like petrol fire, because even me I believing that his death was planned.
I think this were all Tanzanians are suppose to stand as one .
 
did TBC1 really got hayo makabrasha ?? hilo ni suala zuri sana........
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom