Mbu
JF-Expert Member
- Jan 11, 2007
- 12,753
- 7,884
Mchongoma,
Kumbe Prof. Ameshafariki? Nilikuwa sijapata hizi habari. RIP Prof.Shaba. Nafikiri kifo chake kweli kilichangiwa na vitu vingi si pombe tu. Kwanza nasikia alilia sana kwenye msiba wa prof. Makene akisema wazi kabisa "Wamemuacha peke yake, wote rafiki zake wametangulia..". Ilikuwa inaonekana kabisa kama Mzee kakata tamaa kuwa na yeye inabidi awafuate RAFIKI ZAKE. Na sijui msiba wa mwanae Dr. aliuhimili vipi. Au ni baba alitangulia? Kwa mtoto na mwanae ilikuwa pengo kubwa kwa taifa.
...Ohooo, kumradhi yakhe, isijekuwa nami nishachanganya madawa hapa, ...mwanae gani unamzungumzia, Hamish? ..will be back with an accurate info.