Mhh! You mean He was Mur....before the 'Accident' was staged??fikra zangu kuna huwezekano kwamba walikuwa wa3,lakini kulikuwa na gari ambayo ilikuwa inawafuatilia nyuma,kama kuna lolote walifanya kwa marehemu basi ulikuwa ni ushirikiano wa watu,ajali ilifuata baada ya kitendo.
mzee ajazungumzia lolote la vibaka,hayo yalikuwa maelezo mallya,kutokana na maelezo ya shahidi wa kwanza ambaye ni mallya ni kwamba walikombwa vitu vyote na vibaka,lakini wakamuachia simu na bastola. mzee hata kama kutakuwa na kesi yeye atakuwa ni shahidi wa pili.
fikra zangu kuna huwezekano kwamba walikuwa wa3,lakini kulikuwa na gari ambayo ilikuwa inawafuatilia nyuma,kama kuna lolote walifanya kwa marehemu basi ulikuwa ni ushirikiano wa watu,ajali ilifuata baada ya kitendo.
mmh... hauko mbali sana; clue ya kwanza nilisema ni muda, clue ya pili nilisema ni gari, na final clue ni mwili. na clue ya mwisho....
Mhh! You mean He was Mur....before the 'Accident' was staged??
sijawahi kudai kuwa kila ninachokijua nakiweka JF. Uhuru wa habari huendana na kuwajibika kwa habari hizo. So, vinavyoweza kusemwa hadharani vinasemwa vingine vinakuwa ni kuchombeza tu kuwa tunavijua. So, nadhani kutwa nzima ya leo tumemwaga mtama mwingi tu.
Tunachosubiri ni jinsi gani wataamua kutuzuga.
Hey, muraa!! Taratibu msije mkagechana hapa JF!! kwi kwi kwi kwi kwi kwi.
NN.. you make the call.. hivi walisema wameondoka Dodoma saa ngapi?
Sijui unaongelewa watu wapi wa Tarime maana mimi ni mtu wa Tarime na sijaona kama watu wa Tarime ni wapenda zari. Tafadhali ondoa generalization kwenye statement zako.
Kama wewe unapenda zari basi si wote. Kama wewe unasuluhisha mambo yako kwa silaha basi ujue kuwa si wote Tarime tunapenda fujo. Umeelewa?
Pundit.. usifikirie CCM (of course inaweza kunufaika zaidi) fikiria nini kilichoko Tarime that is worthy killing for.
Mkuu MMJJ na PM, tunaomba msifiche kitu hapa maana ndio kitovu cha ujanja wetu. Hatuwezi kubeba mapanga moja kwa moja lakini tutajua wazi nyoka, kondoo na simba wala watu wako wapi na wanaendesha harakati za kutufanyia mambo gani. Itatupa akili ya tukae pande gani tukijipanga kutenganisha simba na kondoo kisha kuwagonga nyoka vichwa. Bwana Asifiwe maana kasi ya maovu inahatarisha nchi yetu lakini inafumua uovu mwingi na kuwaweka simba pagumu kila tuendako, ushindi unaelekea kujileta karibu zaidi ingawa naona sadaka zikiongezeka. Mungu awaweke pema peponi wale wote watakaokumbwa na haya kwa bahati mbaya wakipambana. Sisi tuko pamoja nao.Paparazi.. hili la Wangwe litaangusha watu; NIngekuwa mimi nisingetaka Polisi hawa kuendelea na uchunguzi kwa kudai sina imani nao; ningeomba hata wapelelezi toka Afrika ya Kusini kama NSY hatuwataki. Lakini hili ni kubwa; nina breaking news ambayo hata kuweka leo naogopa. People can't handle this much twist and turns... kama wewe na miye ngoja nisiseme mengi.